DOKEZO Baadhi ya Wahudumu wa Treni ya SGR (Dar) wanalangua tiketi kisha wanaziuza kwa bei ya juu

DOKEZO Baadhi ya Wahudumu wa Treni ya SGR (Dar) wanalangua tiketi kisha wanaziuza kwa bei ya juu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
photo_2024-08-09_17-37-49 (4).jpg
Ni siku chache zimepita tangu Huduma za Usafi wa Treni ya SGR uanze na juzi tulishuhudia Rais Samia Suluhu Hassan akiongoza zoezi la uzinduzi.

Usafiri huo umekuwa kimbilio kwa Watu wengi, sababu kuu ikiwa ni muda ni kutokana na kutumia muda mfupi kufika maeneo husika.

Lakini nimefika pale mara kadhaa hasa Wikiendi kuna jambo nimeligundua, kuna mchezo mchafu unafanywa na baadhi ya Watendaji hasa wanaokata tiketi.

Wahusika hao wanatumia Watu wao wa karibu kununua tiketi wanapohisi kuna abiria wengi zaidi hasa Wikiendi, baada ya kufanya, hivyo Wanunuzi wa hizo tiketi wanajifanya kughairi safari, kinachoenda kufanyika zile tiketi zinauzwa kwa bei ya juu zaidi, mfano tiketi ya Dar-Moro ya 13,000 inauzwa mpaka 30,000.

Baadhi ya wahudumu wa ndani wakishakata tiketi kupitia jamaa zao zile tiketi wanawapatia wahudumu wa nje ya madirisha ambao jukumu lao ni kutoa maelekezo na usaidizi kwa abiria namna ya kupata tiketi.

Wakishapewa hizo tiketi wanafuata abiria mmojammoja aliyekosa wanakwambia ujiongeze wakupe tiketi, wanakuandaa kuna Mtu kaghairi kusafiri, ukishindwa kufikia kiwango wanachokitaka wanakutosa wanaenda kwa mwingine.

Wale wahudumu ambao wanafanikisha mchezo huo wakiona uwezekano wa kushutukiwa wanakwambia kaa subiri mpaka Treni ikikaribia kuondoka, ikija wanakupa tiketi unawapa chao na kupanda.
photo_2024-08-09_17-37-49.jpg
Huu mchezo mchafu uenda baadhi hawajaubaini maana unafanyika kwa siri na Watu wanapiga hela hasa kipindi cha wikendi, ni mamlaka nifuatilie suala hilo haraka ili kuondoa mazingira ya upigaji.

Bila mamlaka kuchukua hatua mapema mradi huu utakuja kuwatajirisha baadhi ya Watu kupitia njia na taratibu ambazo hazina uhalali.

Kama kuna mabehewa ambayo tayari yameshawasili nchini ni muhimu ukafanyika mchakato wa haraka yakaongezwa hasa siku za weekend kwa lengo la kuondoa mazingira ya upigaji.

Lakini pia ikiwezekana mchakato wa kupata wawekezaji uharakishwe ili waweze kuingiza mabehewa zaidi kwa kuwa kwa mwenendo huu uenda kuna Watu wachache wananufaika na hali hii.

Pia soma:
~ Ukitaka kukata tiketi SGR unaambiwa treni imejaa, muda wa kuondoka treni inakuwa wazi
~ Online booking SGR haifanyi kazi, nifanyaje?
~ TRC: Tumewakamata Watu kadhaa waliokuwa wanafanya ulanguzi wa tiketi za SGR na kufanya udanganyifu
 
Ndugu abiria,
Shirika la Reli Tanzania linapenda kukutaarifu ya kwamba kuanzia tarehe 10/08/2024 unapokata tiketi,hakikisha unakitambulisho kimoja wapo kati ya NIDA, kiambulisho cha Kura, bima ya Afya, leseni ya Udereva, hati ya Kusafiria,au kitambulisho cha kazi. Kama hauna basi uje na barua ya Serikali za mtaa yenye picha yako iliyogongwa muhuri. Kwa mtoto anayekatiwa nusu tiketi kuanzia miaka 4 hadi 12 tafadhali fika na nakala moja wapo kati ya cheti cha Kuzaliwa, bima ya Afya, hati ya Kusafiria au kitambulisho cha Shule.Na siku ya kusafiri hakikisha unakuja na kitambulisho chenye jina sahihi ambalo lipo katika tiketi yako.
Kwa mawasiliano zaidi piga simu ya Huduma kwa Wateja namba 0800110042



Labda hii ya kukagua jina Vs Vitambulisho itasaidia kudeal na changamoto hiyo .
 
Ndugu abiria,
Shirika la Reli Tanzania linapenda kukutaarifu ya kwamba kuanzia tarehe 10/08/2024 unapokata tiketi,hakikisha unakitambulisho kimoja wapo kati ya NIDA, kiambulisho cha Kura, bima ya Afya, leseni ya Udereva, hati ya Kusafiria,au kitambulisho cha kazi. Kama hauna basi uje na barua ya Serikali za mtaa yenye picha yako iliyogongwa muhuri. Kwa mtoto anayekatiwa nusu tiketi kuanzia miaka 4 hadi 12 tafadhali fika na nakala moja wapo kati ya cheti cha Kuzaliwa, bima ya Afya, hati ya Kusafiria au kitambulisho cha Shule.Na siku ya kusafiri hakikisha unakuja na kitambulisho chenye jina sahihi ambalo lipo katika tiketi yako.
Kwa mawasiliano zaidi piga simu ya Huduma kwa Wateja namba 0800110042



Labda hii ya kukagua jina Vs Vitambulisho itasaidia kudeal na changamoto hiyo .
Umeelewa alichoandika lakini?

Hata ukifika pale na cheti Cha ubatizo utaambiwa tren imekaa hivyo jiongeze Kuna abiria kaghaili kusafiri ndo unapigwa Cha juu

Hivyo vitambulisho havitasaidia lolote
 
Ni kweli huduma inapatikana katika simu, computer online n.k,

Ila kila mara treni imejaa, na ukibahatisha inaonekana seat moja au mbili ndio zimebakia, ajabu ukipanda treni unalala seat wima kabisa hakuna watu. Ukiingia online kila behewa no Seat ila ukiwa ndani ya behewa zinatembea tupu. Kuna namna mahali iangaliwe na tupewe ufafanuzi
 
Ni siku chache zimepita tangu Huduma za Usafi wa Treni ya SGR uanze na juzi tulishuhudia Rais Samia Suluhu Hassan akiongoza zoezi la uzinduzi.

Usafiri huo umekuwa kimbilio kwa Watu wengi, sababu kuu ikiwa ni muda ni kutokana na kutumia muda mfupi kufika maeneo husika.

Lakini nimefika pale mara kadhaa hasa Wikiendi kuna jambo nimeligundua, kuna mchezo mchafu unafanywa na baadhi ya Watendaji hasa wanaokata tiketi.

Wahusika hao wanatumia Watu wao wa karibu kununua tiketi wanapohisi kuna abiria wengi zaidi hasa Wikiendi, baada ya kufanya, hivyo Wanunuzi wa hizo tiketi wanajifanya kughairi safari, kinachoenda kufanyika zile tiketi zinauzwa kwa bei ya juu zaidi, mfano tiketi ya Dar-Moro ya 13,000 inauzwa mpaka 30,000.

Baadhi ya wahudumu wa ndani wakishakata tiketi kupitia jamaa zao zile tiketi wanawapatia wahudumu wa nje ya madirisha ambao jukumu lao ni kutoa maelekezo na usaidizi kwa abiria namna ya kupata tiketi.

Wakishapewa hizo tiketi wanafuata abiria mmojammoja aliyekosa wanakwambia ujiongeze wakupe tiketi, wanakuandaa kuna Mtu kaghairi kusafiri, ukishindwa kufikia kiwango wanachokitaka wanakutosa wanaenda kwa mwingine.

Wale wahudumu ambao wanafanikisha mchezo huo wakiona uwezekano wa kushutukiwa wanakwambia kaa subiri mpaka Treni ikikaribia kuondoka, ikija wanakupa tiketi unawapa chao na kupanda.
Huu mchezo mchafu uenda baadhi hawajaubaini maana unafanyika kwa siri na Watu wanapiga hela hasa kipindi cha wikendi, ni mamlaka nifuatilie suala hilo haraka ili kuondoa mazingira ya upigaji.

Bila mamlaka kuchukua hatua mapema mradi huu utakuja kuwatajirisha baadhi ya Watu kupitia njia na taratibu ambazo hazina uhalali.

Kama kuna mabehewa ambayo tayari yameshawasili nchini ni muhimu ukafanyika mchakato wa haraka yakaongezwa hasa siku za weekend kwa lengo la kuondoa mazingira ya upigaji.

Lakini pia ikiwezekana mchakato wa kupata wawekezaji uharakishwe ili waweze kuingiza mabehewa zaidi kwa kuwa kwa mwenendo huu uenda kuna Watu wachache wananufaika na hali hii.

Pia soma:
~ Ukitaka kukata tiketi SGR unaambiwa treni imejaa, muda wa kuondoka treni inakuwa wazi
~ Online booking SGR haifanyi kazi, nifanyaje?
yani Mtanzania ni mwizi mpigaji kila sehemu. tena hawa wafanyakazi wa taasisi za serikali ndio kabisa wezi wezi tu hata hawajali kuharibu huduma ili mradi yeye apate pesa akajenge ghorofa goba.
 
Umeelewa alichoandika lakini?

Hata ukifika pale na cheti Cha ubatizo utaambiwa tren imekaa hivyo jiongeze Kuna abiria kaghaili kusafiri ndo unapigwa Cha juu

Hivyo vitambulisho havitasaidia lolote
Solution za serikali ku solve changamoto huwa zinanifurahisha sana yaana huwa ni zabkiwango cha chini sana kufikiri , sasa badala ya kuhangaika na hao matapeli wao wanaongeza ugumu kwa abiria kwa kujaza complications zinazo katisha tamaa mtu kukata ticket, inamaana wameshindwa kushughulika na hao vibaka ? Sasa hao wanao jiita ULIPO TUPO wana kazi gani kama hawaisaidii serikali kwenye mambo kama haya!?
 
Umeelewa alichoandika lakini?

Hata ukifika pale na cheti Cha ubatizo utaambiwa tren imekaa hivyo jiongeze Kuna abiria kaghaili kusafiri ndo unapigwa Cha juu

Hivyo vitambulisho havitasaidia lolote
Walishaweka wazi kuwa abiria akighairi kusafiri hawi refunded… kwa maana hiyo sidhani kama system yao imeruhusu ticket kuwa replaced ..
Kwa misingi hiyo najaribu kufikiria kwamba mwanzoni huyo wa kupandishiwa dau alikuwa anatumia ticketi iliyokatwa isiyo na jina lake .. Maana kuingia kwenye treni ni kuscan QR code unaingia bila kuangalia jina.
Utaratibu wa kukagua Jina Vs kitambulisho utasaidia kucontrol hilo .

Kama walikuwa wanapandisha dau na system inaruhusu kureplace tiketi kwa jina lingine then that’s another issue ..,

I stand to be corrected

Na kama walikuwa wanareplace ni rahisi kuwakata na kuwachukulia hatua stahiki
 
Ni kweli huduma inapatikana katika simu, computer online n.k,

Ila kila mara treni imejaa, na ukibahatisha inaonekana seat moja au mbili ndio zimebakia, ajabu ukipanda treni unalala seat wima kabisa hakuna watu. Ukiingia online kila behewa no Seat ila ukiwa ndani ya behewa zinatembea tupu. Kuna namna mahali iangaliwe na tupewe ufafanuzi
Sahihi kabisa
 
Solution za serikali ku solve changamoto huwa zinanifurahisha sana yaana huwa ni zabkiwango cha chini sana kufikiri , sasa badala ya kuhangaika na hao matapeli wao wanaongeza ugumu kwa abiria kwa kujaza complications zinazo katisha tamaa mtu kukata ticket, inamaana wameshindwa kushughulika na hao vibaka ? Sasa hao wanao jiita ULIPO TUPO wana kazi gani kama hawaisaidii serikali kwenye mambo kama haya!?
Nchi hii inatatizo kubwa sana la ku deal hasa na wapigaji Huwa nahisi Kwa vile wote wapigaji kufatiliana wanaona ni noma wataharibiana
 
Walishaweka wazi kuwa abiria akighairi kusafiri hawi refunded… kwa maana hiyo sidhani kama system yao imeruhusu ticket kuwa replaced ..
Kwa misingi hiyo najaribu kufikiria kwamba mwanzoni huyo wa kupandishiwa dau alikuwa anatumia ticketi iliyokatwa isiyo na jina lake .. Maana kuingia kwenye treni ni kuscan QR code unaingia bila kuangalia jina.
Utaratibu wa kukagua Jina Vs kitambulisho utasaidia kucontrol hilo .

Kama walikuwa wanapandisha dau na system inaruhusu kureplace tiketi kwa jina lingine then that’s another issue ..,

I stand to be corrected

Na kama walikuwa wanareplace ni rahisi kuwakata na kuwachukulia hatua stahiki
Hii Iko poa. Lkn ni Vyema na haki walichunguze Kwa kina hili. Wabongo wengi Huwa hatupendi process ndefu sijui kupiga simu Kwa wahudumu nao kupokea Hadi amalize kunywa kahawa yake ndo akusikilize inakuwa changamoto kubwa. Akienda kwenye mabasi anakimbiliwa na makondakta
 
Siku kadhaa zilizopita mtoa mada fulani aliandika " Treni zinaondoka kwenye vituo behewa zikiwa tupu huku wakiambiwa zimeshajaa" na mwingine akasema "bites (vyakula) wanauziwa..



TRC ni suala la muda itakua kama mwendokasi . Itakufaa


Fukuza wafanyakazi wote wanaonyesha hali za wizi
 
Back
Top Bottom