ha ha ha ha, asante dokta kwa neno zuri na muhimu kwetu.Witchdoctor mstaafu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha ha ha, asante dokta kwa neno zuri na muhimu kwetu.Witchdoctor mstaafu.
2m! Walikuwa timu ya watu wanne!Aah... Kakimbia na bei gani?
Ukishindwa kusamehe lipa kisasi
Hii ya leo ni tofauti kidogo na mada zetu zile, hii inahusika na kulipa kisasi. Katika maisha bila kujali unaamini nini hakuna jambo jema kama kusamehe! Msamaha hukusaidia mengi mpaka kifo na maisha yanayofuata baada ya kifo iwe reincarnation au rebirth nk !msamaha hukufanya uwe mwema mwenye...www.jamiiforums.com
Mkuu vipi kuhusu kama nataka kuua mtu asiye na hatia, protocol inasemaje? sambaba na vitu ambayo mganga anaweza kuvihitaji kabla ya kutekeleza zoezi la mvuta mtu kwenye kalai ama kigoda cha kukalia kilichowekwa maji juu yake aka TV.Ushirikina ni sayansi ya ajabu kabisa na iko deep sana...!
Unaenda kumfanyizia mtu kwa mganga kwa nia yoyote ile.. Ukifika unapewa karai lenye maji kisha anaitishwa pale nawe unamuona live kabisa sura yake.. Kisha unapewa kisu umchome! Ukishafanya hivyo tu maji yote kwenye karai yanageuka damu na huko aliko mhusika anapata ajali yoyote na kufa!
Mkuu; kwa kuwa anafundisha (ni Mwalimu)na ameandika Maandiko mengi sana, mm napendekeza umtunuku Uprofesa. Hivyo aitwe Prof. Mshana Jr. Unaonaje mkuu? Huyu jamaa anayo madini sana - Nimemkubali. Usisahau kutujuza tarehe ya Inauguration pls.Nakutunuku Udaktari Wa Heshima, kuanzia sasa utaitwa Dr. Mshana Jr.
Hahahahaa [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1534]Mkuu; kwa kuwa anafundisha (ni Mwalimu)na ameandika Maandiko mengi sana, mm napendekeza umtunuku Uprofesa. Hivyo aitwe Prof. Mshana Jr. Unaonaje mkuu? Huyu jamaa anayo madini sana - Nimemkubali. Usisahau kutujuza tarehe ya Inauguration pls.
Bro unatuchanganya sasa,ulituonyesha kabisa location ukiwa Kitonga usiku mkubwa ukasema unaenda kuyachoma,now unasema ulimpa mdau wa Sumbawanga.Kipi ni kipi boss mla makande wa kipare?!Mdau toka Sumbawanga
Sumbawanga.Kipi ni kipi boss mla makande wa kipare?![emoji3064]DuhBro unatuchanganya sasa,ulituonyesha kabisa location ukiwa Kitonga usiku mkubwa ukasema unaenda kuyachoma,now unasema ulimpa mdau wa Sumbawanga.Kipi ni kipi boss mla makande wa kipare?!
Shukrani kwa ufafanuzi ndugu mstaafuSumbawanga.Kipi ni kipi boss mla makande wa kipare?![emoji3064]Duh
Kuna vya kuchoma
Kuna vya kugawa
Kuna vya kuzika
Kuna vya kutupa
Na kila kimoja kina location yake...kuangamiza kilinge sio kazi ya siku moja ni mchakato wenye kuhitaji umakini na tajadhari za juu mno
Naunga mkono hoja za jopo la ma profesa, pendekezo limepitishwa. [emoji1534]Mkuu; kwa kuwa anafundisha (ni Mwalimu)na ameandika Maandiko mengi sana, mm napendekeza umtunuku Uprofesa. Hivyo aitwe Prof. Mshana Jr. Unaonaje mkuu? Huyu jamaa anayo madini sana - Nimemkubali. Usisahau kutujuza tarehe ya Inauguration pls.
👏👏👏Naunga mkono hoja za jopo la ma profesa, pendekezo limepitishwa. [emoji1534]