Baadhi ya wanga ni watumwa na wapagazi

Umenigusa sehemu tatu kama siyo mbili
Kwanza yasura yaani sura yangu kuiona kwa mwingine ishanitokea sana

Pili kuvutwa na wachawi, nishavutwa sana na wachawi yaani kiukweli usipokua na kinga wachawi wanakugeuza shamba la bibi tena wanakucheka kabisa

Blaza mshana umenigusa sana na huu uzi,siyo siri kuna watu wanawakontrol wenzao kama maroboti yaani mtu ananuia kwa dk kadhaa tuu kila kitu kinakuwa hadharani

Nikija ktk mapenzi kuna baadhi ya koo wao hawajuagi kutongoza mwanamke bari wakimtaka mwanamke yeyote yule awe ktk himaya yao wanampata yaani nimeona mengi sana mkuu ingawa sijayamaliza

Hata humu jamii forum kuna washirikina kama woote na wengi wao wamevaa vazi la Dini kuficha maovu yao naomba niishie hapo.
 
Mkuu kuna watu wanadawa ambayo ukienda kwa shari humuoni me nishashuhudia sana
 
Hata humu jamii forum kuna washirikina kama woote na wengi wao wamevaa vazi la Dini kuficha maovu yao naomba niishie hapo[emoji848][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Nilifanya zamani sio sasa.. Nimeacha kabisa( sorry nimeongea ukweli wangu)
 
Kazi na iendeleee
 
Siogopi
 
Kama tukiweza kusimamisha na kuzuia kabisa supply ya damu na nyama kwa washirikina tutaokoa roho nyingi sana...!

Kama tutaweza kudhibiti matumizi ya maji ya mochwari kishirikina tutaokoa mapooza mengi sana! LAKINI kuna wakati ili kuokoa wengine hatuna budi kuyatumia.. Tena sometimes kwa kufanya na ibada ya 40 kabisa na kuanua tanga... Kuna baadhi wanajifanya moto sana.. Hawa dawa yao ni kupoozwa tuu...
 
Mkuu Mshana hapo kwenye chumvi ya mabonge unaposema utangulize popote unapokwenda au chochote unachotakakufanya unamaanisha nini?
Wanaotaka. Chumvi mabonge waseme naishi krb na kiwanda hapa ununio nagalizi haiuzi
 
Hivi mawe matatu madogo kama.kokoto yana maana gani kuwekwa kwenye magari
 
Dalili gani kwa ugonjwa uliotokana na kulogwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…