Baba Askofu Munga: Je, Askofu Mwamakula ni mfia imani na shujaa?

Huyu alipodai tuwe na Tume huru alikuwa anatafuta kiki toka kwa nani?
 
Huyu ni Askofu wa kweli na anachosimamia kina baraka ya watanzania wengi.
 
Kwa mwenye akili fupi kama ZWAZWA wewe! Kudai katiba mpya na Tume huru ni kutafuta kiki. Watanzania kama wewe ni nzigo mkubwa sana.,
Kesho dikteta akikubali kuandika katiba mpya utasikia yanasifia kuwa ni msikivu mno na mpenda watu
 
Asante sana Askofu kwa Maneno yenye Kutia imani na hekima.
 
Duh, Mkuu BAK, nimevunja sheria. Kwa jinsi nilivyoguswa na ujumbe wa Askofu nimeunakili ili niweze kuusoma kirahisi siku zijzo hata pale nitakapoishiwa kifurushi. Sasa sijui nitashtakiwa na nani, sijui ni wewe, Askofu au jamii Forum. Mwenye haki hiyo anihurumie bure. Kilangila.
 
Wako vizuri sana Mkuu. Imagine kama viongozi wote wa dini bila kujali imani zao wangekuwa na misimamo thabiti kama hawa katika kupinga maovu na udhalimu wa huyo anayejiita mwendawazimu, ni lazima angekaa chini na kusalimu amri.
Wako walio amua kumuabudu na kumsifu Lucifer, badala ya MUNGU na kondoo wake walio apa kuwatumikia. Kilangila.
 
Daa -be askofu
Dawa pekee ya kuiondoa ccm ni kupitia Tume Huru ya Uchaguzi na pia Katiba ya Wananchi.

Hivyo namuunga mkono huyo Askofu Mwamakula kwa ujasiri wake wa kuwasemea mamilioni ya Watanzania wapenda mabadiliko.
Daaah, kumbe Askofu Mwamakula anataka kuleta dawa itayoitoa CCM madarakani.... Ok sasa nimeelewa na nimemuelewa vzr na hata Polisi nao nimewaelewa🤔🤔
 
Kuna kitu kiko wazi. Hakuna mtawala mwenye nguvu bila bunduki. Nguvu ya watawala iko nyuma ya washika bunduki. Tatizo hawa hutii watawala na sio raia. Saluti kwa watawala virungu kwa raia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…