Sanaaa mpaka wengine huwa nawakataa maana nikisafiri week nikirud nyumba kama jalala la tandikaShoga angu hongera sana!Mimi hapa Nina wanafunzi sitaki wanipikie akuuu[emoji23] vya primary!nkirudi napika mwenyewe .
Nilisema napumzika mabinti maana wanasumbua jamani!
Naona unakula raha km nyau La kizungu!!
Watumie gwanju/sabuni ya magadi kwa ajili ya kuoga inasaidia kupunguza jashoAsa ulitaka wajinyunyizie udi na ubani au wanukie marashi ya pemba kama wanaume wa upareni?
Mwanaume kunuka jasho ni ishara ya upambanaji. Kila la kheri wapambanaji wa Dar.
karibu sanaaa uone na coco beach ya singidaaaa haha hatariiiNakuja huko soon j3 next week nikitokea dar nasikia kuna hotel nzuri Regency
yeah katala beach chamdeko ila usije na mshana me sitakuja
we utakuwa wa hukuuu ase ,Hahahaha Aqua vitae pale Na Friends
Kirima ubungo kuku chomaa
Kaah!pole ushoga wa mjini kazi etiii!Sanaaa mpaka wengine huwa nawakataa maana nikisafiri week nikirud nyumba kama jalala la tandika
Uko sahihi kbsTungetukanwaa mpk kufutwa Uzi na wanaume wengine walivyo mapugii wangerefer mpk wadada waliowala humu kua wananuka[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sawa Mkuu ,tupange sikuSawa chief
tukutana mang'ula kona pale.
hahahaBaadhi ya wanawake wa dar wananuka chini.
Tukimwaga ugali itakua aibu mkuu,tunafunika kombe tu ili yule naniu apiteWanaume wenzangu wa Dar shemeji amemwaga mboga ni muda wetu sasa kumwaga ugali![emoji53][emoji53][emoji53]
Kuna siku nilipanda hiyo ya kutoka kivukoni aisee wale samaki wana harufu si mchezoMhh mbona observation iko biased
Mimi hapa niko kwenye Mwendokasi natoke Kivukoni naelekea Shekilango wanawake walionizingira wananuka zaidi ya KIKWAPA yaani kinaitwa KIBEBERU na wengine wamechanganya VUMBA LA SAMAKI+KIBEBERU+ LEAKAGE = ???????.