Atakuja waziri waFake P how is your weekend? 🤣
KamdodoooAtakuja waziri wa
Kwahiyo kama amewahi kucheat ndio una halalisha mke kucheat?Kaka wewe hujawai cheat?
😹😹 Wii wewe uko dunia ya ngapi?
Aaah qmmaee..KATAA NDOAHivi hawa wanawake zetu huwa hata wanatuonea huruma kweli jinsi tunavyowahangaikia wao waishi vizuri? Huwa sina kawaida ya kushika simu yake ila sijui nini usiku huu kimenituma niishike na kuikagua. Na hiki ndicho nilichokikuta.
Sijamsemesha chochote mpaka sasa niko macho tu natafakari. Alikuwa anachat na ex wake hapo, kuna mengi nimeyaona kwenye chatting zao lkn hili limenishangaza.
Naomba mnipe busara zenu ebu.
View attachment 3226517View attachment 3226518View attachment 3226519