Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Status
Not open for further replies.
Ila mi kila siku nawaonyaga watu huwa hasikii asee,

Mi nimekaa [emoji117][emoji117][emoji117][emoji117], demu mzuri mtafute mtaani humo humu hamna kazi kwa asilimia kubwa [emoji41][emoji41]

Na picha zao sasa ukilinganisha na dp duuh, Mungu asaidie kwa kweli [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
JF ni porii sio kichaka tenaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
20230127_131827.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom