Baadhi ya watu wa JF na tabia zao

Baadhi ya watu wa JF na tabia zao

Kama hujamtaja mkwepu jr, basi utakuwa hujatenda haki kabisa! Jamaa hajawahi kuchangia chochote humu jamii forums! Yeye ni kutoa likes (reactions), halafu anapotea zake!

Huyu mkwepu jr sijui ana cheo gani hapa duniani! Sijui ni mmoja wa Moderator wa jamii forums! Yaani kama umejiunga jamii forums, halafu hujawahi kupata likes (reactions) kutoka kwa mkwepu jr, basi ujione kama mtu mwenye gundu kupitiliza.
 
Wewe kila nikigonga unachukua, naomba huyu uniachie nitakupa Shamba kibaigwa kama compensation. Mahondow ulimkula baby wangu, na shunie ukamchukua jumla sasa na huyu!
Bado kidogo nami ananichoka,kuwa mstahimilivu kolola
 
Wewe kila nikigonga unachukua, naomba huyu uniachie nitakupa Shamba kibaigwa kama compensation. Mahondow ulimkula baby wangu, na shunie ukamchukua jumla sasa na huyu!
Bado kidogo nami ananichoka,kuwa mstahimilivu kolola
 
Wewe kila nikigonga unachukua, naomba huyu uniachie nitakupa Shamba kibaigwa kama compensation. Mahondow ulimkula baby wangu, na shunie ukamchukua jumla sasa na huyu!

Daah!! Utakua umenifananisha...
 
Back
Top Bottom