Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Status
Not open for further replies.
[emoji28][emoji28][emoji28] dogo alikuwa na ma ahadi ya hatari yani . alafu nilikuwa speed nilikuwa na mda mchache sana hapa town.. mambo mazito yalikuwa nimtunie nauli tuje tukae mwanza anipe furaha hata wiki hivi..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ankoliii niacheee, hadi huyu niliyekua nae hapa anasema ataniporaa cm, maana nimekua chizii.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Habarini za asubuhi wapendwa natumai mpo poa.

Leo naomba niseme hivi kuna baadhi ya sisi wanaume tumekuwa na tabia ya kujifanya mwanamke yaani ni mshikaji kabisa anakuja PM anajifanya mwanamke ananza kukuomba pesa na virungu vya hapa na pale. Thamani yetu wanaume ni kubwa sana tubadilike. Kwanza unanzaje kama shida ni pesa si uombe members tutakupiga tafu kuliko hiviiiπŸ€”πŸ€”
Pole mwamba...
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28], embu tuone, hahaha sijui itakuwaje humu ndani asee, [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji51][emoji51]
Mtatafutanaa hiyo sikuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tena Wanaume wa humu kwa kupemba Wowowo wamepigwa wengi hebu jitokezeni huko mliko jificha tuwape pole ya kinafkii😁😁
Wajitokeze wamerogwaaa😊😊😊 wanaugulia maumivu kimyaa kimyaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ankoliii niacheee, hadi huyu niliyekua nae hapa anasema ataniporaa cm, maana nimekua chizii.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
tulikuwa tunashanga panga aje mwanza tule maisha hadi nimsahahu wife πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…... ningetuma nauli mbona ningelia aisee chozi.. na hali ilivyo tight sasa hivi . ninge mroga
 
Mtatafutanaa hiyo sikuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila mi kila siku nawaonyaga watu huwa hasikii asee,

Mi nimekaa πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰, demu mzuri mtafute mtaani humo humu hamna kazi kwa asilimia kubwa 😎😎

Na picha zao sasa ukilinganisha na dp duuh, Mungu asaidie kwa kweli πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom