Fedor von Bock
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,321
- 2,157
Mchz yuko bize kumpiga "pipe" mama wa mwenzie kumbe kajisahaulisha kumsaidia dingi ake
Hahahah shangaa wewe! wala simlaumu Ommy!Huyo dingi nae vipi ana bajaj alafu anashindia mihogo, hela anapelekaga wapi?
Mkuu umenena vyema, chukua bia nakurushia muamalaHapa mimi kidogo huwa nina mtazamo tofauti, naamini kuwa huyo mzazi anatakiwa akomae na hiyo bajaji yake ampatie Ommy Dimpoz pesa, sio pesa tu, atafute mali zaidi ili ikiwezekana Dimpoz aje kurithi... MZAZI MWENYE BUSARA HUACHA URITHI WA MALI KWA WANAWE! LAKINI MPUMBAVU HUTAPANYA MALI KWA POMBE NA UZINZI KISHA HULALAMIKA KUWA WANAWE HAWAMJALI.
Kama mzee asingekuwepo kwenye picha yangu hakika ningemtelekeza acha hiyo laana nadharia inipate.Mzazi ni mzazi regardless alikutenda nini. Hata uwe na justification gani ....ukimtelekeza laana itakutafuna tu one day .... kama unabisha hewala lakini uliza waliokula chumvi kidogo wakupe shuhuda ....mzazi kushindwa kukuachia urithi wowote hiyo itabakia adhabu kwake na pengine ndio anapitia adhabu yenyewe kwa namna nyingine lakini wewe hupaswi kumtelekeza kwa makusudi.
Mkuu umenichekesha sana nashukuruMbona anatudhalilisha wala mihogo wengine? Kwanza sio kushindia mihogo, ni kula mihogo, kama una matatizo na mwanao deal nayo mwenyewe achana na mihogo yetu. We mzee vipi?
hakuna kitu kinaitwa laana.Mzazi ni mzazi regardless alikutenda nini. Hata uwe na justification gani ....ukimtelekeza laana itakutafuna tu one day .... kama unabisha hewala lakini uliza waliokula chumvi kidogo wakupe shuhuda ....mzazi kushindwa kukuachia urithi wowote hiyo itabakia adhabu kwake na pengine ndio anapitia adhabu yenyewe kwa namna nyingine lakini wewe hupaswi kumtelekeza kwa makusudi.
PointUsichanganye mambo. Alinizaa na kunilea ikiwa ni wajibu wake. Wajibu wangu ni kulea watoto wangu nao waje kuwalea watoto wao. Na ndio maana unashauriwa kama huna uwezo wa kulea watoto usiwazae ukitegemea watakuja kukulea wewe! We ndio wale wanaosema kila mtoto anakuja na riziki yake eeeeee we fyatua tu ushindwe kujijenga halafu uone kama kesho watakulea.
Kumlea Mtoto ni jukumu la mzazi na wala sio hisani, yeye ndio aliamua kunileta duniani sikujileta mwenyewe, matunzo anayonipatia mzazi sio mkopo kwamba baadae niurudishe, ni wajibu wake..Alikuwa anahangaika kumlea huyo Ommy.
Nisivyokuwa na baba roho imeniuma watoto mnaowaongelea vibaya wazazi wenu kumbukeni mzazi ni Mungu wa pili wadunia Waheshimu wazazi wako upate marefu maisha Duniani. Mzazi ni mzazi hata akiwa fukara .unachowafanyia wazazi wako na watoto wako watakuja kukufanyia hivyo hivyo.
Huwa nina hasira sana na wazazi kama hao, wao ndio chanzo cha umasikini wa familia..Mzee ana kitambi kama hicho halafu wanasema anashindia mihogo,anazingua huyo mzee
Hapo ni sawa, kumuachia mtoto urithi sio lazima wala sheria, ila kwa sababu wew ndio uliemleta duniani, inamake sense kidogo kumpa walau msingi wa kuanzia maisha, asio wewe mzazi kuza mtoto halafu unaanza kusumbua ukitaka huyo mtoto akulee wewe.Dah Hii kali! Yaani nitafute mali kwa ajili ya kumuachia mtoto urithi. Minajua mzazi wajibu wake ni kumsomeaha mtoto tu, mali zangu ni kwa maiaha yangu,huyo mtoto atatafuta za kwake.
Urithi si lazima, ila mzazi kutaka kutunzwa na wanao ndio akili ya kipuuzi, yeye huyo dingi naekula mihogo hapo anawatunza wazazi wake?, au yeye anataka kutunzwa tu?Akili ya kipuuzi kabisa mzazi wako nilazima umtunze kadiri uwezavyo haijalishi yeye alikutelekeza wewe timiza wajibu wako kufikiria kurithi ni akili ya kipuuzi na nyinyi vijana acheni kuwahukumu wazazi wa kiume hamjui mama zenu waliwafanyia nini wazee hadi kutelekezwa ngoja muwafume hao wakezenu wakichepuka kama mtaweza kuwavumilia