Baba ake Ommy Dimpoz alalamika kutengwa na mwanae

Baba ake Ommy Dimpoz alalamika kutengwa na mwanae

Hao ndio wazazi wapuuzi tu, yeye mzazi ndio anatakiwa atafute mali kwa ajili ya kumuachia mwanae urithi, na sio Omary kumtunza huyo dingi.... Yeye miaka hiyo 64 alikuwa anafanya nini hadi leo ashindie mihogo, si alikuwa anakula bata na vimada? Aache upuuzi wake.
Kabisa Mkuu, sisi tulitarajia saa hizi alalamike kuwa amempa Ommy shamba la ekari nne kule Mpanda, ila Ommy halisimamii vizuri Watu wameanza kusogeza mipaka.
 
Kabisa Mkuu, sisi tulitarajia saa hizi alalamike kuwa amempa Ommy shamba la ekari nne kule Mpanda, ila Ommy halisimamii vizuri Watu wameanza kusogeza mipaka.
Yeah, au kamwachia pagala ameshindwa kumalizia.
 
Mbona anatudhalilisha wala mihogo wengine? Kwanza sio kushindia mihogo, ni kula mihogo, kama una matatizo na mwanao deal nayo mwenyewe achana na mihogo yetu. We mzee vipi?
Eti bhana, kule Ngalimi mitaa ya viwanda ukikatiza mchana unakuta Wahindi wamepiga foleni kwa Mama mkaanga mihogo, ukiwauliza wanakuambia "Ogo tamu sinda kate"
 
Kumbuka baba yako alikuzaa akiwa fukara kauza mashamba Ili usome ,kajenga nyumba kishida shida watoto wake wastirike kweli Dunia imevaa kimini leo unamuona baba yako hana thamani tena Eti Apambane na hali yake ?
We usifananishe Baba wote.

Kuna kina baba wengine aise sio, unamfuata baa yupo na kimada/vimada, unapewa matusi wewe na mengine umpelekee Mama yako/mzazi mwenzake.
 
Usichanganye mambo. Alinizaa na kunilea ikiwa ni wajibu wake. Wajibu wangu ni kulea watoto wangu nao waje kuwalea watoto wao. Na ndio maana unashauriwa kama huna uwezo wa kulea watoto usiwazae ukitegemea watakuja kukulea wewe! We ndio wale wanaosema kila mtoto anakuja na riziki yake eeeeee we fyatua tu ushindwe kujijenga halafu uone kama kesho watakulea.
OK Mwenyez Mungu anipe uhai nipate kumlea mzazi Wangu mpk Mwisho wa uhai wake inshallah.
 
Kumbuka baba yako alikuzaa akiwa fukara kauza mashamba Ili usome ,kajenga nyumba kishida shida watoto wake wastirike kweli Dunia imevaa kimini leo unamuona baba yako hana thamani tena Eti Apambane na hali yake ?
Sawa, kwa hiyo alikuwa anauza hilo shamba nisome ili baadae nimrudishie?, Mku iko hivi, kama wewe ni mzazi, fahamu kuwa kusomesha au kuhudumia wanao siyo investment kwamba utegemee return baadae, huo ni wajibu wako, usisomeshe halafu baadae uanze kuwadai wakutunze.
 
View attachment 702913

Pichani mwenye tshet nyekundu ni baba yake mzazi Ommy Dimpoz ambapo Amesema mwanae huyo amemtelekeza miaka Mingi licha ya Dimpoz kusifika kwa kula bata nchi mbalimbali duniani.

Baba Dimpoz ana miaka 64 na ni dereva wa bajaji huko Tabora. Babaji amenunua mwenyewe. Wanaomjua wamesema anashindia mihogo na kachumbari !! .

Mzee Faraji Nyembo akizungumza na Globalpublishers anasema "Ni kama Wema Sepetu anavyohangaika kutafuta mtoto, siku akimpata hata kama hamsaidii chochote atamshukuru tu Mungu hivyo na mimi huwa ninamshukuru Mungu maana nimeshamleta Omary duniani.

Yeye kama mtoto, ndiye anayetakiwa kujua mzazi wake anahitaji nini, yaani ukimuuliza sasa hivi Dimpoz akupe namba yangu, utaona, atakujibu nini maana ninaamini hana.

Nimekuwa nikimpigia, lakini simu yake unaambiwa inatumika, angekuwa anaona umuhimu si angekuwa na namba maalum kwa ajili ya kuwasiliana na mimi baba yake kama mastaa wengine wanavyofanya kuwa na namba kwa ajili ya mashabiki na nyingine ya watu muhimu,” alisema na kuongeza “Mfano nikifa kama leo ni bora huyo Ommy asinizike au kuja Tabora maana watu watampiga na kwanza atasema ni nani wake amefariki dunia maana hivi niko hai hana ushirikiano,” alisema baba huyo

Chanzo: GlobalP
UNAWEZA KUNUNUA BAJAJI HALAFU UNASHINDWA KUNUNUA CHAKULA, HUU SI UFALA. JAPO NI WAJIBU WA MTOTO KUMWANGALIA MZAZI LAKINI HUYU AMEZIDI
 
Apambane na Hali yake jitu lmeshba nakitambi juu afu anataka atunzwe mzee miaka 64 n kidogo bado unanguvu
 
Sawa, kwa hiyo alikuwa anauza hilo shamba nisome ili baadae nimrudishie?, Mku iko hivi, kama wewe ni mzazi, fahamu kuwa kusomesha au kuhudumia wanao siyo investment kwamba utegemee return baadae, huo ni wajibu wako, usisomeshe halafu baadae uanze kuwadai wakutunze.
Haipaswi Ila tunapaswa kuwatunza wazee wetu mzazi hata akiwa tajiri Ila anafarijika kuona watoto wake wakimjal hata kwa kipande cha mkatae.
 
Ingekuwa omy ni mvuta bangi au kibaka angeyasema hayo yote? Empty head
 
OK Mwenyez Mungu anipe uhai nipate kumlea mzazi Wangu mpk Mwisho wa uhai wake inshallah.
Wewe huna watoto wala familia?, utalea familia ngapi? Ni tajiri sana wewe? Mzazi kama huyo wa Dimpoz mzima wa afyana ana nguvu tele anashindwa nini kufanya kazi hadi umtunze?

Gazeti la leo la Mwananchi wanasema, kati ya wa tz 100, 92 ni tegemezi, nyie ndio mnatengeneza hao tegemezi bila sababu zozote a msingi kutokana na upuuzi wenu huu, kila mtu afanye kazi.
 
Wewe huna watoto wala familia?, utalea familia ngapi? Ni tajiri sana wewe? Mzazi kama huyo wa Dimpoz mzima wa afyana ana nguvu tele anashindwa nini kufanya kazi hadi umtunze?

Gazeti la leo la Mwananchi wanasema, kati ya wa tz 100, 92 ni tegemezi, nyie ndio mnatengeneza hao tegemezi bila sababu zozote a msingi kutokana na upuuzi wenu huu, kila mtu afanye kazi.
Kila mtu na mtazamo wake mimi sio tajiri Ila kidogo nikipatacho siach kumkumbuka mzazi Wangu.

Mpuuzi ni wewe na ukoo wako. Nikutakie jion njema
 
HAHAHAHA jf imeajaa wanafiki wengi sana..... kwenye sakata la Diamond na Baba yako waliotoa ushauri mwingine leo kwa kipenzi chao Dimpoz wanatoa ushauri mwingine hahahaha[/QUOTE
Mie pia nmeliona hilo

Ngoja siku nyengine liletwe jambo kuhusu mond na baba ake watu watalaani hatar
 
Duuh! Kama hamjali kweli sio sawa aisee.

Ila upande wa pili wa shilingi je katika makuzi ya huyo Ommy je Baba alishiriki mpaka kufika alikofika au ndio alihangaika na Mama pekee halafu yeye anakuja na malalamiko baada ya kuona amekuwa mtu mzima ikiwemo na umaarufu alionao.
Ndo yaleyale ya MZEE Abdul nahisi
 
Hii ndo shida ya wazaz wengi (baba) wanatelekeza watoto wao wakisha fanikiwa waanza kelele, binafsi mm n mmoja wapo so naona wanachokifanya diamond na ommy ni sawa tu, nimepitia wakat mgumu sana nabado napambana sidhan kama ntakuja kumtazama mzee wangu vizur
Pole mkuu
 
Back
Top Bottom