Baadhi ya wana CHADEMA waanza kumpigia magoti Boniface Jacob na kumuomba Msamaha. Soma barua hii hapa

Baadhi ya wana CHADEMA waanza kumpigia magoti Boniface Jacob na kumuomba Msamaha. Soma barua hii hapa

Boniface Jacob ni mtu muhimu sana pale Chadema kwenye siasa za field. Nimemuona kwenye matukio muhimu ya kuwasemea wananchi haswa utekaji na ukiukaji wa haki.
Kwa kweli wana haki ya kumpigia magoti huyu ni mpambanaji huwezi kufananisha na wanasiasa wa majukwaani kama kina Heche.
Lilikuwa ni kosa kubwa sana kusema mmemkuta na begi la pesa anagawa hela chooni wakati wa uchaguzi tukaomba picha za ushahidi mpaka leo hazionekani haikuwa fair kuchafua wenzenu kusema wanafanya kazi ya CCM ndani ya chama wameuza chama. Huu mpasuko mmeuunda wenyewe hao ndio wadau muhimu pia wa ku organize pesa.
Mbaya zaidi hadi akina Mwamakula walishiriki kwenye huu uhuni!! Wamechafua sana image ya Wenzao hao washenzi.
 
Mbaya zaidi hadi akina Mwamakula walishiriki kwenye huu uhuni!! Wamechafua sana image ya Wenzao hao washenzi.
Ile kambi imefanya uharibifu mkubwa wa image za wenzao alafu leo wanawalaumu kwa nini awampi support Lissu. Unasema uchaguzi wa kumpata Sugu au Mungai ulikuwa ni hovyo zaidi ya serikali za mtaa alafu kesho unataka aliyepatikana kwenye huo uchaguzi akufate kukuunga mkono. How?
 
Ile kambi imefanya uharibifu mkubwa wa image za wenzao alafu leo wanawalaumu kwa nini awampi support Lissu. Unasema uchaguzi wa kumpata Sugu au Mungai ulikuwa ni hovyo zaidi ya serikali za mtaa alafu kesho unataka aliyepatikana kwenye huo uchaguzi akufate kukuunga mkono. How?
Hameni chama msiotaka kukubali kuwa Mbowe alishindwa Kwa kura halali.
 
Nipeni namba yake! Niongee nae hii kazi ndogo sana!

Nusu saa iliyopita nimetoka kutatua ishu kama hii huko marekani!

Nipeni namba chap chap, nilimalize Sina kipengele mkuu
 
CHADEMA imemaliza uchaguzi ikiwa imegawanyika sana. Jambo ambalo kila mtu alitarajia kutokea kwa sababu waliendesha siasa za kuchafuana ,kupakana matope, kuumizana,kujeruhiana na kudhalilishana wakitegemea kuwa ndio ilikuwa njia ya kupata ushindi. Wakasahau kuwa kuna kazi kubwa ya kujenga chama ambayo ilikuwa inakuja mbele yao. Kazi ya muda mrefu kuliko hata ya uchaguzi wenyewe. Sasa wamebakia na majeraha yasiyopona na yasiyowezwa kuponywa. Chama hakitaweza tena kusimama kwa umoja na mshikamano kama uliokuwepo awali. Ndio sababu kwa sasa wengi wameamua kujikalia kimya
Acha uchochezi wewe kiroboto mambo ya Chadema yanakuhusu nini? Kaa na uchawa wako huko huko ccm endelea Kubeba mkoba wa Samia!
Wewe mshamba kutoka Vyawa umeandika hiyo barua wewe mwenyewe halafu unajifanya imeandikwa na mwana Chadema!! Acha utoto huo mambo kama hayo yamepitwa na wakati. Hizi ni enzi za AI wewe mshamba.
 
Ile kambi imefanya uharibifu mkubwa wa image za wenzao alafu leo wanawalaumu kwa nini awampi support Lissu. Unasema uchaguzi wa kumpata Sugu au Mungai ulikuwa ni hovyo zaidi ya serikali za mtaa alafu kesho unataka aliyepatikana kwenye huo uchaguzi akufate kukuunga mkono. How?
Wamewachafua sana wenzao.
 
Mahali ilipofikia CHADEMA sasa ni Chama imara sana na hata wengi wakitoka na kuingia CHADEMA haitatetereka.
 
CHADEMA kwa sasa ni dhaifu na iliyogawanyika kuliko kipindi na wakati mwingine wowote ule.
Ccm na chawa wake mna pitia wakati mgumu sana toka pandikizi wenu Mbowe ashindwe uchaguzi!
Hakuna uhuru wa kweli bila haki, na Tunu hizi mbili hazipatikani bila sacrifice. Throughout history watu hupigana ili kupata haki yao na hivyo ndivyo Chadema inatakiwa kufanya.
Ansbert Ngurumo na kundi lake wanataka Chadema iendeleze mambo ya Mbowe na kutegemea to get a different result ; that is chasing a mirage!
Ccm will never leave power through negotiations, they have to be forced out somehow. To philosophise like the Ngurumos is counterproductive.
VIVA CHADEMA!
VIVA NO REFORMS NO ELECTIONS!
 
Ccm na chawa wake mna pitia wakati mgumu sana toka pandikizi wenu Mbowe ashindwe uchaguzi!
Hakuna uhuru wa kweli bila haki, na Tunu hizi mbili hazipatikani bila sacrifice. Throughout history watu hupigana ili kupata haki yao na hivyo ndivyo Chadema inatakiwa kufanya.
Ansbert Ngurumo na kundi lake wanataka Chadema iendeleze mambo ya Mbowe na kutegemea to get a different result ; that is chasing a mirage!
Ccm will never leave power through negotiations, they have to be forced out somehow. To philosophise like the Ngurumos is counterproductive.
👏👏👏🔊
 
CHADEMA imemaliza uchaguzi ikiwa imegawanyika sana. Jambo ambalo kila mtu alitarajia kutokea kwa sababu waliendesha siasa za kuchafuana ,kupakana matope, kuumizana,kujeruhiana na kudhalilishana wakitegemea kuwa ndio ilikuwa njia ya kupata ushindi. Wakasahau kuwa kuna kazi kubwa ya kujenga chama ambayo ilikuwa inakuja mbele yao. Kazi ya muda mrefu kuliko hata ya uchaguzi wenyewe. Sasa wamebakia na majeraha yasiyopona na yasiyowezwa kuponywa. Chama hakitaweza tena kusimama kwa umoja na mshikamano kama uliokuwepo awali. Ndio sababu kwa sasa wengi wameamua kujikalia kimya
Je huo mgawanyiko umesabishwa kwa maslai ya chama au kwa maslaii ya watu binafsi? Kama ni maslai ya watu binafsi chama kitasimama na hata kama ni kwa maslai ya Chama bado chama kitasimama.Haya mambo yalibidi yatokee ili CDM ipone la sivyo ndiyo ingesambaratika kabisa. Mpaka sasa hivi sijaona mwanachama yoyote ambaye ameamumua kuondoka CDM kwa ajili ya uchaguzi kwahiyo kila kitu kitakaa sawa.
 
Je huo mgawanyiko umesabishwa kwa maslai ya chama au kwa maslaii ya watu binafsi? Kama ni maslai ya watu binafsi chama kitasimama na hata kama ni kwa maslai ya Chama bado chama kitasimama.Haya mambo yalibidi yatokee ili CDM ipone la sivyo ndiyo ingesambaratika kabisa. Mpaka sasa hivi sijaona mwanachama yoyote ambaye ameamumua kuondoka CDM kwa ajili ya uchaguzi kwahiyo kila kitu kitakaa sawa.
Mgawanyiko huo ni kwa maslahi ya chama . Kwa sababu kila mwenye akili Timamu ndani ya CHADEMA anafahamu kuwa lissu hana uwezo wa kuipeleka mbele CHADEMA na ikapata mafanikio na kuimarika.
 
Back
Top Bottom