Paspii0
JF-Expert Member
- Apr 10, 2020
- 346
- 522
Unywaji wa pombe: Katoliki hawauoni unywaji wa pombe kama dhambi, lakini wanasisitiza kiasi na matumizi ya pombe kwa staha. Divai hutumika pia katika ibada za Ekaristi.Kwa wakatoliki unywaji wa pombe yoyote (hata gongo!) sio dhambi. Na wakatoliki wanajivunia kunywa pombe popote ikiwemo hata kanisani, wao wanasema wanakunywa kistaarabu.
Pale ukatolikini hakuna ukristo halisi, ni upagani wa Kiitaliano ulioboreshwa kwa tamaduni zilizoupokea ukristo wa kale na kuueneza duniani chini ya mwamvuli wa kanisa.
Nkupe mfano ,!Harusi ya Kana (Yohana 2:1-11) inashuhudia Yesu akibadilisha maji kuwa divai, akionesha kuwa divai inaweza kutumika katika sherehe na furaha. Hii inathibitisha kwamba unywaji wa divai si dhambi, lakini inapaswa kutumika kwa kiasi na katika muktadha wa sherehe au ibada.