Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
hovyo kabisa..wakishalewa wanasusia msiba wa waumini wenzao ambaoo hawajachangia jumuiya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh..Kwani kuna shida?
Mbona ushangau sisi Kitimoto tunakula, baadhi ya wavaa makobasi hawatumii Kitimoto
View attachment 3189720
Lete story unazozijua, hizi nyingine zinakuzidi sana kimoKwa wakatoliki unywaji wa pombe yoyote (hata gongo!) sio dhambi. Na wakatoliki wanajivunia kunywa pombe popote ikiwemo hata kanisani, wao wanasema wanakunywa kistaarabu.
Pale ukatolikini hakuna ukristo halisi, ni upagani wa Kiitaliano ulioboreshwa kwa tamaduni zilizoupokea ukristo wa kale na kuueneza duniani chini ya mwamvuli wa kanisa.
Dogo mimi nimeandika yaliyomo kwenye Biblia Takatifu. Wewe unaandika kwa hisia. Huoni tofauti hapo?Hivi unajua nuhu alizaliwa na aliishi katika tamaduni za kibagani japokuwa alisikia sauti ya Mungu ikimwambia atengeneze Safina na akatii? Hata unywaji wa pombe wa Nuhu haukuwa mpango wa Mungu na mwisho wa siku ulizaa aibu, laana na utukufu kwa shetani. Mungu hawezi kuruhusu jambo lenye kuzaa uovu katika maisha ya watu.
Kitamaduni za kiitaliano na ibada zao za kibagani zinaruhusu unywaji wa pombe popote pale, Ukristo wa kale ulipotua Italy uliingizwa katika falme zao na kuboreshwa ili kuweza kuchangamana na tamaduni za kibagani za kiitaliano na kutokea hapo ukaenezwa duniani kwa mwamvuli wa kanisa. Leo hii ndio tunauita ukatoliki.
Ukristo halisi na unywaji wa pombe wapi na wapi?
Yesu alibadilisha maji na kuwa divai (kinywaji) na sio divai (Pombe). Kwanini? Huwezi ukabadilisha maji yakawa pombe kwenye sherehe, halafu watu wote wakanywa mpaka kutosheka halafu hapo hapo tukio hilo limrudishie Mungu utukufu. Unywaji wowote wa pombe vya kutosha huzaa aibu, upotofu na utukufu wa shetani.
Hizi Phrases nilijua za kutunga, nimepitia zote aisee zinatisha.
Bado una sumu moyoni.Jitahidi usiwe unachukua kila unachosimuliwa na wehu.
Sira 31:27 Pombe ni kama uhai kwa mtu ukinywa kwa kiasi. Maisha yafaa nini bila pombe? Imeumbwa iwafurahishe watu. | Biblia Habari Njema (BHND) | Pakua Programu ya Biblia SasaDogo mimi nimeandika yaliyomo kwenye Biblia Takatifu. Wewe unaandika kwa hisia. Huoni tofauti hapo?
HahahaWamefanya vizuri, kwaajili ya kulitengeneza kanisa
Acha upuuzi wako sasa ulitaka Gazeti La Mwananchi lisionyeshe Waumini wakinywa Pombe? Waache wanywe Pombe aka damu ya Yesu hiyo siyo pombe.View attachment 3189715
Gazeti la Mwananchi limeonyesha kabisa Waamini wa Kanisa la Mtakatifu Joseph Dar es Salaam wakinywa Konyagi Kanisani.
Ni kweli wakatoliki wote wataenda motoni, ni nyinyi waislam pekee ulimwengu huu ndio mtaenda peponi. Hongereni kwa kuwa na dini ya kweli mliyoletewa na waarabu viumbe first class wa Mungu.Kwa wakatoliki unywaji wa pombe yoyote (hata gongo!) sio dhambi. Na wakatoliki wanajivunia kunywa pombe popote ikiwemo hata kanisani, wao wanasema wanakunywa kistaarabu.
Pale ukatolikini hakuna ukristo halisi, ni upagani wa Kiitaliano ulioboreshwa kwa tamaduni zilizoupokea ukristo wa kale na kuueneza duniani chini ya mwamvuli wa kanisa.
wale hawajaokoka, habari za wokovu wako mbali nazo, dhambi zimewajaa, kunywa pombe kwao ni kawaida na dhamiri zao haziwashitaki kuwa wanatenda dhambi kwa uleviView attachment 3189715
Gazeti la Mwananchi limeonyesha kabisa Waamini wa Kanisa la Mtakatifu Joseph Dar es Salaam wakinywa Konyagi Kanisani.
Siku nyingine jifunze kusoma Bible, ili ujifunze kutofautisha mambo.Mh..
Leta ushahidi wakanisa lako likiwa limemfikisha muumin wake huko kwababa munguYaan hapa aibu ni Kwa Gazeti alitoa taarifa au Kanisan??
Roman Catholic halijawahi kua Kanisa la kumfikisha mwanadamu katika Ufalme wa Baba Mungu .
KANISA LA SDA SABATO, KANISA LA MUNGU .Ni kanisa lipi limewahi kuwa la kumfikisha mwanadamu huko kwa Baba?
Soma upya ufahamu maisha ya Yohana mbatizaji ndio utaelewa context ya hiyo habari.Mathayo 11:18-19
18 Maana Yohana alikuja, hali wala hanywi, wakasema, Yuna pepo
19 Mwana wa Adamu alikuja, akila na kunywa, wakasema, Mlafi huyu, na mlevi, rafiki yao watoza ushuru na wenye dhambi! Na hekima imejulikana kuwa ina haki kwa kazi zake.
Wapi unapatikana Ukristo kamili?Kwa wakatoliki unywaji wa pombe yoyote (hata gongo!) sio dhambi. Na wakatoliki wanajivunia kunywa pombe popote ikiwemo hata kanisani, wao wanasema wanakunywa kistaarabu.
Pale ukatolikini hakuna ukristo halisi, ni upagani wa Kiitaliano ulioboreshwa kwa tamaduni zilizoupokea ukristo wa kale na kuueneza duniani chini ya mwamvuli wa kanisa.
Muujiza wakwanza wayesu ulikua kubadili maji kua pombe nasio maji kua juisi...tafakariwale hawajaokoka, habari za wokovu wako mbali nazo, dhambi zimewajaa, kunywa pombe kwao ni kawaida na dhamiri zao haziwashitaki kuwa wanatenda dhambi kwa ulevi
Mkuu dini zote zina makandokando mengi kwa sababu viongozi wake ni wanadamu wenye tabia za kibinadamu. Nitajie dini ambayo haina mambo ya kufikirisha! Kwa kifupi mimi nimesha-conclude kuwa sehemu watu wanapofuata dini sana ndizo zinaongoza kwa maovu. Na watu wanaojifanya ni wacha Mungu sana ndiyo wanaongoza kwa maovu. Angalia huyu Mwamposa anavyotapeli maskini bila huruma. Angalia Magufuli alivyokuwa anaibukia kanisani kila siku kumbe alikuwa na kikosi cha siri cha mauaji. Angalia huyu wa sasa na ushungi wake wakati anatuma watu kushusha abiria kwenye basi la abiria na kumuua. Angalie Mbowe na juhudi zake za kutafuta michango ya ujenzi wa kanisa kumbe ni mla rushwa mkubwa.Kwa wakatoliki unywaji wa pombe yoyote (hata gongo!) sio dhambi. Na wakatoliki wanajivunia kunywa pombe popote ikiwemo hata kanisani, wao wanasema wanakunywa kistaarabu.
Pale ukatolikini hakuna ukristo halisi, ni upagani wa Kiitaliano ulioboreshwa kwa tamaduni zilizoupokea ukristo wa kale na kuueneza duniani chini ya mwamvuli wa kanisa.