Baba abaka mwanaye wa umri wa miaka 11 mkoani Manyara

Unatamani katoto Kako ka miaka 11!!
Hata kama kana uzuri kama maraika!!
Mtoto wa kuzaa mwenyewe!!!
Hii hata shetani anakaa pembeni!!
 
Mama amehamua kumshataki baba afungwe miaka 30!!!!!!!

Hapana hapo Kuna Jambo itakuwa huyo baba, mtoto na mama wote makabila tofauti
 

na ndo mwanzo wa Mateso ya familia bila Baba; wanaume wengine Ni sawa Na Ma Mbwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…