Nitaua mtu mimi! Ngoja niulize masanja mkandamizaji anipe mbinu
We acha hizo, nitampoteza Smart911 nisikukoseYou are the best one....Mwambie napenda the way unavyotutembezea .....💋💋💋 Am in love with you man🫂 "whozu bhana....Eti NAPENDA TABIA YANGU🎶🎶🎶🎵🤸🤸🤸
Wewe kila nikigonga unachukua, naomba huyu uniachie nitakupa Shamba kibaigwa kama compensation. Mahondow ulimkula baby wangu, na shunie ukamchukua jumla sasa na huyu!Ngoja nikuitie Beesmom aje...
Hivi unataka nijinyonge kama katibu wa masanja?Bado kidogo nami ananichoka,kuwa mstahimilivu kolola
Wewe ni hatari naona atasema tabia yako ni kubadirisha avatar kila baada ya siku mbili mkuu 😂😂🙌🏻🤣Unanitafuta jirani
You are a smart one ...unajali mambo Yako sikuzote.ukihamasisha watu waache kujipunguzia umri wa kuishi(kuoa)🤜🤜
Easy,easy.... please nambie tunaoana lini....au unataka unikule TU🤦Hivi unataka nijinyonge kama katibu wa masanja?
Wewe kila nikigonga unachukua, naomba huyu uniachie nitakupa Shamba kibaigwa kama compensation. Mahondow ulimkula baby wangu, na shunie ukamchukua jumla sasa na huyu!
🤣🤣🤣🤣KakunyooshaDaah!! Utakua umenifananisha...
Nimeshangaa tu, sababu sijawahi mbona hayo mambo...🤣🤣🤣🤣Kakunyoosha