Baba akamatwa kwa kuwapachika mimba binti zake wawili

Baba akamatwa kwa kuwapachika mimba binti zake wawili

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Kenya.JPG

Polisi wa eneo Bunge la Kandara, Kaunti ya Murang'a wanamshikilia baba wa watoto wanne wa kike pamoja na mkewe baada ya mtoto wao kufichua kuwa mzazi huyo amekuwa akiwabaka.

Inadaiwa mwanaume huyo amekuwa akiendeleza unyama huo huku mkewe akifahamu kinachoendelea.

Aliyefichua siri hiyo ni binti mwenye umri wa miaka 14 na mhitimu wa darasa la nane akiwa ni mmoja kati ya wenye ujauzito, ambapo amedai ndugu zake wengine wawili waliokolewa na majirani baada ya kupiga kelele wakati baba yao alipotaka kuwabaka na wao pia.


-----

Murang'a: Father Arrested For Allegedly Impregnating His Two Daughters

A husband and his wife are in custody after the man allegedly impregnated his two daughters in Kandara sub- County, Murang’a County.

The husband is said to have committed the appalling acts with his wife fully aware of his deeds at their home in Gichengo-Muruka.

According to reports, his wife was apprehended after one of his four daughters confessed she had been impregnated by her father in the full knowledge of her mother.

Residents said that the 14-year-old girl who had just completed her class eight had been impregnated together with her sister.

They said the father had occasionally tried to sleep with all his four daughters in different instances and the other two were only rescued by neighbors after they screamed.

Source: Citizen Digital
 
Hii dunia 🙌🏼🙌🏼🙌🏼 Hakuna rangi tutaacha ona.
 
Huyo jamaa alinishangaza Sana kwa kweli.
Hivi mtu unawezaje kuwadindishia watoto wako uliowazaa🤔? Hii kitu mi huwa hainingii akilini kbsa.
 
Back
Top Bottom