Baba ameshafika

Wanadai eti mwenye mji wake karudi toka kwa watengeneza Toothpick kisha yule binti aliyesherekea birthday ya miaka 18 wakati ana 17 katoka alikokaa mandela muda mrefu kabla hajawa Rais..
Huu ni uchochezi
Na lazima nitakuja na Nissani nyeupe
*...huwezi kumjaribu mtukufu*

Kama Baba amefika, mtoto mbona haonekani kitaa au bado kavishwa nguo nyeusiii tii mtaani tusimwone

Au anatembea usiku mnene na Nissani jeusiiiiiiii

Mtoto Mkuu wa Baba, siku hz Yuko kimya Sana
Au anajipanga na nyu yiaaaaa 2020 kule kolomajaaaiii
 
Huo ni udaku wa Insta Sio Mie..
 
Wanadai eti mwenye mji wake karudi toka kwa watengeneza Toothpick kisha yule binti aliyesherekea birthday ya miaka 18 wakati ana 17 katoka alikokaa mandela muda mrefu kabla hajawa Rais..
Mkuu kwani soweto wameshamtoa mjukuu wa mandela? Si nilisikia kwamba atalinda nyumba ya babu yake kwa miaka miwili? juu kuna wezi wengi tu. Na mtoto aliyetoka nyumbani bila ruhusa ya baba yake ameshapatikana?[emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Mkuu kwani soweto wameshamtoa mjukuu wa mandela? Si nilisikia kwamba atalinda nyumba ya babu yake kwa miaka miwili? juu kuna wezi wengi tu. Na mtoto aliyetoka nyumbani bila ruhusa ya baba yake ameshapatikana?[emoji16] [emoji16] [emoji16]
Sio vizuri tunangonjekaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…