Baba "anatawa" nyumbani kazi kupigishana kelele na watoto

Baba "anatawa" nyumbani kazi kupigishana kelele na watoto

Wewe inaonekana baba yako alikuwa masikini na fukara wa mali na mawazo na alikuwa hajiongezi na hana kazi ya kufanya. Kama baba angekuwa na kazi ya kufanya anamiradi mingi na nyumba yake ni kubwa kiasi kwamba kila mtu mama na waoto wanajibinafasi kila mtu anamradi au watoto wanaenda shule naniangemboa mwenzange? Baba asafiri ili iweje? Baba asafiri ili majizi na mafisadi na vibaraka wa mabeberu yaibe na kuharibu watoto? Nchi hii ni kubwa na anakazi nyingi za kufanya na muda wa miaka 10 ni mchache kwa kazi anazotaka kuzifanya lazima atapata wapi muda wa kusafiri? Hata hivyo anasafiri kwenda kwa nani na kufanyanini kwa mabeberu? Putini wa Urusi alishawahi kusafiri kuja Afrika? Trump wa Marekani hata akija Africa ni kwa masilahi. Kwaufupi marais wa Africa kwwnda Ulaya ni kuenda kuombaimba tu safari zao hazina tija.
Mleta Uzi ni kibaraka wa mabeberu, ni muuza unga ni fisadi, ulitumbuliwa kwa vyet feki au ni CHADEMA
Another sperm wastage
 
Huyo jamaa yuposahihi maana post ya mlets mada katumis tafsida kwa harska huwezi gundua anamlenga nani. Ila uziri pist yake inagusa kote mababa wa familia zetu wasio toka na baba muongiza nchi asietoka.
Ni kweli baba inabidi utoke ukajichanganye na mababa wenzio wakuongezee mbinu za kujipatia mkate wa kila siku kwa ajili ya familia yako
[/QUOTE Kuna shida ya kushambulia wati wenye fikra tofauti umeiweka vzr
 
Another sperm wastage
Hivi jamaa yuko sahhii mtoa mada ametumia tafsida na hakuweka wazi baba aliyemtaja ni yupi maana hata jpm ni baba kwa maana ya kiongozi mkuu wa nchi ambayo unaweza kuiita familia ya watanzania
 
Wewe inaonekana baba yako alikuwa masikini na fukara wa mali na mawazo na alikuwa hajiongezi na hana kazi ya kufanya. Kama baba angekuwa na kazi ya kufanya anamiradi mingi na nyumba yake ni kubwa kiasi kwamba kila mtu mama na waoto wanajibinafasi kila mtu anamradi au watoto wanaenda shule naniangemboa mwenzange? Baba asafiri ili iweje? Baba asafiri ili majizi na mafisadi na vibaraka wa mabeberu yaibe na kuharibu watoto? Nchi hii ni kubwa na anakazi nyingi za kufanya na muda wa miaka 10 ni mchache kwa kazi anazotaka kuzifanya lazima atapata wapi muda wa kusafiri? Hata hivyo anasafiri kwenda kwa nani na kufanyanini kwa mabeberu? Putini wa Urusi alishawahi kusafiri kuja Afrika? Trump wa Marekani hata akija Africa ni kwa masilahi. Kwaufupi marais wa Africa kwwnda Ulaya ni kuenda kuombaimba tu safari zao hazina tija.
Mleta Uzi ni kibaraka wa mabeberu, ni muuza unga ni fisadi, ulitumbuliwa kwa vyet feki au ni CHADEMA
Ungeweka na namba za simu kabisa. Ona sasa teuzi zikija zitakupita. Watu mna mapenzi na chama mpaka unaenda nje ya mada kwasababu ya chama. Kazana kabisa ili teuzi zikija uwemo. Jitahidi kuweka namba za simu
 
Mimi nimefiwa na baba yangu mzazi kweli ambaye amenizaa Mimi alifariki tarehe 18 mwezi August mwaka 2019 Sasa Mimi mzee wangu alikuwa anasafiri na akirudi tunajua baba karudi na mtaa mzima watoto watakuja kucheza kwetu hiyo Ni enzi na enzi Mimi sizungumzii siasa //// Sasa Kama mnalibaba lenu Tena naliita libaba lipo ndani mawio na machweo lipo limekalia magogo au limekalia Cham gongo ya wino sio shida yangu Ni shida yenu wanasiasa ///// ha ha ha nenda kapige ungengemkeni mito mingi mamaeeee
 
Ungeweka na namba za simu kabisa. Ona sasa teuzi zikija zitakupita. Watu mna mapenzi na chama mpaka unaenda nje ya mada kwasababu ya chama. Kazana kabisa ili teuzi zikija uwemo. Jitahidi kuweka namba za simu
Hata email na jina inasaidia sana mtonyo wa uteuzi
 
Muogope baba asiesafiri asietoka kujichanganya na wenzake anajifungia tu ndani na kukaa jikoni na mama kuota Moto baba huyo lazima awe mkali na katili kwa watoto

Baba unatakiwa usikae sana home familia inakukinahi inakuchoka haiwi na hamu na wewe Sasa wewe utadhani haikupendi kumbe ni kwasababu wewe ni mchujo kwao

Umechuja kila siku upo home unawakaripia watoto wasiwashe tv mama asitumie gesi apikie kuni yani we 24/7 unapigishana kelele na watoto na mkeo. Baba wa hivi lazima watoto wakuombee ugonjwa au kifo ili wapumue waachane na upolisi wako

Wababa tusikae sana nyumbani kutawa kwa baba hakuna afya kwa familia jiulize je baba yako ANATAWA nyumbani? Mimi baba yangu alikuwa anasafiri Sana na tulimpenda Sana ila bahati mbaya Mungu alimchukua tarehe 18/8/2019

Mungu mlaze pema peponi baba yangu mzazi kila nikimkumbuka baba nalia Sana

Amina .
Hii ni kwa viwango vya Tz. Kwa wenzetu ushauri wako ni chanzo cha talaka. Wanatakiwa kuwa nyumbani kila siku, kutoka na watoto au familia nzima, kumsaidia kazi za shule na kuhudhuria michezo yao. Kwa ujumla ni marafiki na si uadui au ukatili.
 
Huyo baba hafanyi shughuli yoyote? Yeye ni kukaa tu? Familia inakula nini?
 
Muogope baba asiesafiri asietoka kujichanganya na wenzake anajifungia tu ndani na kukaa jikoni na mama kuota Moto baba huyo lazima awe mkali na katili kwa watoto

Baba unatakiwa usikae sana home familia inakukinahi inakuchoka haiwi na hamu na wewe Sasa wewe utadhani haikupendi kumbe ni kwasababu wewe ni mchujo kwao

Umechuja kila siku upo home unawakaripia watoto wasiwashe tv mama asitumie gesi apikie kuni yani we 24/7 unapigishana kelele na watoto na mkeo. Baba wa hivi lazima watoto wakuombee ugonjwa au kifo ili wapumue waachane na upolisi wako

Wababa tusikae sana nyumbani kutawa kwa baba hakuna afya kwa familia jiulize je baba yako ANATAWA nyumbani? Mimi baba yangu alikuwa anasafiri Sana na tulimpenda Sana ila bahati mbaya Mungu alimchukua tarehe 18/8/2019

Mungu mlaze pema peponi baba yangu mzazi kila nikimkumbuka baba nalia Sana

Amina .
Hisia zangu ni kuwa Baba yako alikubali yaishe, alivyokuwa msafiri alikuta mkewe mjamzito akatulia tu na ndiyo maana Mungu alimchukua mapema kwa stress.
 
hivi nikiutukana uke wa mama yako au sehemu yake ya kutolea haja kubwa nitakuwa nimekuonea kwann unitukanie mzee wangu ambae amelala milele
Hisia zangu ni kuwa Baba yako alikubali yaishe, alivyokuwa msafiri alikuta mkewe mjamzito akatulia tu na ndiyo maana Mungu alimchukua mapema kwa stress.
 
Wewe inaonekana baba yako alikuwa masikini na fukara wa mali na mawazo na alikuwa hajiongezi na hana kazi ya kufanya. Kama baba angekuwa na kazi ya kufanya anamiradi mingi na nyumba yake ni kubwa kiasi kwamba kila mtu mama na waoto wanajibinafasi kila mtu anamradi au watoto wanaenda shule naniangemboa mwenzange? Baba asafiri ili iweje? Baba asafiri ili majizi na mafisadi na vibaraka wa mabeberu yaibe na kuharibu watoto? Nchi hii ni kubwa na anakazi nyingi za kufanya na muda wa miaka 10 ni mchache kwa kazi anazotaka kuzifanya lazima atapata wapi muda wa kusafiri? Hata hivyo anasafiri kwenda kwa nani na kufanyanini kwa mabeberu? Putini wa Urusi alishawahi kusafiri kuja Afrika? Trump wa Marekani hata akija Africa ni kwa masilahi. Kwaufupi marais wa Africa kwwnda Ulaya ni kuenda kuombaimba tu safari zao hazina tija.
Mleta Uzi ni kibaraka wa mabeberu, ni muuza unga ni fisadi, ulitumbuliwa kwa vyet feki au ni CHADEMA
Jione huruma wew lipiga ramli pumbavu
 
Tuondolee uchuro yaan hapo akizianza tu utasikia ohhh hana muda na familia akikaa nyumbani ohh kakaa sana huo sii uchuro n nn?
 
Muogope baba asiesafiri asietoka kujichanganya na wenzake anajifungia tu ndani na kukaa jikoni na mama kuota Moto baba huyo lazima awe mkali na katili kwa watoto

Baba unatakiwa usikae sana home familia inakukinahi inakuchoka haiwi na hamu na wewe Sasa wewe utadhani haikupendi kumbe ni kwasababu wewe ni mchujo kwao

Umechuja kila siku upo home unawakaripia watoto wasiwashe tv mama asitumie gesi apikie kuni yani we 24/7 unapigishana kelele na watoto na mkeo. Baba wa hivi lazima watoto wakuombee ugonjwa au kifo ili wapumue waachane na upolisi wako

Wababa tusikae sana nyumbani kutawa kwa baba hakuna afya kwa familia jiulize je baba yako ANATAWA nyumbani? Mimi baba yangu alikuwa anasafiri Sana na tulimpenda Sana ila bahati mbaya Mungu alimchukua tarehe 18/8/2019

Mungu mlaze pema peponi baba yangu mzazi kila nikimkumbuka baba nalia Sana

Amina .
Awali unasema ukipenda baba anayesafiri kama alivyosafuri baba yako. Sasa amefariki unalia nini wakati unajua fika alisafiri moja kwa moja. Ikiwezekana anza wewe kusafiri usije ukachukua hapo nyumbani. Jiulize alifariki kwa gonjwa gani yawezekana safari zake zilichangia usikie kabisa utakuwa ndiye mchawi.
 
Awali unasema ukipenda baba anayesafiri kama alivyosafuri baba yako. Sasa amefariki unalia nini wakati unajua fika alisafiri moja kwa moja. Ikiwezekana anza wewe kusafiri usije ukachukua hapo nyumbani. Jiulize alifariki kwa gonjwa gani yawezekana safari zake zilichangia usikie kabisa utakuwa ndiye mchawi.
Sehemu ya mzazi wako wa kike ya kutolea vyakula taka itakuwa ilitumiwa Sana enzi za usichana wake na sehemu ya kike ya kutolea maji taka inatumika mpk Leo na vijana
 
Back
Top Bottom