Yote uliyoyasema nami nimekubaliana nayo %[emoji42][emoji42][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahahaaaa....!!! Hujachangia kumbe!!!!kwa hyo hapa unasoma eeehh?!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]yaani huyu kanichekesha balaaa...ungemuacha na ujinga wake
Rafiki kwani huko kwenu ni Saa ngap etii!??[emoji23]Hahaaa!!;kwa hyo unalala au unaamka?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi saa yangu inanichonganisha na rafiki eti huku ni Saa 8 na madakika yake[emoji4][emoji4][emoji42]Hahaaaahaaa!!punguza ulevi
Kwetu saa tano na DKK 9
Asili ya mwanamke ni pambo za tabia njema,uadilifu na uaminifu toka enzi na enzi ,mwanamke akibeba zege watasema kama dume vile ila mwanaume akipika hawasemi kama mwanamke vile
Wanawake baadhi wa sasa hivi kwa kweli sijui ni wa sayari gani,kwa sababu tuna hulka mbaya mbaya ambazo ukiambiwa unajiuliza hivi huyu ni mwanamke ametoka kwenye mifupa ya wazazi au kashushwa?
Sio wote lakini wengi sasa hivi wana tabia mbaya jamani,tumekua tukishuhudia majambazi ya kike mpk unashangaa,achana na ujambazi utapeli siku hizi wadada hawana mpinzani(sio wa kimapenzi)yaani wanatapeli Mali mchana kweupe,kuna wezi hao ndo usiseme wizi mdogo mdogo na mkubwa yaani zile tabia za ajabu za kiume sasa hivi sisi ndo tumebeba,kuna video mbali mbali zinarushwa wanawake wamekamatwa waanaiba maduka ,nguo,cheni n.k mmoja niliona kakamatwa anaiba kanisani[emoji3][emoji16][emoji16]
Hivi tumekosa utashi kiasi hicho wamama...ifike mahali turidhike na hali zetu hakuna maisha magumu kama ya kuigiza au ya kwenye video unataka ufanane na Fulani badala ya kujikubali
Siku moja tulienda kwenye kitchen party na mwenzangu sasa tumepiga picha mda wa kugomboa nkalipia nafika mbel ananionyesha picha nyingine ya kwetu eti aliiba kwa kua hatuigomboa...nilichoka sana!!
Huko kwenye sosho media kuna wanaoijfanya wanauza vitu online hao ndo matapeli vibaya anakuambia tuma hela,ukituma umeliwa hapatikani...yaani sasa hv wanawake zile tabia ambazo tulikua tunawasema wanaume naona na sisi ndo tunazivaa...najua humu hamna wenye hizo ila wasomaji wapo wengi...
Tubadilike kwa kweli tuwe na hofu ya Mungu sisi ndo walezi na sisi ndo kiigizo cha watoto wetu!!!
Unajibu SINA kabla ya jibu lolote [emoji1787][emoji1787]Wanaume wenzangu ukitumiwa text na dem wako "baby nikwambie kitu " usijibu huo ni Mtego aseeh
Duhh!!!mbona hatari sasaUkienda Nairobi unatapeliwa ukifikiri ni mwanamke ndio kakuibia kumbe ni mwanaume alievaa kama mwanamke na hii tabia ipo sana huko
Usifikiri matapeli wote ni wanawake ila wapo waliouva uanakike pia
Na humu wamo wengi tu na usidanganyike na neno BABY
Au Afghanistan ndo saa nane sasa hv!! HukooMh hvi Soda nazo zimeanza kulewesha??Basi saa yangu inanichonganisha na rafiki eti huku ni Saa 8 na madakika yake[emoji4][emoji4][emoji42]
Helaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahaaaa...sasa huna nini...
Ana bahati huyo daaa [emoji8][emoji7]Mi nasemaga nikizidiwa [emoji3][emoji3][emoji3]
Nasemaje mimi nakukatalia humu wengi mademe wanawake wa kitz tunawajua....hata kama id kongwe watu tushastukia kamchezo kanachoendelea.Jamaa ni punga kumbe..ndio.maana kuna sehem anaonesha ni mwanaume na sehemu ni mwanamke
Asili ya mwanamke ni pambo za tabia njema,uadilifu na uaminifu toka enzi na enzi ,mwanamke akibeba zege watasema kama dume vile ila mwanaume akipika hawasemi kama mwanamke vile
Wanawake baadhi wa sasa hivi kwa kweli sijui ni wa sayari gani,kwa sababu tuna hulka mbaya mbaya ambazo ukiambiwa unajiuliza hivi huyu ni mwanamke ametoka kwenye mifupa ya wazazi au kashushwa?
Sio wote lakini wengi sasa hivi wana tabia mbaya jamani,tumekua tukishuhudia majambazi ya kike mpk unashangaa,achana na ujambazi utapeli siku hizi wadada hawana mpinzani(sio wa kimapenzi)yaani wanatapeli Mali mchana kweupe,kuna wezi hao ndo usiseme wizi mdogo mdogo na mkubwa yaani zile tabia za ajabu za kiume sasa hivi sisi ndo tumebeba,kuna video mbali mbali zinarushwa wanawake wamekamatwa waanaiba maduka ,nguo,cheni n.k mmoja niliona kakamatwa anaiba kanisani[emoji3][emoji16][emoji16]
Hivi tumekosa utashi kiasi hicho wamama...ifike mahali turidhike na hali zetu hakuna maisha magumu kama ya kuigiza au ya kwenye video unataka ufanane na Fulani badala ya kujikubali
Siku moja tulienda kwenye kitchen party na mwenzangu sasa tumepiga picha mda wa kugomboa nkalipia nafika mbel ananionyesha picha nyingine ya kwetu eti aliiba kwa kua hatuigomboa...nilichoka sana!!
Huko kwenye sosho media kuna wanaoijfanya wanauza vitu online hao ndo matapeli vibaya anakuambia tuma hela,ukituma umeliwa hapatikani...yaani sasa hv wanawake zile tabia ambazo tulikua tunawasema wanaume naona na sisi ndo tunazivaa...najua humu hamna wenye hizo ila wasomaji wapo wengi...
Tubadilike kwa kweli tuwe na hofu ya Mungu sisi ndo walezi na sisi ndo kiigizo cha watoto wetu!!!