Josey j
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 466
- 908
Habari za saizi wana JF chit-chat
Kichwa cha mada chajieleza
- siku tatu zilizopita niliomba mzee anipige tough hela ili niongezee kwenye ada , akaniahidi nimsubiri kidogo , Leo amenipatia hiyo ada lakini nilivyoenda kuoga sijaikuta na home tulikua wawili tu, lazima atakua ameniibia yeye mwenyewe!
Ndio kusema hali ngumu sana adi ameamu a kunizunguka mwanae?[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Je na wewe mzaz wa JF unaweza fikia hatua iyo ? Kuna akina baba huwapa pesa wake zao na kuwaibia Tena
Kichwa cha mada chajieleza
- siku tatu zilizopita niliomba mzee anipige tough hela ili niongezee kwenye ada , akaniahidi nimsubiri kidogo , Leo amenipatia hiyo ada lakini nilivyoenda kuoga sijaikuta na home tulikua wawili tu, lazima atakua ameniibia yeye mwenyewe!
Ndio kusema hali ngumu sana adi ameamu a kunizunguka mwanae?[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Je na wewe mzaz wa JF unaweza fikia hatua iyo ? Kuna akina baba huwapa pesa wake zao na kuwaibia Tena