DOKEZO Baadhi ya Wahudumu wa Treni ya SGR (Dar) wanalangua tiketi kisha wanaziuza kwa bei ya juu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
hiv tunaanza kuhujumu mapema hiv? sasa vitu vizur tutakua tunaskia kwa wenzetu.jana tumerushwa mpaka na jamaa wa first post iliyopo India wanasifia tanzania electric train. yan ni ndoto kuwa na treni.tukiitunza tutakua mbali sana.sasa wanaanza kulangua?
 
Treni kwenda ikiwa tupu wakati umeambiwa ilijaa haimaniishi kuwa ni hujuma. engine nitatizo la abiria kuchelewa au kughairi safari. Cha kuangalia zaidi ni je, wanaposema terni imejaa, fedha zinazopatikana zinaendena na idadi ya abiria waliojaza treni?
 
Yaani nitoke kulipa 13 hadi 30...kwani mabus hayapo?
Hiyo michezo ya mjini,watu wanataka maokoto,niwape uzoefu,Dar es salaam Huwa haipoi,hata mfanyaje watapiga tuu,shida wanajua huko juu kinachoendelea na wao wanafanya yao.Wale wamachinga wa mtaa wa Congo na Agrey wote wanachukua kwa mchina na wanapata kitu,Hilo ni Jiji,kesho mtakuta watu wanaendesha vx hapo posta kwa pesa hiyohiyo,mikoani tuwe wapole kwa DSM kila kitu ni fursa.
 
Wewe unayo tool ya kuverify hilo?
 
Ujinga wa uongozi na kuleana ndio tatizo
 
Waajiri Wahindi ndiyo wasimamie kila kitu. Hao Waswahili ni watu wa hovyo kabisa hawawezi kuwa na maadili na mwisho wataiua kabisa hiyo huduma
 
Umeelewa alichoandika lakini?

Hata ukifika pale na cheti Cha ubatizo utaambiwa tren imekaa hivyo jiongeze Kuna abiria kaghaili kusafiri ndo unapigwa Cha juu

Hivyo vitambulisho havitasaidia lolote
Usichoelewa hapa ni kuwa hakuna abiria atakayeruhusiwa kuwa na ticket isiyo na namba yake ya NIDA,kitambulisho cha taifa,Leseni au barua ya serikali ya mtaa,kwahiyo hao walanguzi hawataweza kumuuzia mtu asiehusika na hiyo ticket...
 
saa shida iko wap biashara n kuchangamka
 
Hapo unakuta wameajiri kwa kigezo cha uchama wala sio uwezo wala uadilifu hivyo kama wanavyoiona serikali ni ya chama chao basi wanajiona wako huru kuiba.
Tatizo la uendeshaji wa miradi ya serikali ni management tu. Hata bandari ilihitaji management sio mwekezaji kwa sababu pesa ya kuwekeza serikali inayo.
 
Umeelewa alichoandika lakini?

Hata ukifika pale na cheti Cha ubatizo utaambiwa tren imekaa hivyo jiongeze Kuna abiria kaghaili kusafiri ndo unapigwa Cha juu

Hivyo vitambulisho havitasaidia lolote

Shida ya ajira za upendeleo ndio hayo .Wanaajiriwa wasio na maadili kabisa

Kwenye mfumo WA kukata Tiketi WA TRC waweke sehemu ya jina kamili na MTU aje na kitambulisho wakati WA kupandia

Mbona mabasi Hilo mfumo wao umeweza

Hata ndege mbona wameweza

Latra huo mfumo wanao waupeleke TRC

LATRA pelekeni mfumo wenu TRC
 
You nailed it...
 
Mbona kuchoshana hivi?
 
Tusubiri Audit ya hiyo computer System na ya fedha.itakapokuja kufanyika

Kama kuna hako.kamchezo ni rahisi Tu watu kwenda jela na kupoteza kazi

Mifumo ya computer haidanganyi ulisema train full halafu taarifa za fedha za mkaguzi WA fedha isiseme full na Tiketi zilizokatwa zisiseme full na taarifa ya safari ya siku hiyo isitoe ripoti kuwa treni haikuwa full kuna watu kupoteza kazi na kufungwa Kwa uhujumu uchumi mchana kweupe na mapema sana
Kuna watu kesi ya uhujumu uchumi inaeanyemelea
 
Labda hii ya kukagua jina Vs Vitambulisho itasaidia kudeal na changamoto hiyo .
Kwa ile nyomi ya watu sidhani km wataweza kuangalia hvy vyote zaid ya kuangalia uhalali wa tiket. Suruhu;
1. Kupunguza muda wa kushikilia siti kwenye mfumo kutoka dak 40 hadi 5 au 10.
2. Kwa sbb huko ni kuhujumu uchumi, wahusika washitakiwe kwa kosa la kuhujumu uchumi, wengine hawatathubutu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…