Baadhi ya wanga ni watumwa na wapagazi

Baadhi ya wanga ni watumwa na wapagazi

Aah... Kakimbia na bei gani?

2m! Walikuwa timu ya watu wanne!
 
Ushirikina ni sayansi ya ajabu kabisa na iko deep sana...!
Unaenda kumfanyizia mtu kwa mganga kwa nia yoyote ile.. Ukifika unapewa karai lenye maji kisha anaitishwa pale nawe unamuona live kabisa sura yake.. Kisha unapewa kisu umchome! Ukishafanya hivyo tu maji yote kwenye karai yanageuka damu na huko aliko mhusika anapata ajali yoyote na kufa!
Mkuu vipi kuhusu kama nataka kuua mtu asiye na hatia, protocol inasemaje? sambaba na vitu ambayo mganga anaweza kuvihitaji kabla ya kutekeleza zoezi la mvuta mtu kwenye kalai ama kigoda cha kukalia kilichowekwa maji juu yake aka TV.
 
Nakutunuku Udaktari Wa Heshima, kuanzia sasa utaitwa Dr. Mshana Jr.
Mkuu; kwa kuwa anafundisha (ni Mwalimu)na ameandika Maandiko mengi sana, mm napendekeza umtunuku Uprofesa. Hivyo aitwe Prof. Mshana Jr. Unaonaje mkuu? Huyu jamaa anayo madini sana - Nimemkubali. Usisahau kutujuza tarehe ya Inauguration pls.
 
Mkuu; kwa kuwa anafundisha (ni Mwalimu)na ameandika Maandiko mengi sana, mm napendekeza umtunuku Uprofesa. Hivyo aitwe Prof. Mshana Jr. Unaonaje mkuu? Huyu jamaa anayo madini sana - Nimemkubali. Usisahau kutujuza tarehe ya Inauguration pls.
Hahahahaa [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1534]
 
Mdau toka Sumbawanga
Bro unatuchanganya sasa,ulituonyesha kabisa location ukiwa Kitonga usiku mkubwa ukasema unaenda kuyachoma,now unasema ulimpa mdau wa Sumbawanga.Kipi ni kipi boss mla makande wa kipare?!
 
Bro unatuchanganya sasa,ulituonyesha kabisa location ukiwa Kitonga usiku mkubwa ukasema unaenda kuyachoma,now unasema ulimpa mdau wa Sumbawanga.Kipi ni kipi boss mla makande wa kipare?!
Sumbawanga.Kipi ni kipi boss mla makande wa kipare?![emoji3064]Duh
Kuna vya kuchoma
Kuna vya kugawa
Kuna vya kuzika
Kuna vya kutupa
Na kila kimoja kina location yake...kuangamiza kilinge sio kazi ya siku moja ni mchakato wenye kuhitaji umakini na tajadhari za juu mno
 
Sumbawanga.Kipi ni kipi boss mla makande wa kipare?![emoji3064]Duh
Kuna vya kuchoma
Kuna vya kugawa
Kuna vya kuzika
Kuna vya kutupa
Na kila kimoja kina location yake...kuangamiza kilinge sio kazi ya siku moja ni mchakato wenye kuhitaji umakini na tajadhari za juu mno
Shukrani kwa ufafanuzi ndugu mstaafu
nb.utani ule wa 'Upare" usikukwaze,we ni mtani wangu kaka
 
Mkuu; kwa kuwa anafundisha (ni Mwalimu)na ameandika Maandiko mengi sana, mm napendekeza umtunuku Uprofesa. Hivyo aitwe Prof. Mshana Jr. Unaonaje mkuu? Huyu jamaa anayo madini sana - Nimemkubali. Usisahau kutujuza tarehe ya Inauguration pls.
Naunga mkono hoja za jopo la ma profesa, pendekezo limepitishwa. [emoji1534]
 
Back
Top Bottom