Baadhi ya wake za watu nimewanyooshea mikono, nasalimu amri

Baadhi ya wake za watu nimewanyooshea mikono, nasalimu amri

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚pesa ya nyama kila siku πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Utalipwa kula nyama...
Utalipwa kwa kila kitu utakachokifanya ukiwa na mimi
Yaani ni wewe tuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Utalipwa kula nyama...
Utalipwa kwa kila kitu utakachokifanya ukiwa na mimi
Yaani ni wewe tuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
acha upuuz πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ata chuo hujamaliza totoπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Dunia iko kasi sana aisee,

wiki 1 nyuma nimetumiwa msg facebook na demu wangu ambae tuliachana mwaka 2017.

Sikujibu, baada ya siku 2 akaandika namba yake, kibinaadamu nikaona nimcheki asije sema naringa.

Nikampigia tukasalimiana basi kila mtu akala kona yake.

Huyu dada aliolewa na mie sina mazoea na wake za watu, saa katika mazungumzo nikamuita MKE WA MTU, akawaka nanukuu, "UNANIITA MKE WA MTU UNATAKA KUNINYIMA NINI"? Nikahisi labda waliachana na mumewe na sasa yupo mwenyewe.

Sikutaka kuulizia direct ila nikatumia mbinu ya kumuomba tuonane (Yuko Arusha na mie nipo mkoa mwingine) ili kama yupo free ntajua. Akajibu hatoweza kutoka mumewe yupo labda tukutane mkoa X anaenda kwenye sherehe bila mumewe na inajulikana haitaleta shida.

Nikampima tena, nikamwambia Nilikuwa na Safari ya Arusha ndio maana nilitaka tuonane, sasa kukutania mkoani kisa kuonana tu sio issue tutabonga hata video call. Alichonijibu, WE MWANAUME UNARINGA SANA NINGETAKA KUKUONA NINGEOMBA PICHA AU NINGEANGALIA FACEBOOK PICHA ZAKO.

Kweli HANDS UP, imagine kuna mtu naye anajua ana mke.
Hapa unaingizwa kwenye circe ya kumtunza kila mmoja atapewa jukumu lake.
 
acha upuuz πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ata chuo hujamaliza totoπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™ Umeandika nini hapo juu...
Utafurah mimi nikilia humu et
Mbona unakua na kauli za kunitenge wewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Dry sana πŸ”“πŸ”“πŸ”“
 
πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™ Umeandika nini hapo juu...
Utafurah mimi nikilia humu et
Mbona unakua na kauli za kunitenge wewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Dry sana πŸ”“πŸ”“πŸ”“
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ila we jamaa
 
Mkuu mwambie amuache mume wako umuoe wewe ili umpe furaha zaidi.kuna wanaume wajinga wanaonaga raha kula wake za wenzio na kuanza kusababisha migogoro kwenye familia za wenzake.
Kabla hujalala na mke wa mtu jiulize upo tayari kuwa na huyo mwanamke iwapo mme wake akimufukuza,na wewe utajisikia vizuri siku mke wako akitombwa na mwanamue mwenzako.
 
Huenda tumetofautiana,
Mimi tukiachana ujue tumeachana sihitaji hata mambo yako popote, kwasababu tungekua tunapendana tungekua pamoja.


Umaskini ni Adui yangu namba 1

Magonjwa ni Adui yangu namba2

EX ni Adui yangu no 3

Hakuna kuachana kwa wema,eti wanasema tuliachana kwa wema weeeeee koma

Hivyo vitu hapo juu SIVIPENDI,NINAVICHUKIA,NINAVIKATAA,NA KUVITEKETEZA KATIKA JINA LA LA YESU
 
Dunia iko kasi sana aisee,

wiki 1 nyuma nimetumiwa msg facebook na demu wangu ambae tuliachana mwaka 2017.

Sikujibu, baada ya siku 2 akaandika namba yake, kibinaadamu nikaona nimcheki asije sema naringa.

Nikampigia tukasalimiana basi kila mtu akala kona yake.

Huyu dada aliolewa na mie sina mazoea na wake za watu, saa katika mazungumzo nikamuita MKE WA MTU, akawaka nanukuu, "UNANIITA MKE WA MTU UNATAKA KUNINYIMA NINI"? Nikahisi labda waliachana na mumewe na sasa yupo mwenyewe.

Sikutaka kuulizia direct ila nikatumia mbinu ya kumuomba tuonane (Yuko Arusha na mie nipo mkoa mwingine) ili kama yupo free ntajua. Akajibu hatoweza kutoka mumewe yupo labda tukutane mkoa X anaenda kwenye sherehe bila mumewe na inajulikana haitaleta shida.

Nikampima tena, nikamwambia Nilikuwa na Safari ya Arusha ndio maana nilitaka tuonane, sasa kukutania mkoani kisa kuonana tu sio issue tutabonga hata video call. Alichonijibu, WE MWANAUME UNARINGA SANA NINGETAKA KUKUONA NINGEOMBA PICHA AU NINGEANGALIA FACEBOOK PICHA ZAKO.

Kweli HANDS UP, imagine kuna mtu naye anajua ana mke.
Nona Sana, EX ni watu wa ajabu sana. Bahati Mbaya kila mtu na Ex wa Mwingine.
 
Back
Top Bottom