Baadhi ya wanawake siku hizi ni wezi na matapeli

Baadhi ya wanawake siku hizi ni wezi na matapeli

Hapana mimi sijawahi kusoma seminary, tena nimesoma boarding private na serikali, sijawahi kufanya hiyo kitu. Nikichukua maji ya mtu labda naoshea kikombe, sahani au kijiko lakini sikuwahi kubeba maji ya mtu. Uje unafikiria mtu kachota maji yake kaweka uvunguni, amepiga hesabu ataamka saa kumi na mbili na nusu anaoga saa moja anatoka bwenini halafu anaamka muda huo maji hayapo, ni ukatili mkubwa sana
Kuiba ni kuiba tu mwenza kiwe kidogo au kikubwa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuiba ni kuiba tu mwenza kiwe kidogo au kikubwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana hatufanani, hiyo kidogo ninachukua siibi na hata mwenyewe akija kuuliza nani amepunguza maji yangu nitamwambia ni mimi au hata akiwepo nitachota. Mind you hata hiyo kidogo sichoti kwa yeyote nachota kwa yule nnayeelewana nae
 
Hapana hatufanani, hiyo kidogo ninachukua siibi na hata mwenyewe akija kuuliza nani amepunguza maji yangu nitamwambia ni mimi au hata akiwepo nitachota. Mind you hata hiyo kidogo sichoti kwa yeyote nachota kwa yule nnayeelewana nae
Hongera aseee
 
Hongera aseee
My dear enzi niko mdogo nilikuwa mdokozi sana, nakumbuka kuna wakati kaka yetu mkubwa alikuja kututembelea akaambiwa tabia yangu, hakunipiga wala kunikaripia. Aliniambia maneno mazito ingawa nilikuwa mdogo yaliniingia kisawasawa na hadi leo nayakumbuka. Tangu wakati huo sijawahi kumuibia mtu hata penseli
 
My dear enzi niko mdogo nilikuwa mdokozi sana, nakumbuka kuna wakati kaka yetu mkubwa alikuja kututembelea akaambiwa tabia yangu, hakunipiga wala kunikaripia. Aliniambia maneno mazito ingawa nilikuwa mdogo yaliniingia kisawasawa na hadi leo nayakumbuka. Tangu wakati huo sijawahi kumuibia mtu hata penseli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe umeanza kitambo eeh[emoji85][emoji85][emoji85]
 
Hapana hatufanani, hiyo kidogo ninachukua siibi na hata mwenyewe akija kuuliza nani amepunguza maji yangu nitamwambia ni mimi au hata akiwepo nitachota. Mind you hata hiyo kidogo sichoti kwa yeyote nachota kwa yule nnayeelewana nae
Mmmmmmmmmmmmmmh!!![emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
My dear enzi niko mdogo nilikuwa mdokozi sana, nakumbuka kuna wakati kaka yetu mkubwa alikuja kututembelea akaambiwa tabia yangu, hakunipiga wala kunikaripia. Aliniambia maneno mazito ingawa nilikuwa mdogo yaliniingia kisawasawa na hadi leo nayakumbuka. Tangu wakati huo sijawahi kumuibia mtu hata penseli
Hebu yaseme nasi tuyaskie hapa maana niyacopy na kuyapaste kwa wengine
 
Back
Top Bottom