Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
Miaka miwili baadae nitatajwa pia🤣🤣🤣🚴🚴Nimeshangaa tu, sababu sijawahi mbona hayo mambo...
Na hizo taarifa mbona sina...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka miwili baadae nitatajwa pia🤣🤣🤣🚴🚴Nimeshangaa tu, sababu sijawahi mbona hayo mambo...
Na hizo taarifa mbona sina...
🤣🤣🤣Wee,kweli? Bas sibadilishi tenaWewe ni hatari naona atasema tabia yako ni kubadirisha avatar kila baada ya siku mbili mkuu 😂😂🙌🏻
Maua hunyauka, story huisha na kumbukukumbu husahaulika...Miaka miwili baadae nitatajwa pia🤣🤣🤣🚴🚴
VizuriMaua hunyauka, story huisha na kumbukukumbu husahaulika...
Hii Ina maanisha sisi sote ni wakupita...
Alisikika Fiq Q akiwa anahojiwa na Salama...
Hapana mkuu uwe unabadirisha zile pozi zako sio mbaya kuangalia avatar ya juzi niliona umeweka lips kuna mwamba somewhere naona kakupiga sana mabusu, Jana nikaona umeweka pozi la kuegemea ukuta sura haionekani ila wajibu wanazoom na waki-zoom wanaiona Central zone hii hapa, niishie hapo mkuu 🙌🏻😂😂🤣🤣🤣Wee,kweli? Bas sibadilishi tena
🤭🫂Hapana mkuu uwe unabadirisha zile pozi zako sio mbaya kuangalia avatar ya juzi niliona umeweka lips kuna mwamba somewhere naona kakupiga sana mabusu, Jana nikaona umeweka pozi la kuegemea ukuta sura haionekani ila wajibu wanazoom na waki-zoom wanaiona Central zone hii hapa, niishie hapo mkuu 🙌🏻😂😂
😂😂😂🙌🏻 Acha niishie hapo mkuu nisiendelee ushaelewa?
Sana🤜😂😂😂🙌🏻 Acha niishie hapo mkuu nisiendelee ushaelewa?
🤛Sana mkuu naona umezingatia 😂Sana🤜
🤣🤣🤣🚴🚴🤛Sana mkuu naona umezingatia 😂
Duuuh usha weka nyingine 😃😙😃🤣🤣🤣🚴🚴
Unapenda kuchanjwaNa mimi nina tabia gani mbona hujanitaja?
HahaUnapenda kuchanjwa
Mpelekee anachotaka yaishe🤣🤣Unanitafuta jirani
Thanks Bujibuji Simba Nyamaume Ila hapa umenipa sifa za ziada, hisabati nilipataga aeiouSkylar , akili nyingi kama mgunduzi wa hisabati za Riemann Hypothesis
😉Mpelekee anachotaka yaishe🤣
Na hujakosea kabisa. Mimi ni Mwalimu wa shule ya msingi Kwedikwazu Tanga! Na miaka yote anafundisha darasa la Pili B! Elimu yake ni ya kuunga unga!Tate ni mwalimu wa shule ya msingi Tate Mkuu