Baadhi ya watu wa JF na tabia zao

Miaka miwili baadae nitatajwa pia🤣🤣🤣🚴🚴
Maua hunyauka, story huisha na kumbukukumbu husahaulika...
Hii Ina maanisha sisi sote ni wakupita...

Alisikika Fiq Q akiwa anahojiwa na Salama...
 
🤣🤣🤣Wee,kweli? Bas sibadilishi tena
Hapana mkuu uwe unabadirisha zile pozi zako sio mbaya kuangalia avatar ya juzi niliona umeweka lips kuna mwamba somewhere naona kakupiga sana mabusu, Jana nikaona umeweka pozi la kuegemea ukuta sura haionekani ila wajibu wanazoom na waki-zoom wanaiona Central zone hii hapa, niishie hapo mkuu 🙌🏻😂😂
 
🤭🫂
 
Mban Kuna magwiji ujawaona eh bila kumuweka Ulongupanjala bado ujamtendea haki huyu mzee ,huyu mzee Yuko ktk kila uzi na comment zake Sina masiara siara ,leo nimeona akimshuri kijna wa watu apige nyeto Kama ameshindwa kuoa😂 na Ni mtu mziam amesha stahafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…