Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu??? Ulipga?Niliwahi kumtongoza dada mmoja kiongozi wa kwaya ya kanisa moja la kilokole. Siku ya kwanza nimemtoa out jioni tumekaa sehemu, mimi kwa kujistukia nikaagiza soda, yule dada bila aibu akaagiza KONYAGI NDOGO!! Na akaifuta chap wala hajapepesuka. Sitakaa nisahau ile siku karibu nizimie kwa mshangao.
Hakuna aliye mkamilifu kanisa ni nyumba ya kumuabudu Mungu na kumpa sifa ata wachawi huwa wanafika maeneo ya kanisani hakuna mtu wakukufukuza kanisaniNilikuwa Kkkt nikatoka nikaenda kwa walokole.
Niligombanagana na viongozi wangu walipoona napost status za mwakasege.
Kuwauliza wanasema mwakasege ni MKKKT wakati mimi namuona yuko vizuri kuliko hata walokole wenyewe.
Dah hii kali😁😁Ukiwa na mke au gelefrendi mlokole we ndo unaongoza kwa hasara hapa duniani, ni waongo, wanafiki, akili za kushikiwa hawanaga maamuzi yao binafsi, ndo maana ni rahisi kumpa mzigo mchungaji wake na viongozi wengine kanisani, kingine vinajua kujiliza vina machozi mengi na ya karibu, wanaishigi na mapepo nadhani maana kila wakiombeana lazima waanguke kwa mapepo,
Hihi ya malasusa au huwajui vema mkuuNjoo kkkt huku hakuna majungu Wala uasherati halafu hakuna Yale mambo yakutenga watu sijui wewe unadhambi
Waumini wengi wa sasa kkkt ni tofauti na wale wa miaka ya 2015 kurudi nyuma ukimkwaza muumini haoni shida kuhama au kuanza kwenda kwa mwamposa kkkt nao walianza utaratibu wakuacha kuzika watu wasio fanta ibada kwa sasa naona wanazika yoyote ata ambaye afanyi ibadaHihi ya malasusa au huwajui vema mkuu
KKKT ndio walewale tu, walokole.Njoo kkkt huku hakuna majungu Wala uasherati halafu hakuna Yale mambo yakutenga watu sijui wewe unadhambi
Naachaje sasa? Tena nilikuja kumsababisha mpaka na ulokole akaacha, kwaya akaacha marafiki zake walinichukia balaa wakasema lazima ntaenda motoni.Alafu??? Ulipga?