Baadhi ya wanawake siku hizi ni wezi na matapeli

Weeee!!acha kabisaa!! Jamani tulikua tunaibiana kaahh!kuna siku niliibiwaga skini taiti mpyaa nusu nilichongaa mpk baasi
Watu wanakwiba hadi chupi, kwahiyo ujue hizo ni tabia tu. Huyu anaiba dukani kwa mtu yule anaiba shuleni.
 
Hahaaaahaaa sasa hv aibu unarushwa kwenye sosho media
Watu wanakwiba hadi chupi, kwahiyo ujue hizo ni tabia tu. Huyu anaiba dukani kwa mtu yule anaiba shuleni.
 
Hii sijui km kuna asiyepitia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niliwahi kuiba maji kipindi cha shida ya maji[emoji85][emoji85][emoji85]
 
[emoji3][emoji3][emoji3] tabia mbaya, ila kama siku moja nimekusamehe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We maji nimeyafuata mbali kweli nafika nayaweka dkk 5 tu yamebebwa[emoji134][emoji134]
Nikasema wasinitanie nami nikaiba ya mtu.
 
Hebu niache kwanza [emoji23][emoji23][emoji23]Biriani akalitafutie Pengine..

Halafu unanitoa kwenye reli mpaka muda huu sijachangia mada bado tunadeal na birian tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimemnyima biriani si shoga miyee[emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hebu niache kwanza [emoji23][emoji23][emoji23]Biriani akalitafutie Pengine..

Halafu unanitoa kwenye reli mpaka muda huu sijachangia mada bado tunadeal na birian tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaaa....!!! Hujachangia kumbe!!!!kwa hyo hapa unasoma eeehh?!!
 
Hahaaa...hakuna asiyefanya hii!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We maji nimeyafuata mbali kweli nafika nayaweka dkk 5 tu yamebebwa[emoji134][emoji134]
Nikasema wasinitanie nami nikaiba ya mtu.
 
Mi nshawahi weka chupi na yakabebwa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]na nkaikuta nilichongaaaaa....balaaa
[emoji3][emoji3][emoji3] tabia mbaya, ila kama siku moja nimekusamehe
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mate hawa nafikiri nimewapa fake appointment kwa kweli maana si kwa kunikomalia hukooo!![emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]nshakua shoga jamani kaajj
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi kuna kitu umewalia hao watu au wanakufananisha na raybaby?[emoji134]
 
Hizi generalization zako mimi zinanichoshaga sana, huwezi kusema hakuna asiyefanya
Kwenye stori tu my dear kwa sababu hivi vitu kishuleshule kawaida sanaa...labda nyie mlosoma seminary ila huku kwetu kawaida sanaa...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji11]yaani japo wapo wasofanya ila ni wachache so wanaingia kwenye majority rule!!!!
 
Kwenye stori tu my dear kwa sababu hivi vitu kishuleshule kawaida sanaa...labda nyie mlosoma seminary ila huku kwetu kawaida sanaa...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji11]yaani japo wapo wasofanya ila ni wachache so wanaingia kwenye majority rule!!!!
Hapana mimi sijawahi kusoma seminary, tena nimesoma boarding private na serikali, sijawahi kufanya hiyo kitu. Nikichukua maji ya mtu labda naoshea kikombe, sahani au kijiko lakini sikuwahi kubeba maji ya mtu. Uje unafikiria mtu kachota maji yake kaweka uvunguni, amepiga hesabu ataamka saa kumi na mbili na nusu anaoga saa moja anatoka bwenini halafu anaamka muda huo maji hayapo, ni ukatili mkubwa sana
 
Dah,nimeumia sana rohoni(sio kwasababu ya mada lahasha ni kwasababu ya mtoa mada,yaani mwanaume mzima kujijumlisha kuwa na wewe ni mwanamke)
Hata kama wewe ni shoga lakini siuna mboo?acha mambo zako bhana

Mie huwa najua anaitwa Rayna vero

Nadhani umemfananisha na yule Ray mwingine mwenye jinsia tata
 
Hahaaa...bora we muungwana kuna watu hawana hizo mi nshaibiwa skin taiti nkajiuliza anavaaje sasa?
 
Mie huwa najua anaitwa Rayna vero

Nadhani umemfananisha na yule Ray mwingine mwenye jinsia tata
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]yaani huyu kanichekesha balaaa...ungemuacha na ujinga wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…