Baadhi ya wake za watu nimewanyooshea mikono, nasalimu amri

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚pesa ya nyama kila siku πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Utalipwa kula nyama...
Utalipwa kwa kila kitu utakachokifanya ukiwa na mimi
Yaani ni wewe tuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Utalipwa kula nyama...
Utalipwa kwa kila kitu utakachokifanya ukiwa na mimi
Yaani ni wewe tuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
acha upuuz πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ata chuo hujamaliza totoπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hapa unaingizwa kwenye circe ya kumtunza kila mmoja atapewa jukumu lake.
 
acha upuuz πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ata chuo hujamaliza totoπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™ Umeandika nini hapo juu...
Utafurah mimi nikilia humu et
Mbona unakua na kauli za kunitenge wewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Dry sana πŸ”“πŸ”“πŸ”“
 
πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™ Umeandika nini hapo juu...
Utafurah mimi nikilia humu et
Mbona unakua na kauli za kunitenge wewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Dry sana πŸ”“πŸ”“πŸ”“
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ila we jamaa
 
Mkuu mwambie amuache mume wako umuoe wewe ili umpe furaha zaidi.kuna wanaume wajinga wanaonaga raha kula wake za wenzio na kuanza kusababisha migogoro kwenye familia za wenzake.
Kabla hujalala na mke wa mtu jiulize upo tayari kuwa na huyo mwanamke iwapo mme wake akimufukuza,na wewe utajisikia vizuri siku mke wako akitombwa na mwanamue mwenzako.
 
Huenda tumetofautiana,
Mimi tukiachana ujue tumeachana sihitaji hata mambo yako popote, kwasababu tungekua tunapendana tungekua pamoja.


Umaskini ni Adui yangu namba 1

Magonjwa ni Adui yangu namba2

EX ni Adui yangu no 3

Hakuna kuachana kwa wema,eti wanasema tuliachana kwa wema weeeeee koma

Hivyo vitu hapo juu SIVIPENDI,NINAVICHUKIA,NINAVIKATAA,NA KUVITEKETEZA KATIKA JINA LA LA YESU
 
Nona Sana, EX ni watu wa ajabu sana. Bahati Mbaya kila mtu na Ex wa Mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…