Baadhi ya watendaji wa JamiiForums wakutana kutathmini mwaka 2023

Baadhi ya watendaji wa JamiiForums wakutana kutathmini mwaka 2023

Katika kujipanga kutoa huduma bora zaidi, baadhi ya Watendaji wa JamiiForums walikutana Jijini Arusha kwa lengo la kutathmini shughuli zilizofanywa na Taasisi mwaka 2023 pamoja na kupanga Mikakati ya kuboresha zaidi mwaka 2024. Hii ilijumuisha kujengewa uwezo katika maeneo muhimu ya kiutendaji

View attachment 2894121View attachment 2894122View attachment 2894123View attachment 2894124View attachment 2894125View attachment 2894126View attachment 2894127View attachment 2894128View attachment 2894129View attachment 2894130
Kila la kheri ktk jambo lenu
 
Inazingua sana, hata PM kusoma kwa wengine ni mtihani.

Moderator
Walishasema kuwa apps zote watazitelekeza. Labda itabidi watoe tangazo ili watu tuachane nazo rasmi na waziondoe kabisa huko Google na Apple store maana kwa sasa hazifai!

Screenshot_20240204_200340_Chrome.jpg

 
Aisee kuna pisi...

Ila rudisheni App ile wakuu. Hii shortcuts ya browser haina privacy maana huwezi kupiga lock. Na mambo ya ku sign out kila muda hatujazoea. Ukimpatia mtu simu unawaza tu akifungua app ya shortcuts chap anajua ID yako.

Au ni ushamba wangu wa matumizi ya simu? Kama kuna namna ya kuipiga lock wakuu mnipe shule.
 
Katika kujipanga kutoa huduma bora zaidi, baadhi ya Watendaji wa JamiiForums walikutana Jijini Arusha kwa lengo la kutathmini shughuli zilizofanywa na Taasisi mwaka 2023 pamoja na kupanga Mikakati ya kuboresha zaidi mwaka 2024. Hii ilijumuisha kujengewa uwezo katika maeneo muhimu ya kiutendaji

View attachment 2894121View attachment 2894122View attachment 2894123View attachment 2894124View attachment 2894125View attachment 2894126View attachment 2894127View attachment 2894128View attachment 2894129View attachment 2894130
Jamii Forums punguzeni ' bans' zisizo na maana hata walio hukumiwa kifo hawanyongwi
Pole Babu Ochu umepotezwa na ban
 
Katika kujipanga kutoa huduma bora zaidi, baadhi ya Watendaji wa JamiiForums walikutana Jijini Arusha kwa lengo la kutathmini shughuli zilizofanywa na Taasisi mwaka 2023 pamoja na kupanga Mikakati ya kuboresha zaidi mwaka 2024. Hii ilijumuisha kujengewa uwezo katika maeneo muhimu ya kiutendaji

View attachment 2894121View attachment 2894122View attachment 2894123View attachment 2894124View attachment 2894125View attachment 2894126View attachment 2894127View attachment 2894128View attachment 2894129View attachment 2894130
Hivi ndugu yangu na rafiki yangu mkubwa sana Bw. Mike Mushi aliendaga wapi?
 
Back
Top Bottom