Wewe inaonekana baba yako alikuwa masikini na fukara wa mali na mawazo na alikuwa hajiongezi na hana kazi ya kufanya. Kama baba angekuwa na kazi ya kufanya anamiradi mingi na nyumba yake ni kubwa kiasi kwamba kila mtu mama na waoto wanajibinafasi kila mtu anamradi au watoto wanaenda shule naniangemboa mwenzange? Baba asafiri ili iweje? Baba asafiri ili majizi na mafisadi na vibaraka wa mabeberu yaibe na kuharibu watoto? Nchi hii ni kubwa na anakazi nyingi za kufanya na muda wa miaka 10 ni mchache kwa kazi anazotaka kuzifanya lazima atapata wapi muda wa kusafiri? Hata hivyo anasafiri kwenda kwa nani na kufanyanini kwa mabeberu? Putini wa Urusi alishawahi kusafiri kuja Afrika? Trump wa Marekani hata akija Africa ni kwa masilahi. Kwaufupi marais wa Africa kwwnda Ulaya ni kuenda kuombaimba tu safari zao hazina tija.
Mleta Uzi ni kibaraka wa mabeberu, ni muuza unga ni fisadi, ulitumbuliwa kwa vyet feki au ni CHADEMA