Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe amekuwa oxygen yenu bila kumtaja yeye hamuwezi kupata posho hivyo mtakufa njaa.Mwamba Mbowe mbona hana ushirikano na Mwamakula?
Unawashwa makalio?Mbowe amekuwa oxygen yenu bila kumtaja yeye hamuwezi kupata posho hivyo mtakufa njaa.
Hapana dada yangu nawashwa kichwa cha mtarimbo wangu na kimekuchagua wewe kuwa kikunio, nifikirie.Unawashwa makalio?
Hakuna jeshi hapo tena mkuuJeshi LA polisi siku hizi limekuwa ni tatizo kubwa kwenye nchi yetu ya Tanzania.
Sikuwahi kusikia hata Mara moja kudai katiba ya wananchi kuwa kosa la jinai, hawa mapolisi sasa ndio wanafanya jinai.
Kesho dikteta akikubali kuandika katiba mpya utasikia yanasifia kuwa ni msikivu mno na mpenda watuKwa mwenye akili fupi kama ZWAZWA wewe! Kudai katiba mpya na Tume huru ni kutafuta kiki. Watanzania kama wewe ni nzigo mkubwa sana.,
Soon watakipata walichopata Akina Goliathi na jeshi lake.Hakuna jeshi hapo tena mkuu
Hakuna kitu itaendelea kuwa hivyoSoon watakipata walichopata Akina Goliathi na jeshi lake.
Hata hawa wanaokufa kwa korona ni wahanga wa utwala mbovu. Kilangila.Bila watu kufa nakuhakikishia hawa wabaguzi na wachumia tumbo wa ccm hawawezi achia nchi hii
Tanzania ni mali ya mtu binafsiNi Tanzania tu ukiomba katiba mpya unaonekana muasi
Ni matapeli makubwaHata hawa wanaokufa kwa korona ni wahanga wa utwala mbovu. Kilangila.
Wako walio amua kumuabudu na kumsifu Lucifer, badala ya MUNGU na kondoo wake walio apa kuwatumikia. Kilangila.Wako vizuri sana Mkuu. Imagine kama viongozi wote wa dini bila kujali imani zao wangekuwa na misimamo thabiti kama hawa katika kupinga maovu na udhalimu wa huyo anayejiita mwendawazimu, ni lazima angekaa chini na kusalimu amri.
We kahaba unatafuta matatizo.Hapana dada yangu nawashwa kichwa cha mtarimbo wangu na kimekuchagua wewe kuwa kikunio, nifikirie.
Daaah, kumbe Askofu Mwamakula anataka kuleta dawa itayoitoa CCM madarakani.... Ok sasa nimeelewa na nimemuelewa vzr na hata Polisi nao nimewaelewa🤔🤔Dawa pekee ya kuiondoa ccm ni kupitia Tume Huru ya Uchaguzi na pia Katiba ya Wananchi.
Hivyo namuunga mkono huyo Askofu Mwamakula kwa ujasiri wake wa kuwasemea mamilioni ya Watanzania wapenda mabadiliko.
Kuna kitu kiko wazi. Hakuna mtawala mwenye nguvu bila bunduki. Nguvu ya watawala iko nyuma ya washika bunduki. Tatizo hawa hutii watawala na sio raia. Saluti kwa watawala virungu kwa raia.Ukigusa maswala ya "KATIBA MPYA" tu ujue umegusa maslahi ya Watawala wa CCM na CCM yenyewe...
Ukigusa sharubu za simba, mrejesho wake ni kurauliwa kisawasawa na simba huyo...
Kwa namna mambosasa alivyokuwa analishughulikia jambo hili la Baba Askofu Mwamakula, na kwa jinsi alivyokuwa anaropoka hovyo kwa lugha isiyo na staha wala maadili yenye nia ya kumdhalilisha Baba Askofu Emmaus Mwamakula, ni wazi kuwa amepewa "go ahead" na watawala kumshughulikia...
Lakini obviously, kwa mwenye akili timamu, na kwa mujibu wa sheria za Tanzania, Baba Askofu hakuna kosa lolote la kisheria alilofanya kwa sababu mtu kusema anahitaji katiba mpya na kuwahamasisha wengine wamuunge mkono si kosa la halijawahi kuwa kosa...
Hivyo kamanda wa polisi Kanda maalumu - DSM, afande Mambosasa anajua hili fika kuwa Askofu hana kosa lolote lakini kaamua kujitoa ufahamu ili kuwafurahisha "mabwana zake", waliomtuma ili wamlipe mshahara ajaze tumbo lake na kwenda chooni kujisaidia tu...!