Pre GE2025 Baadhi ya Wajumbe Mkutano Mkuu CHADEMA wamkataa Tundu Lissu

Pre GE2025 Baadhi ya Wajumbe Mkutano Mkuu CHADEMA wamkataa Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
H
Mbowe habebeki kitu alichobakiza mbowe ni jinsi ya kuiba kura tu lakini uchaguzi huru na haki hakuna mjumbe mwenye Akili Timamu atamchagua mbowe
Haahaa mbowe ana kazi, akishinda atabaki na chama chake
 
Kiukweli bila kuegemea upande wowote sbb mimi sio Chadema, Mr. Mbowe ukimlinganisha na Tundu Lissu, bado Mbowe ana upper hand kiuongozi, tatizo kubwa la Lissu ni kutojua kipi cha kusema kwa muda gani, yaani ni mropokaji, kuwa kiongozi lazima uwe na kifua cha kuhifadhi mambo makubwa mengi, Lissu hana kabisa karama ya kuwa kiongozi, Lissu ni purely mwanaharakati..!!

Kuna tofauti kubwa kati ya kiongozi na mwanaharakati..!!

Mr. Mbowe bora aendelee na uenyekiti Chadema..!!
Umesema wajumbe wamktataa, kumbe wajumbe ni wewe mwenyewe.
Tafakari akili yako kama haina pombe.
 
Lini uliongea na wapiga kura?
Lissu hana wapiga kura hilo lipo wazi.

Lissu anategemea Club House hawana kura.
Lissu anategemea Dr Slaa hawezi kipiga kura
Lissu anamtegemea Mch Msigwa hana kura.
Lisu anawategemea Mawakili hawapigi kura.
Lissu anategemea YouTube haipigi kura.
Lissu anategemea uzushi haisaidii.
Lissu anawategemea watu walionje ya chama hawana msaada wala si wapiga kura
Lissu ni Mropokaji,Kigeugeu,hana maarifa.
Lissu anatarajiwa kupata 17% au 21%
 
Kuna vyama VINACHEKESHA sana,
MTU HUYO KAMA HAWAFAI NYIE NDANI....... NDIO KWELI MNATUPATIA SISI TANZANIA AONGOZE TAIFA HILI???????
Kwahiyo mnataka kuifanya TANZANIA ni ya majaribio?????
NYERERE alisema........
TENA ALIKATAA HATA MIJI MIKUBWA, majaribio ya uongozi fanyeni huko kwenu kwanza.....!
Atakuja kuwa rais wa Tanzania huyo.
Mungu atujalie uzima.
 
Aisee! Kumbe kweli usijali kitabu kwa kuangalia kava bhana!

Kuna watu nilikuwa naona wako smart sana huko chadema kumbe ni makopo tu?

Sikujua kama chadema itaumbuka mapema hivi.
 
Kiongozi nzuri ni yule anayepewa hela za rushwa kwa maslahi ya wengine, halafu kwa kiongozi nzuri ukiona rushwa ukae kimya? Ujinga mkubwa labda akawe mwenyekiti wa nyumba yako na familia yako
Kwa mara ya kwanza Ile chadema ya kupambana na ufisadi imekuwa ya kuitetea wala rushwa na mafisadi
 
mambo ya siri ya kulinda mafisadi yapo CCM
Hivi kwa mfano kikao chao ambacho bado hakija mature na kiongozi wa dini kulikuwa na haja ya kuitangazia dunia? Kwamba kila unachofanya lazima useme!
Kwamba makamu ahutubie taifa wakati mwenyekiti yupo, hiyo unaona ni sawa? Kweli?
 
Lissu hana wapiga kura hilo lipo wazi.

Lissu anategemea Club House hawana kura.
Lissu anategemea Dr Slaa hawezi kipiga kura
Lissu anamtegemea Mch Msigwa hana kura.
Lisu anawategemea Mawakili hawapigi kura.
Lissu anategemea YouTube haipigi kura.
Lissu anategemea uzushi haisaidii.
Lissu anawategemea watu walionje ya chama hawana msaada wala si wapiga kura
Lissu ni Mropokaji,Kigeugeu,hana maarifa.
Lissu anatarajiwa kupata 17% au 21%
Wajumbe wengi moyoni wapo na Lisu lakini machoni wapo na mbowe kwa ajili wale pesa zote alizoiba Mbowe wakimaliza watampigia kura Lisu, kwa sasa Wajumbe wanakula kunywa kushinda kwa mbowe kisha kulala kupumzika kwa Lisu
 
Mbowe anaachia pesa tu wapambe akina Yericko Mkapa wanashinda huko kwenye media kupiga kabobo!

Ni pumba tu.
 
Tundu Lissu mwanaharakati na mtetezi mkubwa wa haki za binadamu anapambana kukalia kiti cha Mwenyekiti Chadema Taifa

Molemo Media imefanya utafiti maeneo mbalimbali nchini kwa wajumbe wa mkutano mkuu kutaka kufahamu mwelekeo na mtazamo wao kuelekea mkutano Mkuu wa uchaguzi Januari 21

Tundu Lissu mwenye msimamo mkali wa kisiasa anajadiliwa na watu mbalimbali hasa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu uamuzi wake wa kupambana na Freeman Mbowe Mwenyekiti aliyekalia kiti hicho kwa miaka 20

Katika mahojiano na uchunguzi huo Molemo Media imeona uwezekano mkubwa wa Tundu Lissu kushindwa nafasi hiyo kutokana na hoja kadhaa za wajumbe kama ifuatavyo.

1. Wajumbe wengi wameonyesha hofu ya kumchagua Tundu Lissu kutokana na jinsi anavyoongea maneno mengi bila kujitafakaru kwanza ni kipi cha kuzungumza na wakati gani wa kuzungumza.Wanasema kiongozi anapaswa kuwa msikilizaji zaidi na mzungumzaji kwa uchache.

2. Tundu Lissu amelalamikiwa kutokutunza siri za Kamati Kuu na chama, kuna mambo ambayo hayapaswi kuwekwa hadharani mfano uliotolewa ni jinsi alivyolipuka kuzungumzia kikao cha siri kati yake na Mbowe kilichofanyika Msimbazi Centre na kuongozwa na kiongozi mkubwa wa dini.Imeelezwa hiyo ni siri na hatari kubwa kutolewa hadharani kwa maslahi ya chama.

3. Tundu Lissu amelalamikiwa na baadhi ya wajumbe kuwa hakudhamiria kugombea Uenyekiti wa chama bali amegombea kulipa kisasi cha Wenje 'kugombea nafasi yake' kama mwenyewe alivyonukuliwa akisema siku aliporejea kutoka Ubelgiji.

4. Baadhi ya wajumbe wanasema Tundu Lissu ni mtu wa kulipiza visasi na wamesema huenda ameomba nafasi hiyo ili kulipiza visasi kwa maadui zake na kufuta kabisa legacy ya Freeman Mbowe aliyekijenga chama hicho kwa jasho na damu

5. Tundu Lissu pia analalamikiwa kutuhumu kila anayetofautiana naye kwamba ni mla rushwa ndani ya chama na ndiyo maana analalamikia wajumbe wote wanaomuunga mkono Mwenyekiti kwamba walitoa rushwa kushinda uchaguzi.Wajumbe wana hofu endapo akishinda atawafukuza wale wote wanaompinga ili aweke watu wake.Amekuwa akiituhumu mpaka sekretariati ya chama kwamba haimuungi mkono na amesema wazi wazi akishinda atawaondoa wajumbe wote.

6. Tundu Lissu analalamikiwa kumkashifu, kumdharau, kumuandama na kumtungia kila aina ya kashfa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe kwa lengo la kumuonyesha hafai mbele ya Jamii.Wajumbe hao wamesema kwa hali ya kawaida alipaswa tu kumtunzia heshima Freeman Mbowe kwa jinsi alivyomsaidia mambo mengi ikiwemo kuokoa maisha yake alipopigwa risasi na kumtunza hospitalini Nairobi miezi 4 kama alivyonukuliwa kusema kaka yake Lissu.

7. Wajumbe wengine pia wamesema anatakiwa kuchaguliwa mtu ambaye atakuwa na uwezo wa kuyaunganisha makundi yote baada ya uchaguzi kitu ambacho Tundu Lissu hawezi kwa sbabu tayari anatukana yeyote anayempinga kwamba ni mla rushwa na kapokea hela za Abdul na mama yake.

8. Tundu Lissu anatuhumiwa kuungwa mkono na makundi yaliyo nje ya Chadema yenye nia ovu ya kutaka kukiteka Chadema.Makundi hayo ni ya wanaharakati na Diaspora ambao kila kukicha wamekuwa wakimshambulia Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho.

9. Wajumbe kadhaa pia wamesema kiongozi yeyote wa Chadema hasa Mwenyekiti anapaswa kuwa mnyenyekevu kwa viongozi wenzake kitu ambacho Tundu Lissu hana, imedaiwa kitendo cha Tundu Lissu kuhutubia Taifa siku ya mwaka mpya ni utovu mkubwa wa nidhamu kwa Mwenyekiti wake kwani anayepaswa kuongea kwa niaba ya chama ni Mwenyekiti wa Taifa na si mtu mwingine.

10. Tundu Lissu siyo mtu wa maridhiano na mapatano kitu ambacho ni kibaya sana kwa kiongozi mkuu wa chama.Wajumbe wengi wamesema Mwenyekiti wa chama lazima awe mtu anayeweza kuzungumza na makundi mbalimbali na kukubaliana au kuridhiana na hata kama ikishindikana kukubaliana basi kuheshimiana kitu ambacho Lissu msipokubaliana jambo inakuwa kama uadui.

11. Tundu Lissu amekuwa mtu anayebadili kauli kila siku kutegemeana anataka kupata nini kwa wakati huo, kwa mfano siku za nyuma aliunga mkono maridhiano na akasema ni mazuri sana na kumsifia Rais Samia lakini sasa amegeuka kabisa kauli yake na anatumia kila aina ya lugha mbaya kumkejeli Mwenyekiti wake kuhusu maridhiano.

Kutokana na Tathmini iliyofanywa na Molemo Media Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe anatarajiwa kuchaguliwa tena na wajumbe na anatarajiwa kupata ushindi wa kati ya asilimia 60% mpaka 70% ya kura za wajumbe huku Tundu Lissu akitarajiwa kupata kura kati ya asilimia 30% mpaka 40% ya kura.

Molemo Media inatarajiwa kuwaletea tathmini yake kuhusu wagombea wa kiti cha Makamu Mwenyekiti hasa kwa wagimbea Maarufu Ezekiah Wenje na John Heche.
Rusha,utafiti uliofanya kwa njia ya sauti na picha ili wadau wahabari tuweze kuelewa utafiti wako.
 
Hivi kwa mfano kikao chao ambacho bado hakija mature na kiongozi wa dini kulikuwa na haja ya kuitangazia dunia? Kwamba kila unachofanya lazima useme!
Kwamba makamu ahutubie taifa wakati mwenyekiti yupo, hiyo unaona ni sawa? Kweli?
Kipindi cha kampeni kila mgombea yupo huru kuongea mapungufu ya mwezie ingawa Mbowe kakomaa na Taarabu mipasho masimango badala ya mapungufu halisi
 
Mbowe anaachia pesa tu wapambe akina Yericko Mkapa wanashinda huko kwenye media kupiga kabobo!

Ni pumba tu.
Hao chawa wa mbowe kutwa wanaomba mungu Lisu azidishe pressure kwa mbowe ili waendelee kula pesa za mbowe kwa kisingizio cha kumdhoofisha Lisu
 
Rusha,utafiti uliofanya kwa njia ya sauti na picha ili wadau wahabari tuweze kuelewa utafiti wako.
Utafiti wa kweli ni huu wa mbowe kugawa pesa ili anunue uenyekiti tena, anatumia pesa nyingi zile pesa zote alizoiba chadema sasa chawa wake nao wanazitafuna angalau pesa ya wizi imesambaa kuliko Mbowe kula peke yake
 
Tundu Lissu mwanaharakati na mtetezi mkubwa wa haki za binadamu anapambana kukalia kiti cha Mwenyekiti Chadema Taifa

Molemo Media imefanya utafiti maeneo mbalimbali nchini kwa wajumbe wa mkutano mkuu kutaka kufahamu mwelekeo na mtazamo wao kuelekea mkutano Mkuu wa uchaguzi Januari 21

Tundu Lissu mwenye msimamo mkali wa kisiasa anajadiliwa na watu mbalimbali hasa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu uamuzi wake wa kupambana na Freeman Mbowe Mwenyekiti aliyekalia kiti hicho kwa miaka 20

Katika mahojiano na uchunguzi huo Molemo Media imeona uwezekano mkubwa wa Tundu Lissu kushindwa nafasi hiyo kutokana na hoja kadhaa za wajumbe kama ifuatavyo.

1. Wajumbe wengi wameonyesha hofu ya kumchagua Tundu Lissu kutokana na jinsi anavyoongea maneno mengi bila kujitafakaru kwanza ni kipi cha kuzungumza na wakati gani wa kuzungumza.Wanasema kiongozi anapaswa kuwa msikilizaji zaidi na mzungumzaji kwa uchache.

2. Tundu Lissu amelalamikiwa kutokutunza siri za Kamati Kuu na chama, kuna mambo ambayo hayapaswi kuwekwa hadharani mfano uliotolewa ni jinsi alivyolipuka kuzungumzia kikao cha siri kati yake na Mbowe kilichofanyika Msimbazi Centre na kuongozwa na kiongozi mkubwa wa dini.Imeelezwa hiyo ni siri na hatari kubwa kutolewa hadharani kwa maslahi ya chama.

3. Tundu Lissu amelalamikiwa na baadhi ya wajumbe kuwa hakudhamiria kugombea Uenyekiti wa chama bali amegombea kulipa kisasi cha Wenje 'kugombea nafasi yake' kama mwenyewe alivyonukuliwa akisema siku aliporejea kutoka Ubelgiji.

4. Baadhi ya wajumbe wanasema Tundu Lissu ni mtu wa kulipiza visasi na wamesema huenda ameomba nafasi hiyo ili kulipiza visasi kwa maadui zake na kufuta kabisa legacy ya Freeman Mbowe aliyekijenga chama hicho kwa jasho na damu

5. Tundu Lissu pia analalamikiwa kutuhumu kila anayetofautiana naye kwamba ni mla rushwa ndani ya chama na ndiyo maana analalamikia wajumbe wote wanaomuunga mkono Mwenyekiti kwamba walitoa rushwa kushinda uchaguzi.Wajumbe wana hofu endapo akishinda atawafukuza wale wote wanaompinga ili aweke watu wake.Amekuwa akiituhumu mpaka sekretariati ya chama kwamba haimuungi mkono na amesema wazi wazi akishinda atawaondoa wajumbe wote.

6. Tundu Lissu analalamikiwa kumkashifu, kumdharau, kumuandama na kumtungia kila aina ya kashfa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe kwa lengo la kumuonyesha hafai mbele ya Jamii.Wajumbe hao wamesema kwa hali ya kawaida alipaswa tu kumtunzia heshima Freeman Mbowe kwa jinsi alivyomsaidia mambo mengi ikiwemo kuokoa maisha yake alipopigwa risasi na kumtunza hospitalini Nairobi miezi 4 kama alivyonukuliwa kusema kaka yake Lissu.

7. Wajumbe wengine pia wamesema anatakiwa kuchaguliwa mtu ambaye atakuwa na uwezo wa kuyaunganisha makundi yote baada ya uchaguzi kitu ambacho Tundu Lissu hawezi kwa sbabu tayari anatukana yeyote anayempinga kwamba ni mla rushwa na kapokea hela za Abdul na mama yake.

8. Tundu Lissu anatuhumiwa kuungwa mkono na makundi yaliyo nje ya Chadema yenye nia ovu ya kutaka kukiteka Chadema.Makundi hayo ni ya wanaharakati na Diaspora ambao kila kukicha wamekuwa wakimshambulia Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho.

9. Wajumbe kadhaa pia wamesema kiongozi yeyote wa Chadema hasa Mwenyekiti anapaswa kuwa mnyenyekevu kwa viongozi wenzake kitu ambacho Tundu Lissu hana, imedaiwa kitendo cha Tundu Lissu kuhutubia Taifa siku ya mwaka mpya ni utovu mkubwa wa nidhamu kwa Mwenyekiti wake kwani anayepaswa kuongea kwa niaba ya chama ni Mwenyekiti wa Taifa na si mtu mwingine.

10. Tundu Lissu siyo mtu wa maridhiano na mapatano kitu ambacho ni kibaya sana kwa kiongozi mkuu wa chama.Wajumbe wengi wamesema Mwenyekiti wa chama lazima awe mtu anayeweza kuzungumza na makundi mbalimbali na kukubaliana au kuridhiana na hata kama ikishindikana kukubaliana basi kuheshimiana kitu ambacho Lissu msipokubaliana jambo inakuwa kama uadui.

11. Tundu Lissu amekuwa mtu anayebadili kauli kila siku kutegemeana anataka kupata nini kwa wakati huo, kwa mfano siku za nyuma aliunga mkono maridhiano na akasema ni mazuri sana na kumsifia Rais Samia lakini sasa amegeuka kabisa kauli yake na anatumia kila aina ya lugha mbaya kumkejeli Mwenyekiti wake kuhusu maridhiano.

Kutokana na Tathmini iliyofanywa na Molemo Media Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe anatarajiwa kuchaguliwa tena na wajumbe na anatarajiwa kupata ushindi wa kati ya asilimia 60% mpaka 70% ya kura za wajumbe huku Tundu Lissu akitarajiwa kupata kura kati ya asilimia 30% mpaka 40% ya kura.

Molemo Media inatarajiwa kuwaletea tathmini yake kuhusu wagombea wa kiti cha Makamu Mwenyekiti hasa kwa wagimbea Maarufu Ezekiah Wenje na John Heche.
Hizo ndiyo sera alizonazo Mbowe?
 
Back
Top Bottom