Baadhi ya wanawake wana mambo ya ovyo. Ebu mnishauri cha kufanya hapa kabla sijaushangaza ulimwengu

Kaka wewe hujawai cheat?
Kwahiyo kama amewahi kucheat ndio una halalisha mke kucheat?

Toka lini mwanaume anacheat?

Kwa Africa na uarabuni mwanaume hacheat, labda kwa wazungu. Mwanaume anaoa wanawake hadi 10
 
Aaah qmmaee..KATAA NDOA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…