YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Mi mwenyewe njaa kali tu sikutuma kitu mkuu,Dah nimecheka sana Leo....
Wewe in total umepigwa ngap
Ila JF π€π€π€π€π€ salute, hali si nzuri kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi mwenyewe njaa kali tu sikutuma kitu mkuu,Dah nimecheka sana Leo....
Wewe in total umepigwa ngap
Hahahahhaaha uwiiii poleni sana huyo jamaa atafutwe asulubiwenamjua mmoja nipo nachart nae tunachekaa kinomaaa π π π
π π π π πHaya maisha haya mda huo unapanga yote hayo
Mwenzio anachat kavaa boxer...na ndevu hajanyoa mda tu
Khakhakhaaaa..πππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Hali ni tete ππππππ
Na ukituma tu hata kama ni mwanamke anailaMi mwenyewe njaa kali tu sikutuma kitu mkuu,
Ila JF π€π€π€π€π€ salute, hali si nzuri kabisa
kuna uzi nilifungua kwamba nimemkopesha mtu hataki kunilipia.... basi ndo akatumia kama gia ya kuomba helatatizo mnajifanya mna hela.... mm mbona hawaniombi?
Hiyo ni obvious kabisa, π π π πNa ukituma tu hata kama ni mwanamke anaila
Ndio watuliegee sasa!!Itakua Kuna list kubwa sana wameliwa ela
Tena Wanaume wa humu kwa kupemba Wowowo wamepigwa wengi hebu jitokezeni huko mliko jificha tuwape pole ya kinafkiiππAnkoli akee kumbe nawe umoooo sio kwa kupenda wowo hukoooπππ!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ankoliii niacheee, hadi huyu niliyekua nae hapa anasema ataniporaa cm, maana nimekua chizii.[emoji28][emoji28][emoji28] dogo alikuwa na ma ahadi ya hatari yani . alafu nilikuwa speed nilikuwa na mda mchache sana hapa town.. mambo mazito yalikuwa nimtunie nauli tuje tukae mwanza anipe furaha hata wiki hivi..
Pole mwamba...Habarini za asubuhi wapendwa natumai mpo poa.
Leo naomba niseme hivi kuna baadhi ya sisi wanaume tumekuwa na tabia ya kujifanya mwanamke yaani ni mshikaji kabisa anakuja PM anajifanya mwanamke ananza kukuomba pesa na virungu vya hapa na pale. Thamani yetu wanaume ni kubwa sana tubadilike. Kwanza unanzaje kama shida ni pesa si uombe members tutakupiga tafu kuliko hiviiiπ€π€
Mtatafutanaa hiyo sikuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28], embu tuone, hahaha sijui itakuwaje humu ndani asee, [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji51][emoji51]
Wajitokeze wamerogwaaaπππ wanaugulia maumivu kimyaa kimyaaTena Wanaume wa humu kwa kupemba Wowowo wamepigwa wengi hebu jitokezeni huko mliko jificha tuwape pole ya kinafkiiππ
mnatubutua sanaMtatafutanaa hiyo sikuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaone kwanza πππTena Wanaume wa humu kwa kupemba Wowowo wamepigwa wengi hebu jitokezeni huko mliko jificha tuwape pole ya kinafkiiππ
tulikuwa tunashanga panga aje mwanza tule maisha hadi nimsahahu wife π π π ... ningetuma nauli mbona ningelia aisee chozi.. na hali ilivyo tight sasa hivi . ninge mroga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ankoliii niacheee, hadi huyu niliyekua nae hapa anasema ataniporaa cm, maana nimekua chizii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ankoliii nimekushusha vyeo vyotee leo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],upwiru ulifuta akili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] "chuna buzi"mnatubutua sana
Wakitoka hapo utaona mada zitakuwa nyingi mara single mamaziii si watu,Ukitaka kuoa oa bikra yaani hapo ujue machungu ya kupigwa pm yanapungunzwa π¬Wajitokeze wamerogwaaaπππ wanaugilia maumivu kimyaa kimyaa
Ila mi kila siku nawaonyaga watu huwa hasikii asee,Mtatafutanaa hiyo sikuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]