Baadhi ya Wanachama wa JF acheni tabia hii

Baadhi ya Wanachama wa JF acheni tabia hii

CHAI
23.jpg
 
Kuna hii tabia ya baadhi ya watumiaji wa huu mtandao ukipost kitu wao wanakuja kudandia maraa ohh "Subiri waje" "Subiri muongozo" ili mradi tu waongeze scores na points kwenye akaunt zao. ACHENIII
Bila kusahau wale wanaoita Kila mtu Chawa , yaani kusifia mazuri ya serikali ni tatizo ila ukiponda wewe ni mjanja . Pumbavu sana
 
Back
Top Bottom