Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahahahaNawezaje kuonana na View attachment 2894153 ili nimpe maoni yangu akaniwasilishie kikaoni
Mimi naangalia Pisi tu hapo, mengine tutatambulishana kwenye ban!Katika kujipanga kutoa huduma bora zaidi, baadhi ya Watendaji wa JamiiForums walikutana Jijini Arusha kwa lengo la kutathmini shughuli zilizofanywa na Taasisi mwaka 2023 pamoja na kupanga Mikakati ya kuboresha zaidi mwaka 2024. Hii ilijumuisha kujengewa uwezo katika maeneo muhimu ya kiutendaji
View attachment 2894121View attachment 2894122View attachment 2894123View attachment 2894124View attachment 2894125View attachment 2894126View attachment 2894127View attachment 2894128View attachment 2894129View attachment 2894130
Katika kujipanga kutoa huduma bora zaidi, baadhi ya Watendaji wa JamiiForums walikutana Jijini Arusha kwa lengo la kutathmini shughuli zilizofanywa na Taasisi mwaka 2023 pamoja na kupanga Mikakati ya kuboresha zaidi mwaka 2024. Hii ilijumuisha kujengewa uwezo katika maeneo muhimu ya kiutendaji
View attachment 2894121View attachment 2894122View attachment 2894123View attachment 2894124View attachment 2894125View attachment 2894126View attachment 2894127View attachment 2894128View attachment 2894129View attachment 2894130
Kuna huyo mdada bonge kavaa nguo kama nyeupe mwambie anasalimiwa na kiongozi wake ws chakula wa enzi hizoKatika kujipanga kutoa huduma bora zaidi, baadhi ya Watendaji wa JamiiForums walikutana Jijini Arusha kwa lengo la kutathmini shughuli zilizofanywa na Taasisi mwaka 2023 pamoja na kupanga Mikakati ya kuboresha zaidi mwaka 2024. Hii ilijumuisha kujengewa uwezo katika maeneo muhimu ya kiutendaji
View attachment 2894121View attachment 2894122View attachment 2894123View attachment 2894124View attachment 2894125View attachment 2894126View attachment 2894127View attachment 2894128View attachment 2894129View attachment 2894130
Hao ndiyo ma-MODs wanaopiga ban?
Kwenye hayo ya kutathmini na ubovu wa app yenu imo?
Ilaaaa mmetujulisha hili ili? Si mngetumiana tu kwenye group lenu la 'wasapu'.
Hako ka mbegu fupi ndio Kanoko ka Cookie kanachotupiga ban humu.View attachment 2894142
Huyu dem ana raha sana, atakua ndio anaemlima Genta ban kila siku
asha deeNawezaje kuonana na View attachment 2894153 ili nimpe maoni yangu akaniwasilishie kikaoni
Mimi sijawahi kumuona huyu mkwe wako akiwa hana hasira hata siku moja 🏃🏿♂️🏃🏿♂️Leo mbona una hasira sana mkwe...
Wananibania linkasha dee
Nipe hela🤣🤣🤣🤣Leo mbona una hasira sana mkwe...