Baadhi ya wanawake siku hizi ni wezi na matapeli

Hahaaa!km mwl wa Kagera yule!!
Mimi baba yangu hakua mchapaji hata kidogo!!anaongea tuuu
Hata mimi baba hakuwahi hata kunifinya wala kunigombeza, tena ndio alikuwa mtetezi wangu. mama ndio alikuwa mkali.
 
Kitaan juzi kuna chicks kachezea kipondo baada ya kuomba kutumiwa laki moja na nusu kwenye namba ambayo hakuwa nayo pale

Na baada ya mtonyo kuingia ile namba ikipigwa haipatikan guess what wahuni walianza na nini kushika na kumpiga!!.

Acheni utapel bora mchepuke tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…