Pre GE2025 Baadhi ya Wajumbe Mkutano Mkuu CHADEMA wamkataa Tundu Lissu

Pre GE2025 Baadhi ya Wajumbe Mkutano Mkuu CHADEMA wamkataa Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
PAN AFRICAN gani anayeishi UBELGIJI????????
Nchi iliyemuua mwanamapinduzi wetu PATRICE LUMUMBA wa ZAIRE?????
Leo yeye ndo anaishi huko?????
Akae wapi sasa pesa yote Mbowe kaiba kujimilikisha kwa njia haramu na sasa anazitumia kumdhoofisha Lisu
 
Mwandishi wa ujumbe huu, wewe ni mla rushwa, pokea pesa yako, toa oja zako za hapa na pale, kajinywee bia zako, hela ya bure hiyo ushapewa kula.
KWA MUJIBU WA KAULI YA BW. W. SLAA, KUNA DONGE LA FEDHA NONO KWA AJILI YA WAJUMBE NA BAADHI YA WAANDISHI, KULENI HIZO FEDHA TU, AKILI ZINGINE VICHWANI MWENU,
--NJIA MOJA WAPO YA KUTOKOMEZA RUSHWA NI "" "KUPOKEA NA KWENDA TOFAUTI NA TAKWA LA MTOA RUSHWA"", ATAJIONA AMEFANYA KAZI BURE KABISA NA YA KIJINGA.
Pamoja na kuwa Mbowe na Lissu wote ni walewale lakini kumuamini nyoka swila mwenye vichwa viwili Slaa ni upunguani uliokithiri, vile ilivyokuwa frontline kushambulia CHADEMA baada ya kutoka hana tofauti na two headed serpent mwenzake Msigwa. Kuhama chama kama mtu hajaridhika na uendeshwaji wa harakati si jambo baya ila kukishambulia ili kibomoke jumla ni uzandiki. Bora hata bilionea Lowassa ambaye anaphama hakuwa na upumbavu wa kutukana kule alipotoka.
 
PAN AFRICAN gani anayeishi UBELGIJI????????
Nchi iliyemuua mwanamapinduzi wetu PATRICE LUMUMBA wa ZAIRE?????
Leo yeye ndo anaishi huko?????
Muasisi wa Panafricanism Marcus Mosiah Garvey hajawahi haya kutia mguu Afrika.

Lakini ndiye alikuwa HERO wa akina Kwame Nkrumah na Mwalimu Nyerere.
 
Muasisi wa Panafricanism Marcus Mosiah Garvey hajawahi haya kutia mguu Afrika.

Lakini ndiye alikuwa HERO wa akina Kwame Nkrumah na Mwalimu Nyerere.
Huyu tunaona kabisa akikimbia kwetu anapotak kuwa rasi na kukimbilia kwa nchi ambayo inatuhumiwa kusababisha MACHAFUKO AFRICA...........
 
Mbowe ni mwizi kama wezi wengine sasa anatumia pesa alizoiba kumdhoofisha Lisu
 
Wewe na kamati ya Roho mbaya iliyoundwa na mbowe chini ya Mdee, wenje, Boniface mtaiba kura njama zenu zinajulikana vizuri, uchaguzi huru na haki Mbowe hawezi kushinda, Mbowe ataununua uenyekiti kwa uchakachuaji tu si vinginevyo
Hapana mkuu ,wanaomshabikia Lissu 90% siyo wapiga kura ,ebu angalia team ya kampeni ya Lissu Gwamaka mwizi wa vipuri na mwenzake wote hawapigi kura....Lissu amekurupuka kuwania uenyekiti ,hawezi kushinda hata wasimamizi wa uchaguzi wakitoka kwenye ukoo wao.
 
Huyu tunaona kabisa akikimbia kwetu anapotak kuwa rasi na kukimbilia kwa nchi ambayo inatuhumiwa kusababisha MACHAFUKO AFRICA...........
Lissu alikimbilia Belgium baada ya kutaka kuuliwa na Magufuli kwa MARA YA PILI sasa nani MBAYA Serikali ya CCM iliyotaka kumuua au NCHI iliyompa UHIFADHI?
Propaganda zenu imefikia mpaka mumeanza kuziamini kuwa ni ukweli😂
 
Mwenyekiti wa Chadema ni mtu mwenye Hekima, wajumbe wataamua kutokana na jinsi watakavyoona inafàa. Nadhani uchaguzi huu utakuwa wa mfano wa kuigwa. Tunataka sekretarieti ya Chadema ihakikishe kuwa hawatafanya mzaha ili kuonyesha mfano hata TUME HURU ya UCHAGUZI ipate kuona namna mnavyoendesha uchaguzi ili kuondoa malalamiko.
Hii ni fursa pekee kwa Chadema (Chama cha Kidemokrasia) kuonesha kwa vitendo utofauti wake na chama hiki chakavu kinachotumia vyombo vya dola kung'ang'ania madaraka kama CCM.

Kinachoendelea sasa hivi ndani ya Chadema nautafsiri kama ni dalili ya ukomavu wa kidemokrasia mradi uchaguzi uwe huru na wa haki na si kama ule uchafuzi tunaoushuhudia kwa CCM.

Bado nina matumaini kuwa kama Chadema itafanikiwa itakuwa imetoa funzo kubwa kwa vyama vyote vinavyoendeshwa kiimla na kuwa mfano wa kuigwa na vyama uchwara kama CCM!

Vyovyote vile baada ya matokeo kutangazwa, unganisheni nguvu zenu pamoja na kuzielekeza katika kulikomboa taifa kutoka mikononi mwa hawa walafi wanaolitafuna bila huruma, CCM!
 
Yericko Nyerere...Lissu ni msaliti!
Retired...Lissu ni mropokaji!
Molemo...Lissu ni mkurupukaji!
sinza pazuri...Lissu ni muongo!
Quinine...Lissu ni mvurugaji!

Ndugu zangu, really? Mbona hizi ndizo sifa zile zile alizopewa Mh. Tundu Antiphas Lissu kabla ya kumiminiwa risasi na wabaya wake mwaka 2017?

Hebu tujikumbushe kidogo kauli ya mmoja wenu Lissu alipogombea urais mwaka 2017?

Yericko Nyerere, kwa nini, kwa mfano, nisiziamini tetesi kwamba hapa pesa, sabuni ya roho, iko kazini?
Lissu ni mropokaji na muongo.
 
Molemo this is too low for you
Kama hawataki mabadiliko ambayo walisema kipindi cha Hayati Mzee Lowassa kipindi hiki, CHADEMA inaenda kuwa kama NCCR Mageuzi.
Na huo ndio mtaji wa CCM,ukizingatia kuwa tarehe 18-19 Jan,wanakutana kumpata Makamo Mwenyekiti.
 
Tundu Lissu mwanaharakati na mtetezi mkubwa wa haki za binadamu anapambana kukalia kiti cha Mwenyekiti Chadema Taifa

Molemo Media imefanya utafiti maeneo mbalimbali nchini kwa wajumbe wa mkutano mkuu kutaka kufahamu mwelekeo na mtazamo wao kuelekea mkutano Mkuu wa uchaguzi Januari 21

Tundu Lissu mwenye msimamo mkali wa kisiasa anajadiliwa na watu mbalimbali hasa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu uamuzi wake wa kupambana na Freeman Mbowe Mwenyekiti aliyekalia kiti hicho kwa miaka 20

Katika mahojiano na uchunguzi huo Molemo Media imeona uwezekano mkubwa wa Tundu Lissu kushindwa nafasi hiyo kutokana na hoja kadhaa za wajumbe kama ifuatavyo.

1. Wajumbe wengi wameonyesha hofu ya kumchagua Tundu Lissu kutokana na jinsi anavyoongea maneno mengi bila kujitafakaru kwanza ni kipi cha kuzungumza na wakati gani wa kuzungumza.Wanasema kiongozi anapaswa kuwa msikilizaji zaidi na mzungumzaji kwa uchache.

2. Tundu Lissu amelalamikiwa kutokutunza siri za Kamati Kuu na chama, kuna mambo ambayo hayapaswi kuwekwa hadharani mfano uliotolewa ni jinsi alivyolipuka kuzungumzia kikao cha siri kati yake na Mbowe kilichofanyika Msimbazi Centre na kuongozwa na kiongozi mkubwa wa dini.Imeelezwa hiyo ni siri na hatari kubwa kutolewa hadharani kwa maslahi ya chama.

3. Tundu Lissu amelalamikiwa na baadhi ya wajumbe kuwa hakudhamiria kugombea Uenyekiti wa chama bali amegombea kulipa kisasi cha Wenje 'kugombea nafasi yake' kama mwenyewe alivyonukuliwa akisema siku aliporejea kutoka Ubelgiji.

4. Baadhi ya wajumbe wanasema Tundu Lissu ni mtu wa kulipiza visasi na wamesema huenda ameomba nafasi hiyo ili kulipiza visasi kwa maadui zake na kufuta kabisa legacy ya Freeman Mbowe aliyekijenga chama hicho kwa jasho na damu

5. Tundu Lissu pia analalamikiwa kutuhumu kila anayetofautiana naye kwamba ni mla rushwa ndani ya chama na ndiyo maana analalamikia wajumbe wote wanaomuunga mkono Mwenyekiti kwamba walitoa rushwa kushinda uchaguzi.Wajumbe wana hofu endapo akishinda atawafukuza wale wote wanaompinga ili aweke watu wake.Amekuwa akiituhumu mpaka sekretariati ya chama kwamba haimuungi mkono na amesema wazi wazi akishinda atawaondoa wajumbe wote.

6. Tundu Lissu analalamikiwa kumkashifu, kumdharau, kumuandama na kumtungia kila aina ya kashfa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe kwa lengo la kumuonyesha hafai mbele ya Jamii.Wajumbe hao wamesema kwa hali ya kawaida alipaswa tu kumtunzia heshima Freeman Mbowe kwa jinsi alivyomsaidia mambo mengi ikiwemo kuokoa maisha yake alipopigwa risasi na kumtunza hospitalini Nairobi miezi 4 kama alivyonukuliwa kusema kaka yake Lissu.

7. Wajumbe wengine pia wamesema anatakiwa kuchaguliwa mtu ambaye atakuwa na uwezo wa kuyaunganisha makundi yote baada ya uchaguzi kitu ambacho Tundu Lissu hawezi kwa sbabu tayari anatukana yeyote anayempinga kwamba ni mla rushwa na kapokea hela za Abdul na mama yake.

8. Tundu Lissu anatuhumiwa kuungwa mkono na makundi yaliyo nje ya Chadema yenye nia ovu ya kutaka kukiteka Chadema.Makundi hayo ni ya wanaharakati na Diaspora ambao kila kukicha wamekuwa wakimshambulia Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho.

9. Wajumbe kadhaa pia wamesema kiongozi yeyote wa Chadema hasa Mwenyekiti anapaswa kuwa mnyenyekevu kwa viongozi wenzake kitu ambacho Tundu Lissu hana, imedaiwa kitendo cha Tundu Lissu kuhutubia Taifa siku ya mwaka mpya ni utovu mkubwa wa nidhamu kwa Mwenyekiti wake kwani anayepaswa kuongea kwa niaba ya chama ni Mwenyekiti wa Taifa na si mtu mwingine.

10. Tundu Lissu siyo mtu wa maridhiano na mapatano kitu ambacho ni kibaya sana kwa kiongozi mkuu wa chama.Wajumbe wengi wamesema Mwenyekiti wa chama lazima awe mtu anayeweza kuzungumza na makundi mbalimbali na kukubaliana au kuridhiana na hata kama ikishindikana kukubaliana basi kuheshimiana kitu ambacho Lissu msipokubaliana jambo inakuwa kama uadui.

11. Tundu Lissu amekuwa mtu anayebadili kauli kila siku kutegemeana anataka kupata nini kwa wakati huo, kwa mfano siku za nyuma aliunga mkono maridhiano na akasema ni mazuri sana na kumsifia Rais Samia lakini sasa amegeuka kabisa kauli yake na anatumia kila aina ya lugha mbaya kumkejeli Mwenyekiti wake kuhusu maridhiano.

Kutokana na Tathmini iliyofanywa na Molemo Media Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe anatarajiwa kuchaguliwa tena na wajumbe na anatarajiwa kupata ushindi wa kati ya asilimia 60% mpaka 70% ya kura za wajumbe huku Tundu Lissu akitarajiwa kupata kura kati ya asilimia 30% mpaka 40% ya kura.

Molemo Media inatarajiwa kuwaletea tathmini yake kuhusu wagombea wa kiti cha Makamu Mwenyekiti hasa kwa wagimbea Maarufu Ezekiah Wenje na John Heche.
Huna hoja, mlijificha enzi za jiwe sasa ndo mnaibuka kumtetea Sultani Mbowe.
 
Tundu Lissu mwanaharakati na mtetezi mkubwa wa haki za binadamu anapambana kukalia kiti cha Mwenyekiti Chadema Taifa

Molemo Media imefanya utafiti maeneo mbalimbali nchini kwa wajumbe wa mkutano mkuu kutaka kufahamu mwelekeo na mtazamo wao kuelekea mkutano Mkuu wa uchaguzi Januari 21

Tundu Lissu mwenye msimamo mkali wa kisiasa anajadiliwa na watu mbalimbali hasa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu uamuzi wake wa kupambana na Freeman Mbowe Mwenyekiti aliyekalia kiti hicho kwa miaka 20

Katika mahojiano na uchunguzi huo Molemo Media imeona uwezekano mkubwa wa Tundu Lissu kushindwa nafasi hiyo kutokana na hoja kadhaa za wajumbe kama ifuatavyo.

1. Wajumbe wengi wameonyesha hofu ya kumchagua Tundu Lissu kutokana na jinsi anavyoongea maneno mengi bila kujitafakaru kwanza ni kipi cha kuzungumza na wakati gani wa kuzungumza.Wanasema kiongozi anapaswa kuwa msikilizaji zaidi na mzungumzaji kwa uchache.

2. Tundu Lissu amelalamikiwa kutokutunza siri za Kamati Kuu na chama, kuna mambo ambayo hayapaswi kuwekwa hadharani mfano uliotolewa ni jinsi alivyolipuka kuzungumzia kikao cha siri kati yake na Mbowe kilichofanyika Msimbazi Centre na kuongozwa na kiongozi mkubwa wa dini.Imeelezwa hiyo ni siri na hatari kubwa kutolewa hadharani kwa maslahi ya chama.

3. Tundu Lissu amelalamikiwa na baadhi ya wajumbe kuwa hakudhamiria kugombea Uenyekiti wa chama bali amegombea kulipa kisasi cha Wenje 'kugombea nafasi yake' kama mwenyewe alivyonukuliwa akisema siku aliporejea kutoka Ubelgiji.

4. Baadhi ya wajumbe wanasema Tundu Lissu ni mtu wa kulipiza visasi na wamesema huenda ameomba nafasi hiyo ili kulipiza visasi kwa maadui zake na kufuta kabisa legacy ya Freeman Mbowe aliyekijenga chama hicho kwa jasho na damu

5. Tundu Lissu pia analalamikiwa kutuhumu kila anayetofautiana naye kwamba ni mla rushwa ndani ya chama na ndiyo maana analalamikia wajumbe wote wanaomuunga mkono Mwenyekiti kwamba walitoa rushwa kushinda uchaguzi.Wajumbe wana hofu endapo akishinda atawafukuza wale wote wanaompinga ili aweke watu wake.Amekuwa akiituhumu mpaka sekretariati ya chama kwamba haimuungi mkono na amesema wazi wazi akishinda atawaondoa wajumbe wote.

6. Tundu Lissu analalamikiwa kumkashifu, kumdharau, kumuandama na kumtungia kila aina ya kashfa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe kwa lengo la kumuonyesha hafai mbele ya Jamii.Wajumbe hao wamesema kwa hali ya kawaida alipaswa tu kumtunzia heshima Freeman Mbowe kwa jinsi alivyomsaidia mambo mengi ikiwemo kuokoa maisha yake alipopigwa risasi na kumtunza hospitalini Nairobi miezi 4 kama alivyonukuliwa kusema kaka yake Lissu.

7. Wajumbe wengine pia wamesema anatakiwa kuchaguliwa mtu ambaye atakuwa na uwezo wa kuyaunganisha makundi yote baada ya uchaguzi kitu ambacho Tundu Lissu hawezi kwa sbabu tayari anatukana yeyote anayempinga kwamba ni mla rushwa na kapokea hela za Abdul na mama yake.

8. Tundu Lissu anatuhumiwa kuungwa mkono na makundi yaliyo nje ya Chadema yenye nia ovu ya kutaka kukiteka Chadema.Makundi hayo ni ya wanaharakati na Diaspora ambao kila kukicha wamekuwa wakimshambulia Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho.

9. Wajumbe kadhaa pia wamesema kiongozi yeyote wa Chadema hasa Mwenyekiti anapaswa kuwa mnyenyekevu kwa viongozi wenzake kitu ambacho Tundu Lissu hana, imedaiwa kitendo cha Tundu Lissu kuhutubia Taifa siku ya mwaka mpya ni utovu mkubwa wa nidhamu kwa Mwenyekiti wake kwani anayepaswa kuongea kwa niaba ya chama ni Mwenyekiti wa Taifa na si mtu mwingine.

10. Tundu Lissu siyo mtu wa maridhiano na mapatano kitu ambacho ni kibaya sana kwa kiongozi mkuu wa chama.Wajumbe wengi wamesema Mwenyekiti wa chama lazima awe mtu anayeweza kuzungumza na makundi mbalimbali na kukubaliana au kuridhiana na hata kama ikishindikana kukubaliana basi kuheshimiana kitu ambacho Lissu msipokubaliana jambo inakuwa kama uadui.

11. Tundu Lissu amekuwa mtu anayebadili kauli kila siku kutegemeana anataka kupata nini kwa wakati huo, kwa mfano siku za nyuma aliunga mkono maridhiano na akasema ni mazuri sana na kumsifia Rais Samia lakini sasa amegeuka kabisa kauli yake na anatumia kila aina ya lugha mbaya kumkejeli Mwenyekiti wake kuhusu maridhiano.

Kutokana na Tathmini iliyofanywa na Molemo Media Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe anatarajiwa kuchaguliwa tena na wajumbe na anatarajiwa kupata ushindi wa kati ya asilimia 60% mpaka 70% ya kura za wajumbe huku Tundu Lissu akitarajiwa kupata kura kati ya asilimia 30% mpaka 40% ya kura.

Molemo Media inatarajiwa kuwaletea tathmini yake kuhusu wagombea wa kiti cha Makamu Mwenyekiti hasa kwa wagimbea Maarufu Ezekiah Wenje na John Heche.
Wameshapewa laki tano tano unategemea nini?
 
Hawa ndio wanufaika wa pesa za chama na ndio maana huliwa makao makuu na kutofika chini majimboni au wilayani.
....Halafu ni mkurugenzi makao makuu....mjinga kiasi hiki....chawa kiasi hiki ..
 
Hawa ndio wanufaika wa pesa za chama na ndio maana huliwa makao makuu na kutofika chini majimboni au wilayani.
Utawala ulioshindwa wa Mbowe umetuletea mkurugenzi mwenye akili kama hizi...Na ni mkurugenzi zaidi miaka 10.Mbowe hafai kuendelea kuliongoza chadema.Ameshindwa
 
Chadema inaenda kuwa Kama CUF ya Lipumba
Haiwezi kuwa kama cuf buguruni ya Leprofeserer,ilachamoto itaona ili kuvuka na kwenda kwenye ustawi bora zaidi.Kisa wachawi wote wa mboga mboga wanaichawia hivi sasa kwa nguvu zao zote.
 
Back
Top Bottom