Baadhi ya wanawake kuvaa nguo zinazoonesha maungio yao kwenye nyumba za ibada tatizo ni nini?

Baadhi ya wanawake kuvaa nguo zinazoonesha maungio yao kwenye nyumba za ibada tatizo ni nini?

Metronidazole 400mg

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
941
Reaction score
2,062
Leo katika nipo kanisani kuenda kumuomba Mwenyezi Mungu ila nimekutana na hali ambayo imenifanya niwaze Sana bila kupata majibu.

Ni hivi Moja ya mmama ambaye ni wale wanaovaa badge Kama wahudumu wa kanisa, endapo mtu kalipuka Pepo basi wao wanatoa msaada wa kumchukua na kumpeleka mbele ili kuombewa ( kwa watu wenye Imani Kama yangu najua mmenipata hapa).

Huyu mama (kimwonekano ni mtu mzima), kavaa gauni zuri TU la kujistiri ila tatizo linaonyesha ndani MPAKA unaona chupi wazi wazi, Sasa nimeshindwa kuelewa hajui au ameamua kufanya maksudi?

Alafu pia alikuwa anapeleka hai wenye mapepo MPAKA mbele ambapo mtumishi yupo anahubiri Sasa nashindwa kuelewa, mtumishi wakiume kweli kwa Hali hiyo haiwezi mtamani? Maana ni mashaalah kiujumla

Binafsi nikiri Ibada ya Leo nilishindwa kabisa ku concentrate kutokana majaribio haya, nikaamua kusepa kabla hata ya Ibada kuisha maana niliona najichora TU.

Tukio lingine, Kuna mtumishi wa Mungu mkubwa alikuja wiki iliyopita kwenye huu mkoa niliopo anatokea dsm, Sasa na Mimi nikasema Acha niende nikamuombe Mungu wangu.

Sasa katika ile Hali ya kugombania usafiri (daladala) Kuna huyo msichana alikuwa kavaa nusu uchi (kimini kwenye mapaja kabisa), yaani mfano akiinama kila kitu nje nje, na yeye alikuwa anaelekea huko huko.

Ilikuwa aibu Sana kwa sababu mpk wafanyabiashara wa pale stendi walimzomea na kujiuliza ni maombi gani msichana Kama huyu anaenda na mavazi hayo?

Kiukweli niliwaza Sana tukio Hilo, ikabidi niende TU maana tayari nilishapoteza muda na gharama.

Ila Sasa Toka tukio Hilo nikijumlisha na hili nashindwa kuelewa ndio Dunia imekwisha au shida Iko wapi wakuu?

Nawasilisha.
 
Kila mmoja anaenda sehemu ya ibada na nia yake.

Wewe ulienda kuomba Mungu pengine yeye alienda kutafuta mume. Biashara ni matangazo.

As long as hakuja kukukalia ama kukuomba umshike basi wewe shinda moyo wako na ufiche macho yako kwa kuombea shida zako kwa nguvu zote. Hayo mengine hutayaona.
 
Leo katika nipo kanisani kuenda kumuomba Mwenyezi Mungu ila nimekutana na hali ambayo imenifanya niwaze Sana bila kupata majibu.

Ni hivi Moja ya mmama ambaye ni wale wanaovaa badge Kama wahudumu wa kanisa, endapo mtu kalipuka Pepo basi wao wanatoa msaada wa kumchukua na kumpeleka mbele ili kuombewa ( kwa watu wenye Imani Kama yangu najua mmenipata hapa).

Huyu mama (kimwonekano ni mtu mzima), kavaa gauni zuri TU la kujistiri ila tatizo linaonyesha ndani MPAKA unaona chupi wazi wazi, Sasa nimeshindwa kuelewa hajui au ameamua kufanya maksudi?

Alafu pia alikuwa anapeleka hai wenye mapepo MPAKA mbele ambapo mtumishi yupo anahubiri Sasa nashindwa kuelewa, mtumishi wakiume kweli kwa Hali hiyo haiwezi mtamani? Maana ni mashaalah kiujumla

Binafsi nikiri Ibada ya Leo nilishindwa kabisa ku concentrate kutokana majaribio haya, nikaamua kusepa kabla hata ya Ibada kuisha maana niliona najichora TU.

Tukio lingine, Kuna mtumishi wa Mungu mkubwa alikuja wiki iliyopita kwenye huu mkoa niliopo anatokea dsm, Sasa na Mimi nikasema Acha niende nikamuombe Mungu wangu.

Sasa katika ile Hali ya kugombania usafiri (daladala) Kuna huyo msichana alikuwa kavaa nusu uchi (kimini kwenye mapaja kabisa), yaani mfano akiinama kila kitu nje nje, na yeye alikuwa anaelekea huko huko.

Ilikuwa aibu Sana kwa sababu mpk wafanyabiashara wa pale stendi walimzomea na kujiuliza ni maombi gani msichana Kama huyu anaenda na mavazi hayo?

Kiukweli niliwaza Sana tukio Hilo, ikabidi niende TU maana tayari nilishapoteza muda na gharama.

Ila Sasa Toka tukio Hilo nikijumlisha na hili nashindwa kuelewa ndio Dunia imekwisha au shida Iko wapi wakuu?

Nawasilisha.
mungu wa wakristo anaangalia roho sio mavazi,hata wakiingia kanisani uchi wa mnyama ni sawa tu#au wakiingia dume limempachika mwenzie zakari sawa, yesu ana tatizo kabisa anaruhusu yote hayo, Kobazi mtajijua wenyewe na wivu wenu,sisi wakristo mwendo wakufurahisha macho kwakuona vitovu na bikini za warembo siku ya misa, mungu wetu anaangalia nafsii
 
Kila mmoja anaenda sehemu ya ibada na nia yake.

Wewe ulienda kuomba Mungu pengine yeye alienda kutafuta mume. Biashara ni matangazo.

As long as hakuja kukukalia ama kukuomba umshike basi wewe shinda moyo wako na ufiche macho yako kwa kuombea shida zako kwa nguvu zote. Hayo mengine hutayaona.
Daah....haya ndio majaribu mkuu, yahitaji moyo kukabiliana nayo
 
Tatizo mnashikilia imani zisizo na msingi kiasi kwamba mnaona mko sahihi kuliko yeyote ..
 
Catholic siku hizi wamebanwa,akienda mwanamke na nguo yake fupi sijui anaonyesha mabega au nguo imem'bana sana getini anakabidhiwa khanga kukuu kuu au mgololi wa kimasai ajisitiri.

Wiki inayofuata haji hivyo na hii imesaidia sana.
 
Leo katika nipo kanisani kuenda kumuomba Mwenyezi Mungu ila nimekutana na hali ambayo imenifanya niwaze Sana bila kupata majibu.

Ni hivi Moja ya mmama ambaye ni wale wanaovaa badge Kama wahudumu wa kanisa, endapo mtu kalipuka Pepo basi wao wanatoa msaada wa kumchukua na kumpeleka mbele ili kuombewa ( kwa watu wenye Imani Kama yangu najua mmenipata hapa).

Huyu mama (kimwonekano ni mtu mzima), kavaa gauni zuri TU la kujistiri ila tatizo linaonyesha ndani MPAKA unaona chupi wazi wazi, Sasa nimeshindwa kuelewa hajui au ameamua kufanya maksudi?

Alafu pia alikuwa anapeleka hai wenye mapepo MPAKA mbele ambapo mtumishi yupo anahubiri Sasa nashindwa kuelewa, mtumishi wakiume kweli kwa Hali hiyo haiwezi mtamani? Maana ni mashaalah kiujumla

Binafsi nikiri Ibada ya Leo nilishindwa kabisa ku concentrate kutokana majaribio haya, nikaamua kusepa kabla hata ya Ibada kuisha maana niliona najichora TU.

Tukio lingine, Kuna mtumishi wa Mungu mkubwa alikuja wiki iliyopita kwenye huu mkoa niliopo anatokea dsm, Sasa na Mimi nikasema Acha niende nikamuombe Mungu wangu.

Sasa katika ile Hali ya kugombania usafiri (daladala) Kuna huyo msichana alikuwa kavaa nusu uchi (kimini kwenye mapaja kabisa), yaani mfano akiinama kila kitu nje nje, na yeye alikuwa anaelekea huko huko.

Ilikuwa aibu Sana kwa sababu mpk wafanyabiashara wa pale stendi walimzomea na kujiuliza ni maombi gani msichana Kama huyu anaenda na mavazi hayo?

Kiukweli niliwaza Sana tukio Hilo, ikabidi niende TU maana tayari nilishapoteza muda na gharama.

Ila Sasa Toka tukio Hilo nikijumlisha na hili nashindwa kuelewa ndio Dunia imekwisha au shida Iko wapi wakuu?

Nawasilisha.
Siku hizi wadada wengi hawavai underskirt wao wakisha vaa tight imetoka hiyo, matokeo yake akivaa nguo hajui kama inaanganza na hayo ndiyo yanakuwa matokeo yake
 
Leo katika nipo kanisani kuenda kumuomba Mwenyezi Mungu ila nimekutana na hali ambayo imenifanya niwaze Sana bila kupata majibu.

Ni hivi Moja ya mmama ambaye ni wale wanaovaa badge Kama wahudumu wa kanisa, endapo mtu kalipuka Pepo basi wao wanatoa msaada wa kumchukua na kumpeleka mbele ili kuombewa ( kwa watu wenye Imani Kama yangu najua mmenipata hapa).

Huyu mama (kimwonekano ni mtu mzima), kavaa gauni zuri TU la kujistiri ila tatizo linaonyesha ndani MPAKA unaona chupi wazi wazi, Sasa nimeshindwa kuelewa hajui au ameamua kufanya maksudi?

Alafu pia alikuwa anapeleka hai wenye mapepo MPAKA mbele ambapo mtumishi yupo anahubiri Sasa nashindwa kuelewa, mtumishi wakiume kweli kwa Hali hiyo haiwezi mtamani? Maana ni mashaalah kiujumla

Binafsi nikiri Ibada ya Leo nilishindwa kabisa ku concentrate kutokana majaribio haya, nikaamua kusepa kabla hata ya Ibada kuisha maana niliona najichora TU.

Tukio lingine, Kuna mtumishi wa Mungu mkubwa alikuja wiki iliyopita kwenye huu mkoa niliopo anatokea dsm, Sasa na Mimi nikasema Acha niende nikamuombe Mungu wangu.

Sasa katika ile Hali ya kugombania usafiri (daladala) Kuna huyo msichana alikuwa kavaa nusu uchi (kimini kwenye mapaja kabisa), yaani mfano akiinama kila kitu nje nje, na yeye alikuwa anaelekea huko huko.

Ilikuwa aibu Sana kwa sababu mpk wafanyabiashara wa pale stendi walimzomea na kujiuliza ni maombi gani msichana Kama huyu anaenda na mavazi hayo?

Kiukweli niliwaza Sana tukio Hilo, ikabidi niende TU maana tayari nilishapoteza muda na gharama.

Ila Sasa Toka tukio Hilo nikijumlisha na hili nashindwa kuelewa ndio Dunia imekwisha au shida Iko wapi wakuu?

Nawasilisha.
Tatizo ni wewe, ingia kanisani sali nenda zako.
 
Back
Top Bottom