Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Status
Not open for further replies.
ila wadada wa JF wengi majizi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
leo goja yaisha haya siku ingine litafutuka lingine .. swala la mdaaa tu [emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaambiwa na mie natafutwa niingie kwenye 18 za waja, ntahamaa JF. Nachekaaa hadiii baas, woiiiiih

Boraaa yafutukeee, mie rohoo kwatuu mpenda ubuyuuu.
 
Katumia na ya kutolea
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… hapana alipata ka buku mbili tu ka vocha .. baada ya hapo nikatia mgomo.. mala anataka KFC mala ooh! nikawa naumbia niambie mahala popote nikufate anakwepaaa.. nikaona chengaa hii kama chengaa zingineee akala na block
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… bae wake msoja
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†, nacheka kama mazuri lkn

Asee jf tamu sana mkuu, hawa watu napendaga kuwaumbua vibaya sana, πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Dogo choko sana
 
[emoji28][emoji28][emoji28] hapana alipata ka buku mbili tu ka vocha .. baada ya hapo nikatia mgomo.. mala anataka KFC mala ooh! nikawa naumbia niambie mahala popote nikufate anakwepaaa.. nikaona chengaa hii kama chengaa zingineee akala na block
Ankoliii nifatee hapa Mawasilianoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Woiiiiiiii ulipigwa ya vochaaaa daaah
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…