Baadhi ya wanawake kuvaa nguo zinazoonesha maungio yao kwenye nyumba za ibada tatizo ni nini?

Baadhi ya wanawake kuvaa nguo zinazoonesha maungio yao kwenye nyumba za ibada tatizo ni nini?

Nyie mnaotetea hili kwa wanawake kwenda nusu uchi ujue hawa dada zao au wake zao wanatabia hiyo, sisi watz tunatabia moja, ya kufosi ushabiki, hata jambo liko kinyume ya sheria, kisa wengine kuogopa aibu, walichonacho, ukristo waulaya, hii tabia hawana, yakwenda nusu uchi.
wanaoshabikia haya mambo ni WANGESE NASA!!
 
Nyie mnaotetea hili kwa wanawake kwenda nusu uchi ujue hawa dada zao au wake zao wanatabia hiyo, sisi watz tunatabia moja, ya kufosi ushabiki, hata jambo liko kinyume ya sheria, kisa wengine kuogopa aibu, walichonacho, ukristo waulaya, hii tabia hawana, yakwenda nusu uchi.
Sasamtu mmoja kavaa anavyojua yeye, ndiye anikoseshe nisiabudu ibada yangu? Yeye atajuana na Mungu wake , kwamaana hana mbigu ya kuniweka, naa Wala sitetei wahusika watahusika naye huko!
 
Back
Top Bottom