[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa ila naona kuna mtu kaniroga hahahahahahahhahahaha nisitongozwe kabisaaaa maana toka Nile nauli yake hiiiiii
Nasikia dhambi ila Mimi nimeshindwa kuikwepa dhambi hii jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi hii nayo dhambi eeeh?
Mi nilidokoa sh 10 ya mama ili nikale bumunda shuleni. Nilikula bakora hadi nilikuwa nikiokota pesa nampelekea mama.Hahaaaahaaa!!lecture ilimchoma akaach
Hii sio dhambi bwana, yeye ananiita niende kwenye dhambi then natafakari nakula nauli, sio dhambi kabisa[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]Nasikia dhambi ila Mimi nimeshindwa kuikwepa dhambi hii jamani
Hii sio dhambi bwana, yeye ananiita niende kwenye dhambi then natafakari nakula nauli, sio dhambi kabisa[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]!!!Fanya urudishe dear nauli ya watu!!usije ukakosa mchumba buree
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiibiwa unatafuta mnyonge unamuibia..win win situation!!!
Sio dhambi sasa utaenda kwa mguu jamani
We bakora za bimkubwa zilikuwa hazizoeleki, alafu anakupa 4 tu. Ila unaipata fresh.Hahaaaahaaa.... Ukajuta kuzaliwa ukawa mtakatifu kwa muda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti wanasema tunadhurumu ....
Mi siamini kabisaa
Eti unaanzaje? Hata malaika watakushangaa.Hapo ndo pagumu narudishaje pesa kwa mfano
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo siyo dhuluma kabisa[emoji85]
Aaah kabisa yaani.Kabisaa yaani tena ukila unapata thawabu kwa Mungu umeepuka dhambi juu ya dhambi
Eti unaanzaje? Hata malaika watakushangaa.
We baraka imeingia ndani mwako alafu unaifukuza[emoji134][emoji134]Kwanza ni dhambi kurudisha muamala uliokwisha ingia kwako