Mutatis_Mutandis
Senior Member
- Sep 17, 2020
- 159
- 265
utakosesha watu ruhusa za kwenda kwenye sherwhe mikoani kwa story zako za kubumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Popote tu muhim location 😋😋😋Nitoe hapa hapa kweli jamni
😂😂😂😂 Daah hata wewe ungeweza etyPopote tu muhim location 😋😋😋
uchoyooooo😂😂😂😂😂😂😂😂 Daah hata wewe ungeweza ety
Wee ndo mchoyo ujueuchoyooooo😂😂😂😂
Wee ujui tuu unapata dhambi ujueuchoyooooo😂😂😂😂
Hakuna social network yoyote ya kuja kuipiku facebuk kwa africa. Haya mengine huwa mnayazungumza tu kuji profile but facebuk is superb, hii JF ikasome miaka 100Hivi kumbe kuna raia zinatumia Facebook bado🤔
Jamii forum na Facebook kuna tofauti ipi? Jf ilikuwa zamaniHivi kumbe kuna raia zinatumia Facebook bado🤔
Uko sahihi kabisa mkuuHakuna social network yoyote ya kuja kuipiku facebuk kwa africa. Haya mengine huwa mnayazungumza tu kuji profile but facebuk is superb, hii JF ikasome miaka 100
unawaza ngono wewe😂😂😂😂😂😂Wee ujui tuu unapata dhambi ujue
Fanya basi na wewe fungua roho hiyounawaza ngono wewe😂😂😂😂😂😂
Tumia neno malayaDemu kama mliachana vizuri kuachana sio rahisi hata aolewe.
Just imagine wale wajinga wa Mapinduzi ya Congo juz kati, katikatinya harakat zao hawakusahau ku post facebuk !! 😂😂😂😂😂Uko sahihi kabisa mkuu
Mntafutaga nini kwenye simu zao!Na mimi juzi nimekuta shemeji yenu kamuandikia aliemtoa bikra kuwa hatomsahau
pombe zishakushukia chini,, ebu fanya ulale kijanaFanya basi na wewe fungua roho hiyo
.... natumaini haujaoa, ... kama umeoa usishangae ukimkuta wakwako na houseboy!Dunia iko kasi sana aisee,
wiki 1 nyuma nimetumiwa msg facebook na demu wangu ambae tuliachana mwaka 2017.
Sikujibu, baada ya siku 2 akaandika namba yake, kibinaadamu nikaona nimcheki asije sema naringa.
Nikampigia tukasalimiana basi kila mtu akala kona yake.
Huyu dada aliolewa na mie sina mazoea na wake za watu, saa katika mazungumzo nikamuita MKE WA MTU, akawaka nanukuu, "UNANIITA MKE WA MTU UNATAKA KUNINYIMA NINI"? Nikahisi labda waliachana na mumewe na sasa yupo mwenyewe.
Sikutaka kuulizia direct ila nikatumia mbinu ya kumuomba tuonane (Yuko Arusha na mie nipo mkoa mwingine) ili kama yupo free ntajua. Akajibu hatoweza kutoka mumewe yupo labda tukutane mkoa X anaenda kwenye sherehe bila mumewe na inajulikana haitaleta shida.
Nikampima tena, nikamwambia Nilikuwa na Safari ya Arusha ndio maana nilitaka tuonane, sasa kukutania mkoani kisa kuonana tu sio issue tutabonga hata video call. Alichonijibu, WE MWANAUME UNARINGA SANA NINGETAKA KUKUONA NINGEOMBA PICHA AU NINGEANGALIA FACEBOOK PICHA ZAKO.
Kweli HANDS UP, imagine kuna mtu naye anajua ana mke.
Mi situmiigi ujue 😂😂😂😂pombe zishakushukia chini,, ebu fanya ulale kijana