Baadhi ya wanawake siku hizi ni wezi na matapeli

Kuiba ni kuiba tu mwenza kiwe kidogo au kikubwa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuiba ni kuiba tu mwenza kiwe kidogo au kikubwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana hatufanani, hiyo kidogo ninachukua siibi na hata mwenyewe akija kuuliza nani amepunguza maji yangu nitamwambia ni mimi au hata akiwepo nitachota. Mind you hata hiyo kidogo sichoti kwa yeyote nachota kwa yule nnayeelewana nae
 
Hapana hatufanani, hiyo kidogo ninachukua siibi na hata mwenyewe akija kuuliza nani amepunguza maji yangu nitamwambia ni mimi au hata akiwepo nitachota. Mind you hata hiyo kidogo sichoti kwa yeyote nachota kwa yule nnayeelewana nae
Hongera aseee
 
Hongera aseee
My dear enzi niko mdogo nilikuwa mdokozi sana, nakumbuka kuna wakati kaka yetu mkubwa alikuja kututembelea akaambiwa tabia yangu, hakunipiga wala kunikaripia. Aliniambia maneno mazito ingawa nilikuwa mdogo yaliniingia kisawasawa na hadi leo nayakumbuka. Tangu wakati huo sijawahi kumuibia mtu hata penseli
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe umeanza kitambo eeh[emoji85][emoji85][emoji85]
 
Hapana hatufanani, hiyo kidogo ninachukua siibi na hata mwenyewe akija kuuliza nani amepunguza maji yangu nitamwambia ni mimi au hata akiwepo nitachota. Mind you hata hiyo kidogo sichoti kwa yeyote nachota kwa yule nnayeelewana nae
Mmmmmmmmmmmmmmh!!![emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Hebu yaseme nasi tuyaskie hapa maana niyacopy na kuyapaste kwa wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…