Baadhi ya watendaji wa JamiiForums wakutana kutathmini mwaka 2023

Baadhi ya watendaji wa JamiiForums wakutana kutathmini mwaka 2023

Huyu kaka aliyevaa manga nyeusi pembeni kulia, naomba aje PM nna jambo nae.
Ana Mke na juzi juzi tu hapa katoka kumaliza Mafunzo yake ya Ukomandoo Urusi.

Hakikisha unapotaka Kuonana na huyu Mumewe uache Maagizo kwa Wanafamilia wako kuwa ikitokea Umekufa wakakuzikie wapi sawa?
 
Mmoja hapo anasura ya kinyakyusa balaa
img_20240204_170605_042-jpg.2894128
Nyakyusa? aahh hilo ni lisura la ki Tarime tarime hilo, huyo aliyeshikwa GENTAMYCINE. Anaonjeshwa kisago cha kawe.

Pembeni aliyejishika Kisogo ni Robert Heriel Mtibeli anashangaa kwanini Genta anamchelewesha (jina kapuni, ila ni yule anayependa kisago kabla ya kujamiiana😁 ) si unawajua Watibeli, ati hawacheleweshi kibano! Mfyuuuuuu Unashika kisogo cha nini sasa?

Unique Flower, yuule anakatisha.
 
img_20240204_170605_042-jpg.2894128
Nyakyusa? aahh hilo ni lisura la ki Tarime tarime hilo, huyo aliyeshikwa GENTAMYCINE. Anaonjeshwa kisago cha kawe.

Pembeni aliyejishika Kisogo ni Robert Heriel Mtibeli anashangaa kwanini Genta anamchelewesha (jina kapuni, ila ni yule anayependa kisago kabla ya kujamiiana😁 ) si unawajua Watibeli, ati hawacheleweshi kibano! Mfyuuuuuu Unashika kisogo cha nini sasa?

Unique Flower, yuule anakatisha.
Bangi uliyoivuta Asubuhi hii uliinunua wapi? Una uhakika kuwa ilikuwa imechanganywa vizuri kwa ajili ya matumizi?
 
Nadhani Hao ndo mamods
Hao majamaa hata sitaki kuwasikia. Manake kila siku huwa wananitendea sivyo, na ka message....

Mama we "Sisi tumekimbia kiasi matatizo"

"oops we ran into some problems"

Ati 'wewe fanya, siyo lazima ruhusa kukagua hii kurasa, ama tekeleza hili tendo"

"You do not have permission to view this page'

Yaani wana tenda hayo kwasababu ni "Watendaji"?
 
img_20240204_170605_042-jpg.2894128
Nyakyusa? aahh hilo ni lisura la ki Tarime tarime hilo, huyo aliyeshikwa GENTAMYCINE. Anaonjeshwa kisago cha kawe.

Pembeni aliyejishika Kisogo ni Robert Heriel Mtibeli anashangaa kwanini Genta anamchelewesha (jina kapuni, ila ni yule anayependa kisago kabla ya kujamiiana😁 ) si unawajua Watibeli, ati hawacheleweshi kibano! Mfyuuuuuu Unashika kisogo cha nini sasa?

Unique Flower, yuule anakatisha.
Aliyejishika kisogo kakaa kinyakyusa kweli
 
Hao majamaa hata sitaki kuwasikia. Manake kila siku huwa wananitendea sivyo, na ka message....

Mama we "Sisi tumekimbia kiasi matatizo"

"oops we ran into some problems"

Ati 'wewe fanya, siyo lazima ruhusa kukagua hii kurasa, ama tekeleza hili tendo"

"You do not have permission to view this page'

Yaani wana tenda hayo kwasababu ni "Watendaji"?
Pole sana aisee,, ila huyo mwenye shati nyeusi ngoja nimuweke awe avatar yangu... Mwambieni ananifanya silali naweweseka kwajili yake
 
img_20240204_170605_042-jpg.2894128
Nyakyusa? aahh hilo ni lisura la ki Tarime tarime hilo, huyo aliyeshikwa GENTAMYCINE. Anaonjeshwa kisago cha kawe.

Pembeni aliyejishika Kisogo ni Robert Heriel Mtibeli anashangaa kwanini Genta anamchelewesha (jina kapuni, ila ni yule anayependa kisago kabla ya kujamiiana😁 ) si unawajua Watibeli, ati hawacheleweshi kibano! Mfyuuuuuu Unashika kisogo cha nini sasa?

Unique Flower, yuule anakatisha.

Nimekukabidhi kamati ya maadili Mkuu subiri, GENTAMYCINE
 
Mmeionaje Arusha? Mkiwaga Dar mnaikandia kinoma noma.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Back
Top Bottom