Baadhi ya wanaume ni wanyama sana na haipendezi

Wanawake wahuni wanatumia sana uwongo wa kutotiwa na waume zao ili watiwe kimasihara bila mtongozo wanajirengesha kihivo. Tunawajuq hao, kwanza Mshenzi 10 habebi mimba kachomoa ngapi?
 
Na ukamuamini?Alivyomaliza kukusimulia hakukukopa hela?
 
We mtu hajakuoa anakwambia umzalie unakubali? Ukiamua kuzaa tambua umeamua kuwa single mama
Hata walioolewa wanaweza kuachwa / kuacha. Mtu akiamua kukuacha anakutengenezea visa unaondoka mwenyewe
 
.............dada leo ana kazi aya anataka kuachwa nini atafanya...........

Hapa umemaanisha nini mkuu?
 
Mpende mtu ukiwa na akili zako, wengi wanaacha hisia ziwaamulie.
 
Kwa hiyo una uhakika huyo mwanamke hajazingua? lazima uelewe hao watu wapo vizuri kwenye kutafuta attention na sympathy hata kama yeye ndo alilikoroga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…