Baba "anatawa" nyumbani kazi kupigishana kelele na watoto

Another sperm wastage
 
 
Another sperm wastage
Hivi jamaa yuko sahhii mtoa mada ametumia tafsida na hakuweka wazi baba aliyemtaja ni yupi maana hata jpm ni baba kwa maana ya kiongozi mkuu wa nchi ambayo unaweza kuiita familia ya watanzania
 
Ungeweka na namba za simu kabisa. Ona sasa teuzi zikija zitakupita. Watu mna mapenzi na chama mpaka unaenda nje ya mada kwasababu ya chama. Kazana kabisa ili teuzi zikija uwemo. Jitahidi kuweka namba za simu
 
Mimi nimefiwa na baba yangu mzazi kweli ambaye amenizaa Mimi alifariki tarehe 18 mwezi August mwaka 2019 Sasa Mimi mzee wangu alikuwa anasafiri na akirudi tunajua baba karudi na mtaa mzima watoto watakuja kucheza kwetu hiyo Ni enzi na enzi Mimi sizungumzii siasa //// Sasa Kama mnalibaba lenu Tena naliita libaba lipo ndani mawio na machweo lipo limekalia magogo au limekalia Cham gongo ya wino sio shida yangu Ni shida yenu wanasiasa ///// ha ha ha nenda kapige ungengemkeni mito mingi mamaeeee
 
Ungeweka na namba za simu kabisa. Ona sasa teuzi zikija zitakupita. Watu mna mapenzi na chama mpaka unaenda nje ya mada kwasababu ya chama. Kazana kabisa ili teuzi zikija uwemo. Jitahidi kuweka namba za simu
Hata email na jina inasaidia sana mtonyo wa uteuzi
 
Hii ni kwa viwango vya Tz. Kwa wenzetu ushauri wako ni chanzo cha talaka. Wanatakiwa kuwa nyumbani kila siku, kutoka na watoto au familia nzima, kumsaidia kazi za shule na kuhudhuria michezo yao. Kwa ujumla ni marafiki na si uadui au ukatili.
 
Huyo baba hafanyi shughuli yoyote? Yeye ni kukaa tu? Familia inakula nini?
 
Hisia zangu ni kuwa Baba yako alikubali yaishe, alivyokuwa msafiri alikuta mkewe mjamzito akatulia tu na ndiyo maana Mungu alimchukua mapema kwa stress.
 
 
Jione huruma wew lipiga ramli pumbavu
 
Tuondolee uchuro yaan hapo akizianza tu utasikia ohhh hana muda na familia akikaa nyumbani ohh kakaa sana huo sii uchuro n nn?
 
Awali unasema ukipenda baba anayesafiri kama alivyosafuri baba yako. Sasa amefariki unalia nini wakati unajua fika alisafiri moja kwa moja. Ikiwezekana anza wewe kusafiri usije ukachukua hapo nyumbani. Jiulize alifariki kwa gonjwa gani yawezekana safari zake zilichangia usikie kabisa utakuwa ndiye mchawi.
 
Sehemu ya mzazi wako wa kike ya kutolea vyakula taka itakuwa ilitumiwa Sana enzi za usichana wake na sehemu ya kike ya kutolea maji taka inatumika mpk Leo na vijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…