Hizi huduma wawarudishie wamishenari tu sisi akili zetu ni za kutamani vitambi na heshima basiIssue ya KCMC ni ya muda sana, lakin kwamba hawana fedha sio kweli..
GSF wanaweka fedha nyingi sana, Bima inachelewa kulipa pia ila wanalipa..
Ukondoo na ulegelege, na uzembe wa wafanyakaz pale ni culture,
Hili lipo mkononi mwa Mkurugenz wa health services hapo
Msikilize huyu mtanzania!!
Mkurugenzi wa Hospital hiyo kubwa nchini,amejikita kwenye miradi ya ujenzi,akiachilia mbali maisha ya watu!
Idadi ya vifo ni kubwa mno, na Kuna uwezekano mkubwa mmiliki wa duka kubwa la majeneza nje ya hospital hiyo ni la wa Mkurugenzi wa KCMC
Manesi wamezidiwa kazi, wagonjwa ni wengi , madaktari wameanzisha vituo na hospital zao mjini kibao na Kila Kona na hazitumii Wala bima😭😭😭
Kuna tabia imezuka hospital ya KCMC, intern ni wengi kuliko manesi na madaktari.
Matokeo yake, huduma inatolewa below standard kupitia intern.
Kuna wazungu wapo intern,hawajui kitu chochote na sijui wanatokea nchi Gani ,ndio wanatunika kutibu watu ambao wengi wanafariki kukosa umakini na madaktari bingwa
Angalizo: Serikali ifanye ukaguzi WA mara Kwa mara kukagua mochwari ya hospital ya Rufaa ya Kanda ya KCMC, ilibkujua idadi ya watu waliofariki na sababu za vifo vyao,Hali ni mbaya mochari Kila siku imejaa!*
Yeye ndio kiongozi Mkuu!Yeye hachomi sindano lakin, pale yeye ni mkuu tu zipo idara na wakuu wake hivyo waangaliwe na Hao pia
KUNA UKWELI hapo kwenye kuwatumia Interns, ni kweli ni wengi sana na inawezekana kweli kusababisha vifo ambavyo vingeweza kuzuilikaMsikilize huyu mtanzania!!
Mkurugenzi wa Hospital hiyo kubwa nchini,amejikita kwenye miradi ya ujenzi,akiachilia mbali maisha ya watu!
Idadi ya vifo ni kubwa mno, na Kuna uwezekano mkubwa mmiliki wa duka kubwa la majeneza nje ya hospital hiyo ni la wa Mkurugenzi wa KCMC
Manesi wamezidiwa kazi, wagonjwa ni wengi , madaktari wameanzisha vituo na hospital zao mjini kibao na Kila Kona na hazitumii Wala bima😭😭😭
Kuna tabia imezuka hospital ya KCMC, intern ni wengi kuliko manesi na madaktari.
Matokeo yake, huduma inatolewa below standard kupitia intern.
Kuna wazungu wapo intern,hawajui kitu chochote na sijui wanatokea nchi Gani ,ndio wanatunika kutibu watu ambao wengi wanafariki kukosa umakini na madaktari bingwa
Angalizo: Serikali ifanye ukaguzi WA mara Kwa mara kukagua mochwari ya hospital ya Rufaa ya Kanda ya KCMC, ilibkujua idadi ya watu waliofariki na sababu za vifo vyao,Hali ni mbaya mochari Kila siku imejaa!*
Wanafanya kazi kwa mazoeaIssue ya KCMC ni ya muda sana, lakin kwamba hawana fedha sio kweli..
GSF wanaweka fedha nyingi sana, Bima inachelewa kulipa pia ila wanalipa..
Ukondoo na ulegelege, na uzembe wa wafanyakaz pale ni culture,
Hili lipo mkononi mwa Mkurugenz wa health services hapo
Kwani KCMC ni Competitor wao?Habari nzuri sana hii kwa BAKWATA
Sasa unamfokea nani? Kama hukubali kufokewa na nesi na wewe usilete mgonjwa acha!!!
Upo sahihi mkuu! Wafanyakazi wamezoea unafiki wa kichagga ambapo nesi na daktari huitikiwa …..ndiyo daktari wangu mpendwa…. Na hata mwanafunzi huamkiwa …..shikamoo mwanangu daktari…. Sasa mtu aliyezoea kubembelezwa akikutana na gumegume kama hilo katika clip, moto unawakaTatizo kuu la KCMC miaka na miaka Ni utawala wa kimangimeza uliolelewa na mfumo wa chagaism/ukabila uliokubuhu pale pamoja na udinidini katika kuajiri, KCMC kwa Majungu na fitina ndio nyumbani kwao pale kumbukeni chemistry ya kesi ya madai kwa Prof Swai against akina Ole na wenzake
Idadi ya vifo ni kubwa mno, na Kuna uwezekano mkubwa mmiliki wa duka kubwa la majeneza nje ya hospital hiyo ni la wa Mkurugenzi wa KCMC🥺🥺🥺Msikilize huyu mtanzania!!
Mkurugenzi wa Hospital hiyo kubwa nchini,amejikita kwenye miradi ya ujenzi,akiachilia mbali maisha ya watu!
Idadi ya vifo ni kubwa mno, na Kuna uwezekano mkubwa mmiliki wa duka kubwa la majeneza nje ya hospital hiyo ni la wa Mkurugenzi wa KCMC
Manesi wamezidiwa kazi, wagonjwa ni wengi , madaktari wameanzisha vituo na hospital zao mjini kibao na Kila Kona na hazitumii Wala bima😭😭😭
Kuna tabia imezuka hospital ya KCMC, intern ni wengi kuliko manesi na madaktari.
Matokeo yake, huduma inatolewa below standard kupitia intern.
Kuna wazungu wapo intern,hawajui kitu chochote na sijui wanatokea nchi Gani ,ndio wanatunika kutibu watu ambao wengi wanafariki kukosa umakini na madaktari bingwa
Angalizo: Serikali ifanye ukaguzi WA mara Kwa mara kukagua mochwari ya hospital ya Rufaa ya Kanda ya KCMC, ilibkujua idadi ya watu waliofariki na sababu za vifo vyao,Hali ni mbaya mochari Kila siku imejaa!*