King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mbona Mike Mushi haonekani wakati ni JF Founder?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili iweje?..Siku moja huko mbele mualike members wa JF kujumuika chakula cha Pamoja na Maxence Melo na Team yake [emoji16]
Mnitajie tu username ya huyo jamaa mwenye shati nyeusi☺️☺️....Ila niulize tu, hawa ndio kina @lemamy na To yeye nini?
au ndio raraa reree na Leejay49 ?
![]()
Ngoja tuone.😂😂😂😂😂😅
Huoni hizo swaggar zao? Kula bata sio mpaka uone menu!Bata ziko wapi wakati mezani Kuna Maji tu?
Mbalitumia vibaya neno pisi kaliKumbe JF nayo ina Pisi Kali kama Wasemavyo Vijana wa hovyo 🤗
Tuwaombe waendelee kuwa na Vifua Kwa wanayoyasoma huko PM 😜🏃🏃
Nadhani Hao ndo mamods
....Ila niulize tu, hawa ndio kina @lemamy na To yeye nini?
au ndio raraa reree na Leejay49 ?
![]()
Ngoja tuone.😂😂😂😂😂😅
Huyu atakuwa ni Cookie bila shaka yoyote.Nawezaje kuonana na View attachment 2894153 ili nimpe maoni yangu akaniwasilishie kikaoni
Mmoja hapo anasura ya kinyakyusa balaa....Ila niulize tu, hawa ndio kina @lemamy na To yeye nini?
au ndio raraa reree na Leejay49 ?
![]()
Ngoja tuone.😂😂😂😂😂😅
Kwanini Mkuu?Mnalitumia vibaya neno pisi kali
Matajiri Mo Dewji na Bill Gates ni Wanene?Wananenepeana tu kasoro boss wao
😁😁😁😁
Una Passport ya Kusafiria?Mbona sikupata mwaliko?!