Baba Askofu Dr. Alex Gehaz Malasusa, Mkuu wa KKKT na mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini ya Hospital ya KCMC ! KCMC ipo ICU!

Baba Askofu Dr. Alex Gehaz Malasusa, Mkuu wa KKKT na mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini ya Hospital ya KCMC ! KCMC ipo ICU!

Issue ya KCMC ni ya muda sana, lakin kwamba hawana fedha sio kweli..

GSF wanaweka fedha nyingi sana, Bima inachelewa kulipa pia ila wanalipa..
Ukondoo na ulegelege, na uzembe wa wafanyakaz pale ni culture,

Hili lipo mkononi mwa Mkurugenz wa health services hapo
Hizi huduma wawarudishie wamishenari tu sisi akili zetu ni za kutamani vitambi na heshima basi
 
Msikilize huyu mtanzania!!

Mkurugenzi wa Hospital hiyo kubwa nchini,amejikita kwenye miradi ya ujenzi,akiachilia mbali maisha ya watu!

Idadi ya vifo ni kubwa mno, na Kuna uwezekano mkubwa mmiliki wa duka kubwa la majeneza nje ya hospital hiyo ni la wa Mkurugenzi wa KCMC

Manesi wamezidiwa kazi, wagonjwa ni wengi , madaktari wameanzisha vituo na hospital zao mjini kibao na Kila Kona na hazitumii Wala bima😭😭😭

Kuna tabia imezuka hospital ya KCMC, intern ni wengi kuliko manesi na madaktari.

Matokeo yake, huduma inatolewa below standard kupitia intern.

Kuna wazungu wapo intern,hawajui kitu chochote na sijui wanatokea nchi Gani ,ndio wanatunika kutibu watu ambao wengi wanafariki kukosa umakini na madaktari bingwa

Angalizo: Serikali ifanye ukaguzi WA mara Kwa mara kukagua mochwari ya hospital ya Rufaa ya Kanda ya KCMC, ilibkujua idadi ya watu waliofariki na sababu za vifo vyao,Hali ni mbaya mochari Kila siku imejaa!*

Mindset yenyewe nbiyo hii👇 Tunahitaji Ngosha mwingine

 
Msikilize huyu mtanzania!!

Mkurugenzi wa Hospital hiyo kubwa nchini,amejikita kwenye miradi ya ujenzi,akiachilia mbali maisha ya watu!

Idadi ya vifo ni kubwa mno, na Kuna uwezekano mkubwa mmiliki wa duka kubwa la majeneza nje ya hospital hiyo ni la wa Mkurugenzi wa KCMC

Manesi wamezidiwa kazi, wagonjwa ni wengi , madaktari wameanzisha vituo na hospital zao mjini kibao na Kila Kona na hazitumii Wala bima😭😭😭

Kuna tabia imezuka hospital ya KCMC, intern ni wengi kuliko manesi na madaktari.

Matokeo yake, huduma inatolewa below standard kupitia intern.

Kuna wazungu wapo intern,hawajui kitu chochote na sijui wanatokea nchi Gani ,ndio wanatunika kutibu watu ambao wengi wanafariki kukosa umakini na madaktari bingwa

Angalizo: Serikali ifanye ukaguzi WA mara Kwa mara kukagua mochwari ya hospital ya Rufaa ya Kanda ya KCMC, ilibkujua idadi ya watu waliofariki na sababu za vifo vyao,Hali ni mbaya mochari Kila siku imejaa!*
KUNA UKWELI hapo kwenye kuwatumia Interns, ni kweli ni wengi sana na inawezekana kweli kusababisha vifo ambavyo vingeweza kuzuilika

Kingine ni foleni, unaweza kuingia kwenye foleni na kushika nafasi saa 1 ukaja tibiwa saa 4 au 5, na kuna RUSHWA KUBWA na KUJUANA....mtu anapiga simu kabla ya kufika hospitalini akija anamwona Daktari chap straight away
 
Issue ya KCMC ni ya muda sana, lakin kwamba hawana fedha sio kweli..

GSF wanaweka fedha nyingi sana, Bima inachelewa kulipa pia ila wanalipa..
Ukondoo na ulegelege, na uzembe wa wafanyakaz pale ni culture,

Hili lipo mkononi mwa Mkurugenz wa health services hapo
Wanafanya kazi kwa mazoea
 
Kuna siku nilimsikiliza Program Manager wa KKKT akieleza jinsi miradi ya Afya inavyofanikiwa...alitaja na Zahanati yao iliyopo kijijini kwetu ! Nilitamani kucheka...kwa sababu Zahanati ile imekufa ,hata milango inafingwa kwa mawe! Ila cha ajabu kuna Watumishi na wanalipwa!
Imefikia hatua nikaamini maneno ya muumini mmoja kuwa ....Vituo kama vile ni Chambo cha Kuandikia Propozo' kupeleka Uzunguni!
 
Sasa unamfokea nani? Kama hukubali kufokewa na nesi na wewe usilete mgonjwa acha!!!

Tatizo kuu la KCMC miaka na miaka Ni utawala wa kimangimeza uliolelewa na mfumo wa chagaism/ukabila uliokubuhu pale pamoja na udinidini katika kuajiri, KCMC kwa Majungu na fitina ndio nyumbani kwao pale kumbukeni chemistry ya kesi ya madai kwa Prof Swai against akina Ole na wenzake
 
Tatizo kuu la KCMC miaka na miaka Ni utawala wa kimangimeza uliolelewa na mfumo wa chagaism/ukabila uliokubuhu pale pamoja na udinidini katika kuajiri, KCMC kwa Majungu na fitina ndio nyumbani kwao pale kumbukeni chemistry ya kesi ya madai kwa Prof Swai against akina Ole na wenzake
Upo sahihi mkuu! Wafanyakazi wamezoea unafiki wa kichagga ambapo nesi na daktari huitikiwa …..ndiyo daktari wangu mpendwa…. Na hata mwanafunzi huamkiwa …..shikamoo mwanangu daktari…. Sasa mtu aliyezoea kubembelezwa akikutana na gumegume kama hilo katika clip, moto unawaka
 
Msikilize huyu mtanzania!!

Mkurugenzi wa Hospital hiyo kubwa nchini,amejikita kwenye miradi ya ujenzi,akiachilia mbali maisha ya watu!

Idadi ya vifo ni kubwa mno, na Kuna uwezekano mkubwa mmiliki wa duka kubwa la majeneza nje ya hospital hiyo ni la wa Mkurugenzi wa KCMC

Manesi wamezidiwa kazi, wagonjwa ni wengi , madaktari wameanzisha vituo na hospital zao mjini kibao na Kila Kona na hazitumii Wala bima😭😭😭

Kuna tabia imezuka hospital ya KCMC, intern ni wengi kuliko manesi na madaktari.

Matokeo yake, huduma inatolewa below standard kupitia intern.

Kuna wazungu wapo intern,hawajui kitu chochote na sijui wanatokea nchi Gani ,ndio wanatunika kutibu watu ambao wengi wanafariki kukosa umakini na madaktari bingwa

Angalizo: Serikali ifanye ukaguzi WA mara Kwa mara kukagua mochwari ya hospital ya Rufaa ya Kanda ya KCMC, ilibkujua idadi ya watu waliofariki na sababu za vifo vyao,Hali ni mbaya mochari Kila siku imejaa!*
Idadi ya vifo ni kubwa mno, na Kuna uwezekano mkubwa mmiliki wa duka kubwa la majeneza nje ya hospital hiyo ni la wa Mkurugenzi wa KCMC🥺🥺🥺
 
Back
Top Bottom