Baadhi ya watendaji wa JamiiForums wakutana kutathmini mwaka 2023

JamiiForums

JF Official Account
Joined
Nov 9, 2006
Posts
6,229
Reaction score
5,285
Katika kujipanga kutoa huduma bora zaidi, baadhi ya Watendaji wa JamiiForums walikutana Jijini Arusha kwa lengo la kutathmini shughuli zilizofanywa na Taasisi mwaka 2023 pamoja na kupanga Mikakati ya kuboresha zaidi mwaka 2024. Hii ilijumuisha kujengewa uwezo katika maeneo muhimu ya kiutendaji

 
Ahha haha ha kumbe hawa ndo modes wafyeka threads
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…