Baadhi ya wanawake kuvaa nguo zinazoonesha maungio yao kwenye nyumba za ibada tatizo ni nini?

Ni sawa lakini haya lazima yapigwe hawezekani kwa kauli yako hii, mtu avae tu anavyotaka yeye, kisa hujaja kumtizama yeye, ukristo ndo unazidi kujimaliza hv . Mbona waislamu wanasheria zao, za kuingia msiktini??
 
Bila picha hutaeleweka
 
Siku hizi popote penye mkusanyika hutumika na wadada wauza uchi kujitafutia wateja wapya kwa ajili ya biashara zao,hata misikitini kusingekuwa na sheria kali napo wangekuwepo.
 
Ya kwamba mme huwa anatafutwa kwa kuvaa vimini hii mbona ni mpya?😃😃😃😃😀😃.
Kwa hiyo ww mmeo uliye naye ulimpata baada ya baada ya kumtangazia mapaja yako yalivyo kwa kumvalia kumini?
 
Ya kwamba mme huwa anatafutwa kwa kuvaa vimini hii mbona ni mpya?😃😃😃😃😀😃.
Kwa hiyo ww mmeo uliye naye ulimpata baada ya baada ya kumtangazia mapaja yako yalivyo kwa kumvalia kumini?
Bwashee sifiri mashoga mimi. Acha kufosi mambo basi.

Kina Diddy wapo wengi, wapelekee nyero yako iliyooza wakufirimbe.
 
Ungekuja na ushahidi wa picha mkuu
 

"Mungu anaangalia moyo na si mavazi "

Ipo siku watu wataanza kuingia na chupi pekee na hakuna atakaye mwambia mtu kitu, maana dini ikikosa standards kinachobaki ni aibu.
 
una pepo
 
wametumwa na shetan kuwakwaza wa2 wa MUNGU!!
 
Mkuu inawezekana na wewe unahitaji kupelekwa mbele kwa mtumishi kuombewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…